Thursday , 28 March 2024

Month: July 2019

Habari za Siasa

Juma Duni Haji aikosoa SMZ

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimedai kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), ina tabia ya kutenga bajeti isiyokidhi mahitaji pia kukopa kwa masharti magumu na...

Habari za SiasaTangulizi

Makamba, Kinana watinga Ikulu

YUSUF Makamba na Abdulrahman Kinana, makatibu wakuu wastaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamebisha hodi kwa Rais John Magufuli. Anatipoti Mwandishi Wetu …...

Habari za Siasa

Kesho Arusha, Kilimanjaro kuanza rasmi BVR

UBORESHAJI wa Daftari la Wapiga Kura kwa njia ya Kielektroniki (BVR), katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha unatarajia kuanza rasmi tarehe 18 Julai...

Habari za Siasa

Mdee atoka mahabusu

JESHI la Polisi mkoani Kagera, limemwacha kwa dhamana Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Jeshi...

Habari za SiasaTangulizi

Hatuogopi uchaguzi Singida, tunakataa uharamu – Chadema  

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema, “kushiriki uchaguzi mdogo katika jimbo la Singida Mashariki, ni sawa na kutenda uovu.” Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Uchaguzi...

Habari za Siasa

Polisi wamng’ang’ania Mdee

JESHI la Polisi mkoani Kagera, bado linamshikilia Halima Mdee, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), tangu jana...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aonya wanasiasa

RAIS John Magufuli, Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, ameonya wanasiasa wanaodhalilisha vyombo vya ulinzi na usalama nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza...

Habari Mchanganyiko

Morogoro watenga 25% za mapato kutunza misitu

MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro wameazimia kutenga asilimia 25 wanayokusanya kutoka vijiji vya mradi wa mkaa endelevu kila mwaka na kuanzisha...

Habari Mchanganyiko

Waliouwa Watanzania Msumbiji wanaswa, mmoja afariki

MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema, watu watano wanaoshukiwa kuhusika katika tukio la mauaji ya Watanzania tisa nchini Msumbiji,...

Habari za Siasa

CCM yamtamani Katibu Chadema

KATIBU Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Bahi jijini Dodoma, Melickzedeck Lesaka ametoa siku saba kwa Umoja wa Vijana wa...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa afanya ‘mageuzi’

PROFESA Makame Mbarawa, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, amefanya mabadiliko katika Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira katika mikoa ya Tabora na...

Habari za SiasaTangulizi

Mtetezi wa JPM awavuruga Kinana, Makamba

KIGUGUMIZI cha Serikali ya Awamu ya Tano kumchukulia hatua Cyprian Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais John Magufuli, sasa kinahojiwa. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Huu ni unyama; Waziri ahuzunika mateso ya mama, kichanga chake

UNYAMA na vitendo vya ukiukwaji wa sheria vimelalamikiwa na Mhandisi Hamad Massauni, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za Siasa

Zitto aja na mikakati ya kuiteka Dar

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amewapa mbinu za ushindi viongozi wa majimbo wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Wakopaji watakiwa kutumia mikopo kwa maendeleo

WANACHAMA ambao wapo kwenye vikundi vya hiari vya kukopeshana SACCOS wameshauriwa kutumia fedha wanazokopa kwa ajili ya Maendeleo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Elimu

Dirisha maombi ya kujiunga vyuo vikuu kufunguliwa Julai 15

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kwamba, maombi ya kujiunga na vyuo vikuu kwa shahada ya kwanza katika mwaka wa masomo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kabudi azidi kung’ang’aniwa

KAMPUNI ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), wachapishaji wa magazeti ya MwanaHALISI, MSETO na MAWIO, imemshukia Prof. Palamagamba Kabudi, kufuatia kauli yake, kwamba...

Habari za Siasa

Nape, Dk. Bashiru waungana kukemea wanasiasa kushughulikiwa na Polisi

HATUA ya Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM  kukosoa vitendo vya baadhi ya Polisi kutumia nguvu katika kuwashughulikia wanasiasa, imemuibua Nape Nnauye,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu mbioni kumshitaki Ndugai

TUNDU Lissu, aliyetangazwa na Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, kuvuliwa wadhifa wake wa ubunge katika jimbo la Singida Mashariki, yuko mbioni...

Habari Mchanganyiko

BOT yailima DTB benki faini Bil. 1

BENKI ya Diamond Trust (DTB) imepigwa faini ya kiasi cha Sh. 1 Bilioni na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwa kukaidi agizo la...

Habari Mchanganyiko

CPA kujenga Makao yake Makuu jijini Dodoma

JUMUIYA ya Madola Kanda ya Afrika  CPA unakusudia kujenga ofisi ya Makao Makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na ujenzi wa hoteli ya nyota...

Habari Mchanganyiko

JP DECAUX, Polisi waandaa tamasha la bodaboda 

JESHI la Polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Kampuni ya JP DECAUX imeandaa tamasha la UNITY FESTIVAL kati ya bodaboda na askari Polisi ...

Habari Mchanganyiko

Morogoro waomba kutosahauliwa mradi wa Mkaa Endelevu

MWENYEKITI wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro, Kibena Kingu ameuomba Mradi wa kuleta mageuzi katika Sekta ya mkaa Tanzania (TTCS) usiwasahau katika awamu...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa Dini wazindua Kitabu cha Mwongozo wa Uchumi

KAMATI ya Viongozi wa Dini ya Masuala ya Haki za Kiuchumi na Uadilifu katika Uumbaji (ISCEJIC), imezindua Mfumo wa Soko Jamii unaotoa muongozo...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: Kamateni hao CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema, mgombea yeyote wa chama hicho atakayejihusisha na vitendo vya rushwa, Taasisi ya...

Habari za Siasa

Rais Museveni kumfuata Rais Magufuli kesho

YOWERI Museveni, Rais wa Uganda anatarajiwa kutua kwenye ardhi ya Tanzania kesho 13 Julai 2019, kwa ziara ya siku moja. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ‘amweka ndani’ mtoza ushuru kwa dakika 5 

MTOZA ushuru aliyetambulika kwa jina moja la Pesha, jana tarehe 11 Julai 2019, alijikuta matatani baada ya Rais John Magufuli kuagiza akamatwe na...

Elimu

Matokeo ya Kidato cha Sita haya hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akitangaza matokeo...

Afya

Bilioni 7 kujenga jengo la wazazi Mbeya

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya inajenga jengo la Wazazi lenye thamani ya Sh. 7 bilioni ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo kuwa ‘Kanani ya Siasa’ 2020?

CHAMA cha ACT-Wazalendo kinaweza kuwa nchi ya Kanani kwa wanasiasa kutoka kwa vyama mbalimbali vya nchini Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Anaandika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Kabudi: Wameninukuu vibaya, sijasema Azory amefariki

PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amekanusha kauli inayosambaa katika mitandao ya kijamii ya kwamba amethibitisha...

Elimu

Benki ya UBA yamwaga vitabu 1,500 Kigamboni

BENKI ya UBA Tanzania kupitia taasisi ya UBA Foundation chini ya mpango wa ‘Read Africa Initiative’ imetoa vitabu 1,500 vya fasihi kwenye shule...

Habari Mchanganyiko

Siyo Asasi zote zinafanya vibaya

MKURUGENZI wa asasi isiyokuwa ya kiraia ya Women Wake Up (WOWAP), Fatuma Tawfiq, amesema kuwa siyo kweli kuwa asasi za kiraia hazifanyi kazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Afisa Madini mbaroni kwa wizi wa dhahabu ya Mil.507

DONALD  Njonjo, Meneja wa Maabara katika Tume ya Madini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa tuhuma za...

Afya

Serikali yashusha neema Njombe

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imeshusha neema kwa wananchi wa Njombe kwa kutenga kiasi cha Sh. 7.6 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

Wizi mpya waibuka, TCRA wadaka 12 Mwanza

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA ) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limewatia mbaroni watu 12 wanaojihusisha na usajili wa...

Habari za SiasaTangulizi

Afisa Usalama (feki) aliyetaka kumtapeli DC Jokate mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) inamshikilia Omary Chuma (55) Mkazi wa Chamazi, Temeke Dar es Salaam, aliyejifanya kuwa ni...

Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti TPSF ahimiza maadili, sheria sekta binafsi

TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) imeendelea kuwahimiza wadau waliyopo kwenye sekta hiyo kufuata sheria, taratibu na uzalendo ili kuepukana na vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Baba mbaroni kwa kumbaka na kumlawiti mwanae

MWANAUME mmoja Saidi Kasti (35) mkazi wa kitongoji cha Kimangakene Kijiji cha Diyovuva kata ya  Kiroka wilayani Morogoro anashikiliwa polisi kwa tuhuma za...

Afya

Wazee Ngerengere wapata za Bima ya Afya

JUMLA ya kaya za wazee 10 za kata ya Ngerengere wilayani Morogoro mkoani hapa zimekabidhiwa kadi za mfuko wa Bima ya Afya ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba wa wafanyakazi Azam watikisa, mwendokasi wapigiwa kelele

VIONGOZI  mbalimbali wa kisiasa na watu mashughuli wametao neno la pole kwenye msiba wa wafanyakazi watano wa Azam TV  waliofariki jana kwenye ajali ...

Habari za Siasa

Benki wapewa dhamana ya kuondoa umaskini wa Watanzania

SERIKALI imesema kuwa bado watanzania wanakabiliwa na hali ya umasikini hivyo kuna kila sababu ya taasisi za kifedha kutoa elemu. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wazidi kupaa

MFUMUKO wa bei wa taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Juni ,2019 umeongezeka hadi kufikia  asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.5 kwa mwaka ulioishia mwezi...

Michezo

TFF yamtimua Amunike, kutangaza mrithi wake

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesitisha mkataba wa Kocha wa Timu ya Taifa “Taifa Stars” Emmanuel Amunike baada ya timu hiyo...

Afya

Tanzania yapunguza maambukizi ya Trachoma (vikope)

TANZANIA imepunguza maambukizi ya ugonjwa wa Trachoma (vikope) kutoka wilaya 71 hadi sita ambazo zitaendelea na umezaji kingatiba. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea)....

Kimataifa

Bosco Ntaganda akutwa na hatia

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imemtia hatiani kwa makosa ya uhalifu wa kivita na binadamu Bosco Ntaganda,  kiongozi wa zamani...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli amtumia salamu za rambirambi Bakhresa, Azam Media

RAIS John Magufuli ameungana na Watanzania kutoa salamu za rambirambi kwa uongozi wa Kampuni zilizo chini ya Azam Media zinazoongozwa na mwenyekti wake...

Michezo

AFCON 2019; Wasiotarajiwa watengeneza hesabu

JANA usiku vigogo wa soka Afrika, timu ya taifa ya Aljeria iliungana na Madagasca na Afrika Kusini kutinga hatua ya robo fainali ya...

Habari za Siasa

NEC kuzindua uandikishaji wapiga kura Julai 18

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inatarajia kuzindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura tarehe 18 Julai 2019 mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wafanyakazi Azam wafariki ajalini

WAFANYAKAZI watano wa Azam Televishen kati ya saba leo tarehe 8 Julai 2019, wamepoteza maisha kwenye ajali iliyotokea katika eneo la Malendi, Wilaya...

error: Content is protected !!