Friday , 29 March 2024

Month: September 2019

Habari za SiasaTangulizi

Kusimamishwa uwakili; Fatma atuma ujumbe kwa JPM

WAKILI Fatma Karume amemueleza Rais John Magufuli kwamba, yuko tayari kukaa jela miaka 30, ili kuboresha demokrasia na utawala wa sheria nchini. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

DPP amng’ang’ania Aveva, wenzake

MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DPP), amekata rufaa kupinga kufutwa kwa makosa ya utakatishaji fedha katika kesi inayowakabili aliyekuwa Rais wa Klabu ya...

Habari za Siasa

Aliyetumbuliwa, ateuliwa ubalozi

DAKTARI Modestus Kipilimba, aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), ameteuliwa kuwa balozi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Rais Magufuli alimfuta kazi Dk....

Habari za Siasa

Wakulima korosho wanatudai Bil 50 tu – Serikali

SERIKALI imeeleza, bado inadaiwa kiasi cha Sh. 50 bilioni na wakulima wa zao za korosho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).  Akizungumza na wanahabari leo...

Elimu

HakiElimu yaeleza changamoto mtoto wa kike

KUTEMBEA mwendo mrefu pia kushindwa kupatikana kwa mahitaji kwa mtoto wa kike, husababisha watoto hao kufikiria kuacha shule. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara watakiwa kufuata sheria za miji

SHIRIKA la kuwahudumia wakimbizi la Tanganyika (TCRS) lililopo mkoani hapa limewataka wafanyabiashara kutii sheria za miji na majiji zilizopo bila shuruti huku akiwaasa...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa: Nchi inawaka moto

EDWARD Lowassa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu katika serikali ya awamu ya nne, amenadi kazi zinazofanya na Dk. John Magufuli, Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Afisa Usalama wa Taifa feki akifikishwa kizimbani

THOMAS Mgoli (37) amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kujifanya Ofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)...

Habari za Siasa

Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango

DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango ameeleza kwamba, sasa hivi hasikii tena malalamiko ya ‘vyuma kukaza’ kutokana na benki za biashara...

Sports

Aveva, Nyange wafutiwa mashtaka ya utakatishaji fedha

EVANS Aveva, aliyekuwa Rais wa Klabu ya Simba na makamu wake Godfrey Nyange, wamefutiwa mashtaka mawili ya utakatishaji fedha, kati ya mashtaka kumi...

Habari Mchanganyiko

Dilunga aagwa: CCM, Chadema ACT-Wazalendo watoa ujumbe 

KIFO cha Godfrey Dilunga, aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la Jamhuri kilichotokea alfajiri ya tarehe 17 Septemba 2019, kimeunganisha wanasiasa wa upinzani na chama...

Habari za SiasaTangulizi

Membe apenyeza ujumbe Ikulu

NCHI haiwezi kustawi bila ya uhuru wa vyombo vya habari. Kukosekana kwa uhuru huo, kunadumaza maendeleo ya nchi. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Huo...

Habari Mchanganyiko

Kumwaga Dilunga: Polepole asema ‘nampenda Zitto’

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, anampenda Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Zitto: Tulionya, tunaonya tena

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameonya mkakati wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutenganisha wapiga kura visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mo alikoroga

MFANYABIASHARA maarufu nchini na mwekezaji katika Klabu ya Simba, Mohamed Dewj ‘Mo’ ameanzisha mjadala mtandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tarehe 17 Septemba 2019,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Mwanafunzi aliyepewa ujauzito, achonga dili na aliyempachika

JASON Rwekaza, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, Kigoma anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi wake (jina linahifadhiwa), amekamatwa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za Siasa

M/Kiti BAVICHA afunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

AYUBU Sikagonamo, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA), Mkoa wa Songwe amefutiwa kesi ya kukutwa na silaha, na kufunguliwa kesi ya...

Habari Mchanganyiko

Jengo Old Tanga Sekondari lateketea

JENGO moja la Shule ya Sekondari ya Old Tanga, iliyoko jijini Tanga limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 18 Septemba 2019. Anaripoti Regina...

Michezo

Yanga yaja na mikakati ya kuiteka Zambia

KLABU ya Yanga kupitia kamati ndogo ya hamasa imepanga mikakati ya kusafiri na mashabiki kuelekea kwenye mchezo wa marudiano wa Klabu Bingwa Afrika...

Habari za Siasa

Kiwanda Kilombero champa mashaka Waziri Mkuu Majaliwa

KASSIMU Majaliwa, Waziri Mkuu amehoji sababu za Kiwanda cha Sukari cha Kilombero chenye uzalishaji mkubwa kuliko viwanda vingine vya sukari nchini, kutoa gawio...

Habari MchanganyikoTangulizi

Vipimo vya Kabendera vyabaini ugonjwa

MWANAHABARI Erick Kabendera, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, amefanyiwa vipimo vya X-Ray na damu katika Hospitali...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake hakijaeleweka

IKIWA ni siku ya kwanza ya kujitetea kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika kesi ya uchochezi namba 112/2018 kwenye...

Habari za Siasa

Makonda: Kama si njaa, ningejiuzulu

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema, kama isingekuwa njaa, basi angefanya uamuzi wa kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kukosolewa...

Habari Mchanganyiko

Kifo cha Dilunga chashtua tasnia ya habari, serikali

KIFO cha Godfrey Dilunga, mwandishi wa habari za mtafiti, mhariri na mchokonozi, kimeumiza tasnia nzima ya habari na kada zingine nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Askofu: Msiogope kubadilisha katiba

JOSEPH Bundala, Askofu Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini Tanzania amezitaka taasisi za dini kufanya mabadiliko ya katiba zao, ili ziendane na wakati...

Tangulizi

DC, DED watumbuliwa

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Majura Kasika, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Morogoro na Mussa Mnyeti, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwai’chi atolewa ICU

MHASHAMU Yuda Thadeus Ruwai’chi, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, ametolewa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU). Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

JPM ampiga kijembe Lissu

RAIS John Magufuli amesema, Jimbo la Singida Mashariki limechelewa kupata maendeleo, kutokana na kutelekezwa na aliyekuwa mbunge wake, Tundu Lissu. Anaripoti Faki Sosi...

Habari za Siasa

JPM: Hizo ni kelele za chura, hazinizuii

RAIS John Mgaufuli amesema, kelele zilizoibuka baada ya ndege ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL), kushikiliwa nchini Afrika Kusini kwa amri ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Lissu ananukia 2020

JINA la Tundu Lissu, ndani na nje ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, linakua. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi ACT-Wazalendo mbaroni kwa kufungua matawi bila kibali

ADO Shaibu, Katibu wa Itikadi na Uenezi   wa Chama cha ACT Wazalendo, na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam,...

AfyaHabari Mchanganyiko

Serikali yakanusha uwepo ugonjwa wa Ebola

SERIKALI imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba kuna mlipuko wa virusi vya ugonjwa wa Ebola hapa nchini. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hivi karibuni...

Habari za Siasa

Bunge laahairishwa, maswali 123 yaulizwa

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limehailishwa hadi tarehe 6 Novemba, 2019, baada ya wabunge kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Musiba, Lugola waingia vitani

MUDA mchache baada ya Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kumtaka Cyprian Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais...

Habari za Siasa

Uhifadhi magereza ni kwa mujibu wa sheria – Masauni

SERIKALI imesema, moja ya jukumu la Jeshi la Magereza ni kuwapokea na kuwaifadhi waharifu wa aina zote, wanaopelekwa kwa mujibu wa sheria. Anaripoti Danson...

Tangulizi

Serikali yamchoka Musiba, yamfananisha na tapeli

CYPRIAN Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais John Magufuli, amechokwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Serikali kupitia Kangi Lugola, Waziri wa Mambo...

Habari Mchanganyiko

Walemavu watakiwa kuwa wabunifu

SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya watu wenye ulemavu kuwa wabunifu katika kuibua miradi, badala ya kutegemea wafadhili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Afya

Ujerumani, Tanzania zaingia makubaliano ya afya

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imesaini mkataba wa makubaliano wa miaka mitatu na serikali ya Ujerumani...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amfuta kazi Mkurugenzi Mkuu TISS

RAIS wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, amemfuta kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Dk. Modestus Kipilimba. Anaripoti...

Habari za Siasa

Zitto azidi kusota Kisutu 

UPANDE wa serikali umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa wapo katika hatua za mwisho kufunga ushahidi wao kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wabanwa, wakutwa na kesi ya kujibu

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na wenzake, wamekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya jinai namba 112/2018, inayowakabili kwenye Mahakama ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Kabendera ‘aipigia magoti’ mahakama 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Septemba 2019, imeombwa kulielekeza Jeshi la Magereza kuruhusu Mwandishi wa Habari...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Mbowe, shahidi Jamhuri walivyotoana jasho 

BERNALD Nyambari, aliyekuwa Msaidizi wa Upepeli Mkoa wa Kipolisi Kinondoni na shahidi namba nane wa Jamhuri katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili...

Habari Mchanganyiko

Waziri wa JK afariki dunia

OMARY Nundu, aliyewahi kuwa Mbunge wa Tanga Mjini na Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete,...

Habari Mchanganyiko

Wilaya 27 hazina mahakama za wilaya-Dk. Mahiga

SERIKALI imesema, ni kweli Wilaya ya Itilima kwa sasa haina Mahakama ya Wilaya, hivyo wananchi wanalazimika kusafiri kwa umbali wa kilometa 37 kufuata...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi Jamhuri aibuka na Akwelina

SHAHIDI wa nane katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake wanane, ametoa ushahidi wake leo. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Kwenye kesi...

Michezo

Shabiki stars apoteza maisha uwanjani, Tff watoa neno

Katibu mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania Tff, Wilfred Kidau ametoa pole kwa familia ya shabiki mmoja aliepoteza maisha kwenye mchezo...

Habari Mchanganyiko

Ujerumani yaipa Tanzania Bil 32

SERIKALI ya Tanzania imepatiwa msaada wa Sh. 32.74 bilioni kutoka Ujerumani kwa ajili ya kutokomeza vifo vitokanavyo na uzazi, pamoja na kudhibiti maambukizi...

Habari za Siasa

Nape aungama kwa JPM

NAPE Nnauye, Mbunge wa Mtama, leo tarehe 10 Agosti 2019 amekwenda kuungama kwa Dk. John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Kelvin...

Tangulizi

Mbowe aishiwa uvumilivu kortini

IDADI kubwa ya mashahidi wa upande wa Jamhuri kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake, imeibua mjadala. Anaripoti Faki Sosi…(endelea)....

error: Content is protected !!