Saturday , 20 April 2024

Day: August 19, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya vigogo wa Chadema, yamuibua Waitara mahakamani

WAKILI wa upande wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya viongozi wenzake, Peter Kibatara, amehoji...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi TPDC, wenzake wafutiwa kesi

JAMES Mataragio, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petrol (TPDC), ameachwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 19 Agosti 2019. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kilichoonekana kwenye video ya Mbowe Kisutu

VIDEO ya Freeman Mbowe na wenzake, iliyoibua mvutano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam hatimaye imeoneshwa leo tarehe 19...

Habari za SiasaTangulizi

Video ya Mbowe, wenzake sasa kuoneshwa kortini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeridhia kuoneshwa video inayodaiwa kubeba matukio yanayomuhusisha Freeman Mbowe na wenzake wakati wa kampeni...

Habari Mchanganyiko

Hali tete MNH: waliofariki ajali ya moto Moro wafika 97

IDADI ya majeruhi wa ajali ya Lori la mafuta ya petrol lililopinduka na kuwaka moto mkoani Morogoro, na kisha kupatiwa matibabu katika Hospitali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hakimu, Serikali wakwamisha kesi ya Kabendera

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imehairisha kesi namba 75 ya mwaka 2019 inayomkabili mwandishi wa kujitegemea wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera...

Habari za Siasa

Mambo yatakayofanywa na SADC chini ya Rais Magufuli

JANA tarehe 18 Agosti 2019 Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi 16 mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ulifungwa...

error: Content is protected !!