Thursday , 18 April 2024

Day: October 9, 2019

Habari za Siasa

Kada Chadema aagwa, paroko akemea ubaguzi

PADRI Paul Sabuni, Paroko Msaidizi wa Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese, Jijini Dar es Salaam amewataka Wakristo na Watanzania kwa ujumla kutobaguana. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

JPM: Pinda ana moyo wa pekee

RAIS John Magufuli amemsifu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu kwamba ni miongoni mwa watu wema na wanamsaidia kuongoza nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiongozi...

Habari za SiasaTangulizi

JPM apanga matumizi mabilioni ya wahujumu uchumi 

RAIS John Magufuli, ameanza kupanga matumizi ya mabilioni ya fedha zinazorudishwa na watuhumiwa wa uhujumu uchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza katika ziara...

Habari Mchanganyiko

Makonda: Kwa mvua hizi, kuweni na tahadhari

KUFUATIA mvua zinazoendelea kunyesha, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wakazi wa mkoa wake kuwa na tahadhari  ili kuhepuka mafuriko....

Habari za Siasa

Maalim Seif ajitosa Serikali za Mitaa

MABADILIKO kamili katika siasa, uchumi na kijamii hayawezi kufikia iwapo wananchi watasita kwenda kujiandikisha ili kupiga kura. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli...

error: Content is protected !!