MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amemtaka kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kahungwa kurejesha mara moja pesa zilizochangwa na wadau...
By Moses MsetiJune 17, 2019IMEELEZWA kuwa Benki ya NBC ni benki ya tatu kwa ukubwa nchini Tanzania, hivyo wametunukiwa tuzo ya Utendaji Bora wa sekta ya benki...
By Danson KaijageJune 17, 2019MBUNGE wa Malindi, kisiwani Unguja, Ally Salehe, ameituhumu Serikali ya Jamhuri ya Muungano, kupunja mapato ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), yanayopitia Mfuko...
By Danson KaijageJune 17, 2019MBUNGE Tunduma, Frank Mwakajoka (Chadema) ameitaka serikali kutoa taarifa ya masoko kwa wafanyabiashara ya mahindi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Mwakajoka alitoa...
By Danson KaijageJune 17, 2019MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kwa wakazi eneo la C Centre...
By Danson KaijageJune 17, 2019ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini, amekosoa bajeti ya serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/20, kwa kuweka fedha za ununuzi wa ndege kiwango...
By Hamisi MgutaJune 16, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameeleza kwamba, kuna mashaka makubwa katika takwimu za serikali kuhusu ukuaji wa pato la taifa...
By Mwandishi WetuJune 16, 2019SERIKALI imetoa tahadhari kwa umma kuhusu uwepo wa tishio la ugonjwa wa Ebola kufuatia ugonjwa huo kulipuka nchi ya jirani ya Uganda. Anaripoti...
By Regina MkondeJune 15, 2019DAKTARI Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania, kila timu itawatumia wachezaji...
By Kelvin MwaipunguJune 15, 2019DAKTARI Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne amemuomba Rais John Magufuli kuichangia Klabu ya Yanga. Anaripoti Kelvin Mwaipungu …...
By Kelvin MwaipunguJune 15, 2019SIKU chache baada ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango kusoma Bajeti ya Kuu ta Tanzania kwa mwaka 2019/20, huku ikielezea...
By Masalu ErastoJune 15, 2019JESHI la Polisi Wilaya ya Morogoro limezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliotarajiwa kufanyika kesho Jumapili tarehe 16...
By Mwandishi WetuJune 15, 2019SERIKALI imetoa maagizo saba kwa viongozi, Asasi za Kiraia na kijamii, wadau wa maendeleo na mashirika ya kimataifa, yenye lengo la kuchagiza masuala...
By Danson KaijageJune 15, 2019JENISTA Mhagama, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) ametoa wito kwa Watanzania wanaofanya kazi katika...
By Mwandishi WetuJune 15, 2019DAKTARI Hamis Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii amesitisha mpango wake wa kupeleka fuvu la mtu wa kale katika Makumbusho ya Olduvai, Ngorongoro...
By Regina MkondeJune 14, 2019SERIKALI imefuta tozo 15 katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ikiwa ni hatua ya kuboresha sekta hiyo na kuondoa vikwazo walivyokuwa wakikumbana navyo...
By Mwandishi WetuJune 14, 2019ALIYEKUWA kipa wa Yanga, Benno Kakolanya amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba kuanzia msimu ujao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kakolanya...
By Mwandishi WetuJune 14, 2019CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kagera kimedhamiria kuwavua madaraka viongozi ambao wataonekana kuwavuruga wakati huu kuelekea chaguzi zijazo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 14, 2019BAADHI ya wananchi waliotoa maoni kuhusu mapendekezo ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 mkoani Kagera na Dodoma, wamekuwa na maoni tofauti. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 14, 2019NCHI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), imeomba kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo amesema Felix...
By Masalu ErastoJune 14, 2019MATAIFA matano ya Afrika Mashariki jana tarehe 13 Juni 2019, yalitazamiwa kusoma bajeti zao kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 14, 2019BAJETI ya serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20, iliyosomwa na Dk. Philiph Mpango, waziri wa fedha na mipango, katika utawala wa Rais John...
By Saed KubeneaJune 13, 2019TOFAUTI na bajeti za serikali katika miaka ya fedha iliyopita, katika Mwaka wa Fedha wa 2019/20, ushabiki wa kisiasa umedhihiri. Anaripoti Dandon Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageJune 13, 2019SERIKALI imesema kuwa, enzi za kutegemea wajomba zimekwisha na sasa, Watanzania washikamane na kufanya kazi kwa bidii. Anaripoti Dandon Kaijage, Dodoma … (endelea). Akisoma...
By Danson KaijageJune 13, 2019BAJETI kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 iliyosomwa leo tarehe 13 Juni 2019, imependekeza ushuru kwa mawigi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Akisoma...
By Danson KaijageJune 13, 2019SERIKALI ya Tanzania imependekeza kupanda kwa ada ya leseni ya udereva kutoka Sh. 40,000 za sasa, mpaka Sh. 70,000 kwa Mwaka wa Fedha...
By Danson KaijageJune 13, 2019LUCAS Lihambalimu, Katibu Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Malinyi mkoani Morogoro jana usiku tarehe 12 Juni 2019, amepigwa...
By Mwandishi WetuJune 13, 2019ZITTO Kabwe amemuandikia barua ya malalamiko Diwani Athuman, Kamishna wa Polisi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
By Mwandishi WetuJune 13, 2019MAPATO ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), yameongezeka kutoka Sh. 11.7 Bilioni mwaka 2015/16 hadi Sh. 45.5mwaka 2018/19. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea)....
By Bupe MwakitelekoJune 13, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge amesema, miongoni mwa sababu za Bunge hilo kutorushwa ‘live’, wabunge wenyewe kutojiheshimu. Anaripoti Dandon Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageJune 13, 2019RAIS John Magufuli ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Shirika la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco), kushindwa kuwasaidia John Mwafute na Jairos Ngairo ambao...
By Faki SosiJune 13, 2019SERIKALI imeeleza kuwa, pato la wastani la kila mtu kwa mwaka 2018 lilifikia Sh. 2.4 Milioni (2,458,496), kutoka Sh. 2.3 (2, 327,395) mwaka...
By Regina MkondeJune 13, 2019SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema) amemtuhumu Dk. Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango kwamba, ameshindwa kumsaidia Rais John Magufuli kuimarisha uchumi...
By Regina MkondeJune 13, 2019KODI! Kodi! Kodi, ndio mwelekeo wa Bajeti ya ya nne tangu Rais John Pombe Magufuli ashike madaraka, akiwa na kauli tamu na ahadi...
By Mwandishi WetuJune 13, 2019TIMU ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), inayoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, inayotarajiwa kuanza tarehe 22 Juni mwaka huu, nchini...
By Mwandishi WetuJune 12, 2019JUMLA ya Sh. 20 milioni zimetenwa na wanakijiji wa kijiji cha Mlilingwa, Ngerengere mkoa wa Morogoro walizokusanya kutokana na mapato ya mkaa endelevu...
By Christina HauleJune 12, 2019SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), Kanda ya Ziwa limeeleza kuwa, wafanyabiashara wakubwa ni miongoni mwa watu wanaongoza kulipa bili ya umeme kwa asilimia...
By Moses MsetiJune 12, 2019MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mtwara leo tarehe 12 Juni 2019, imetoa kibali cha kukata rufaa ya kupinga Kanuni za Maudhui ya Mtandao ya...
By Mwandishi WetuJune 12, 2019JUMLA ya wanafunzi 199 wanaosoma darasa la VII kwa mwaka 2019 katika shule za msingi nne, zilizopo kwenye Kata ya Kasharu katika Halmashauri...
By Mwandishi WetuJune 12, 2019UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema serikali imepokea kwa tahadhari kubwa taarifa ya uwepo mlipuko wa...
By Bupe MwakitelekoJune 12, 2019WAKATI taifa likijiandaa kuingia kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Oktoba mwaka huu na baadaye Uchaguzi Mkuu 2020, serikali na Chama Cha Mapinduzi...
By Danson KaijageJune 12, 2019DAKTARI John Magufuli ameteua wenyeviti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Bodi ya Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel...
By Regina MkondeJune 12, 2019SERIKALI imeeleza kuwa, mpaka sasa kuna jumla ya viwanda vipya 3,000 tangu kuanza kwa kampeni ya ujenzi wa viwanda katika Serikali ya Awamu...
By Danson KaijageJune 12, 2019DAKTARI Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar leo tarehe 11 Juni 2019 amefanya uteuzi wa viongozi katika idara mbalimbali zilizoko chini ya wizara...
By Regina MkondeJune 11, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amekamatwa na Maofisa Uhamiaji Visiwani Zanzibar, akiwa njiani kuelekea nchini Kenya, kabla ya kukabidhiwa kwa...
By Mwandishi WetuJune 11, 2019SERIKALI imeitaka Mahakama ya Rufani kuirudisha kesi ya jinai No. 245 ya mwaka 2012, inayomkabili Sheikh Ponda Issa Ponda, katika Mahakama ya Kisutu...
By Faki SosiJune 11, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amedai kuwa, katika tawala za marais watatu waliopita, hakuwahi kuona mambo yanayofanyika kwenye serikali ya sasa....
By Mwandishi WetuJune 11, 2019WAMILIKI 207 wa ardhi wanaodaiwa zaidi ya Sh. 200 Bilioni, wamepewa siku tisa kuanzia leo ili kukamilisha malipo hayo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Danson KaijageJune 11, 2019SAKATA la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutaka wakurugenzi wa halmshauri na manispaa kusimamia uchaguzi, linachukua sura mpya. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeJune 11, 2019SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, leo tarehe 11 Juni 2019 anapandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Rufani,...
By Faki SosiJune 11, 2019