Friday , 29 March 2024

Day: October 11, 2019

Habari Mchanganyiko

Tuzo EJAT zazinduliwa, makundi matatu yatemwa

BARAZA la Habari Tanzania (MCT), leo tarehe 11 Oktoba 2019 limezindua rasmi usaili wa kuwania tuzo za umahiri wa uandishi wa habari (EJAT)...

Habari za Siasa

Kabendera kukutana na DPP

ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani na nje ya nchi, ameomba kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Mbele...

Habari Mchanganyiko

Upepo, mvua kubwa, mawimbi: TMA yatoa tahadhari

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi...

Tangulizi

Mahakama yamsafisha Sugu, akikimbia kifungo

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mbeya, imetengua adhabu ya kifungo cha miezi sita alichohukumiwa mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari za Siasa

ZLSC yaipeleka ZEC kortini Z’bar

KITUO cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC), kimefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupinga Sheria ya Uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa...

error: Content is protected !!