SIASA za upinzani Zanzibar, zinaelekea kumwelemea Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), na sasa anatupa lawama zake kwa Maalim Seif...
By Hamisi MgutaNovember 21, 2019MDHAMINI wa Tundu Lissu, Ibrahim Ahmed ametoa msimamo wa mdhaminiwa wake, kwamba amepona na hayuko tayari kurejea nchini. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Ibrahim ameieleza...
By Faki SosiNovember 21, 2019HALIMA James Mdee, John Heche, Peter Msigwa na Ester Bulaya, wametokea kwenye tundu la sindano kufutiwa dhamana. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hakimu Mkuu...
By Faki SosiNovember 20, 2019RAIS John Magufuli amemnanga Dk. Steven Kebwe, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwa madai ya ‘kujimegea.’ Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema, alijisahau na baadhi...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2019MEYA wa jiji la Arusha, Calist Lazaro, ametangaza kuondoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amewaambia waandishi wa habari, ameelekea Chama...
By Masalu ErastoNovember 20, 2019RAIS John Magufuli anatarajiwa kufanya ziara ya siku tano jijini Dodoma, kuanzia tarehe 21 – 25 Novemba 2019. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Danson KaijageNovember 20, 2019RAIS John Magufuli amewataka watu wanaolalamika bei ya mahindi kupanda, wakalime ya kwao, ili yawe ya bei ya chini. Anaripoti Regina Mkonde … (endela)....
By Regina MkondeNovember 20, 2019BODI ya Wakurugenzi ya Simba, imemteua Mwina Kaduguda kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa klabu akichukua nafasi iliyoachwa na Swed Nkwabi aliyejiuzuru wakati wakisubiri...
By Kelvin MwaipunguNovember 20, 2019HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imeweka mipango ya kuwa na huduma ya kupandikiza mbegu za ujauzito (mimba), ifikapo mwaka 2020. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea)....
By Hamisi MgutaNovember 19, 2019HATIMA ya wabunge wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuendelea kusota lupango au kuwa nje kwa dhamana, wakati wakiendelea kusubiria kesi...
By Faki SosiNovember 19, 2019SERIKALI imeeleza kutoridhishwa na upandaji wa bei ya mahindi, ikieleza kutokuwepo kwa uhaba wa bidhaa hiyo nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea), Kauli...
By Danson KaijageNovember 19, 2019HATUA ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kudai uchunguzi wa shambulio la Tundu Lissu unakwama kutokana na kutokuwepo kwake...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2019MCHAKATO wa kupata viongozi mbalimbali wapya ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umetangazwa kuanza rasmi. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Akizungumzia kuanza...
By Hamisi MgutaNovember 18, 2019MWITA Waitara, Naibu Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ameagiza wanafunzi milioni 12 wa...
By Christina HauleNovember 18, 2019MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amemweka kiporo Tundu Lissu, na kwamba anamsubiri atokeo alipo ili kutoa ushahidi wa kupigwa...
By Regina MkondeNovember 18, 2019MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini yuko njiani kujisalimisha katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, jijini Dar es Salaam. Ni baada ya...
By Regina MkondeNovember 18, 2019TUME ya watu watano, imeundwa ili kuhakiki korosho yote iliyopokelewa, iliyouzwa na fedha zilizopatikana baada ya kuwepo kwa matumizi ya fujo ya Sh....
By Danson KaijageNovember 18, 2019MWALIMU Mkuu Mstaafu wa Shule ya Msingi Bwigiri Wasioona, Chamwino mkoani Dodoma, Sylivavus Hosea ambaye ni mlemavu wa macho, amemwomba Rais John Magufuli kuangalia namna ya...
By Danson KaijageNovember 18, 2019MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Taifa, Philiph Mangula amesema, wasiasa ndio wamekuwa chanzo cha viashiria vya kuteteresha amani ya nchi. Anaripoti...
By Christina HauleNovember 18, 2019VYAMA saba vilivyojitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vimewataka wanachama wake kukaa mkao wa kujibu mapigo, ikiwa mapendezo yao kuhusu uchaguzi huo,...
By Regina MkondeNovember 16, 2019HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe (Chadema) anashikiliwa na Jeshi la Polisi katika kituo cha Oysterbay, kwa amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu....
By Kelvin MwaipunguNovember 16, 2019WIZARA ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI imewataka wagombea wa vyama vya upinzani, vilivyojitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kuandika barua za kujitoa katika...
By Regina MkondeNovember 16, 2019VYAMA visivyokuwa na uwakilishi bungeni, TLP, UMD na DP, kesho tarehe 17 Novemba 2019 vitaanza kufanya kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa....
By Regina MkondeNovember 16, 2019RAIS John Magufuli, amemteua Dk. Mussa Budeba, kuwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST). Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiNovember 16, 2019WATU waliokuwa karibu na Rais Aboud Jumbe wakati huo, ndio walioiba waraka na kutoa nakala, kisha ule asili ‘original’ wakaurudishwa, nakala nyingine waliipeleka...
By Regina MkondeNovember 15, 2019MAALIM Seif Shariff Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, hana kinyongo na Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Regina...
By Regina MkondeNovember 15, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeamuru kukamatwa kwa wabunge wanne wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia wabunge...
By Faki SosiNovember 15, 2019WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikitarajiwa kuanza kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa kikiwa peke yake, Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu ameonya watakaofanya...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2019WAJUMBE wa Kamati ya Ukimwi, Manispaa ya Morogoro, wanajipanga kutoa elimu ya ujasiriamali, kwa makundi mbalimbali wakiwemo vijana. Anaandika Christina Haule, Morogoro … (endelea)....
By Christina HauleNovember 14, 2019MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga amesema, asilimia 43 ya wafanyakazi waliowahoji, hawajui haki zao. Anaandika...
By Hamisi MgutaNovember 14, 2019GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha Mjini, leo tarehe 14 Novemba 2019 amesema, amepewa taarifa za wito wa Jeshi la Polisi wilayani Hai, Kilimanjaro....
By Mwandishi WetuNovember 14, 2019SWALI la papo kwa papo Kasim Majaliwa, Waziri Mkuu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, ‘limenyongwa’ juu kwa juu na Job Ndugai, Spika...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2019IMANI kwa Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa (TAMISEMI), imeanza kutoweka. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2019CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimezitaka Jumuiya za Kimataifa kupuuza malalamiko ya vyama vya wapinzani nchini, kwamba vinahujumiwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na...
By Regina MkondeNovember 14, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha shauri namba 112 la mwaka 2018 la uchochezi linalowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kutokana...
By Faki SosiNovember 13, 2019SELEMANI Jafo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), sasa anashinikizwa kujiuzulu. Anaripoti Martini Kamote…(endelea). Imeelezwa,...
By Kelvin MwaipunguNovember 13, 2019CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeungana na kauli ya serikali kwamba ‘hakuna kuweka mpira kwapani.’ Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo, ilianza kutumiwa na...
By Regina MkondeNovember 13, 2019SERIKALI imesema, hakuna Mtanzania amabaye laini yake ya simu itafungwa kwasababu ya kutosajiliwa kwa alama za vidole. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo...
By Regina MkondeNovember 13, 2019SERIKALI imeeleza kuwa mfumuko wa bei wa taifa, umeongezeka kwa asilimia 0.2 kutoka asilimia 3.4 Septemba hadi asilimia 3.6 Oktoba mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2019PROF. Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Wananchi (CUF), ameungana na vyama vingine makini vya upinzani nchini, kukiondoa chama chake, katika...
By Faki SosiNovember 12, 2019MCHANGO wa Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa una nafasi kubwa katika kumwezesha Dk. John Magufuli kuwa rais wa Tanzania. Anaripoti Martin Kamote … (endelea). Akizungumza...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2019KAMA Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinaamini kwamba kina haki kuliko vyama vingine ndani ya nchi hii, basi upelekwe muswada bungeni ili vyama vya...
By Danson KaijageNovember 12, 2019RAIS John Mafufuli ametoa siri yake ya moyoni, namna alivyonusurika kuuawa kwa kunyweshwa sumu, wakati akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi wakati wa utawala...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2019RAIS John Magufuli amekutaa uso kwa uso na Maalim Seif Sharif Hamad, kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa. Anaripoti Martin Kamote...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2019HAWAKUTARAJIA. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Seleman Jafo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (TAMISEMI),...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2019UVUNAJI misitu kwa njia endelevu nchini unapaswa kuendelezwa ili kunusuru uharibifu wa misitu uliopo unaosababisha upotevu wa hekta zaidi ya 469,000 kila mwaka...
By Christina HauleNovember 11, 2019CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), kimesema muarobaini wa dosari zilizojitokeza katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ni Tume Huru na...
By Faki SosiNovember 11, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetoa masharti manne kwa serikali, ili kishiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Masharti hayo yametolewa...
By Regina MkondeNovember 11, 2019UNAWEZA kujiuliza, kuna kitu gani kilichopo kati ya Halima Mdee, Mbunge wa Kawe na Job Ndugai, Spika wa Bunge? Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Leo...
By Danson KaijageNovember 11, 2019EVO Morales, Rais wa Bolvia amejiuzulu ili kupunguza ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, yaliyomuweka madarakani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Hamisi MgutaNovember 11, 2019