Friday , 19 April 2024

Day: November 5, 2019

Michezo

Hiki ndicho kilichomuondoa Kocha Mwinyi Zahera Yanga

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetangaza kuachana na kocha wake, Mwinyi Zahera baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hizi...

Habari Mchanganyiko

Sam Misago, Charles, Rwenyagira wamfuata Zembwela Wasafi Radio

KITUO cha Radio cha Wasafi kimezidi kuibomoa East Afrika Radio baada ya kuwang’oa watangazaji wengine watatu ambao wamejiunga na radio yao hivi karibuni....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yabisha hodi Ikulu 

KUSHAMIRI kwa vituko, ghiliba na mikasa ya kuogofya, kwenye zoezi la uchukuaji fomu za kugombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kumeisukuma Chadema...

Habari za Siasa

Serikali: Mwaka 2015 – 19 tumeajiri watu 184,141

SERIKALI imesema, imeajiri watu 184141, kuanzia mwaka 2015 hadi 2019. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Takwimu hizo zimetolewa leo tarehe 5 Novemba 2019,...

Habari za Siasa

Maalim Seif awatia ‘ndimu’ Wazanzibari

MAALIM Seif Shariff Hamad, anaendelea kukaza ‘msuli’ dhamira yake ya kuichomoa Zanzibar katika mikono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Jabir Idrisa, Zanzibar…(endelea). Mwansiasa...

Habari za Siasa

Utetezi wa Mbowe neno kwa neno Kisutu

NOVEMBA 4, 2019 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba akiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema alianza...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Anglikana atuhumiwa kusafirisha meno ya Tembo

SHEKANDI Ashery Mkombola (44), Mchungaji wa Kanisa la Aglikana, lililopo katika Kijiji cha Chinyika, Mpwapwa jijini Dodoma, na watu wengine 21 wanatuhumiwa kukutwa...

Habari za Siasa

Posho za wenyeviti zazua mjadala bungeni

KIWANGO cha posho wanacholipwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa nchini, kimezua mjadala bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mjadala huo ulianza baada ya Hassani...

Habari za SiasaTangulizi

Jibu la hekima la Prof. Assad

PROFESA Mussa Assad, aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), anatarajiwa kukabidhi ofisi leo tarehe 5 Novemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

error: Content is protected !!