Thursday , 25 April 2024

Day: June 14, 2019

Habari Mchanganyiko

Fuvu la Zinjanthropus kutowekwa hadharani

DAKTARI Hamis Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii amesitisha mpango wake wa kupeleka fuvu la mtu wa kale katika Makumbusho ya Olduvai, Ngorongoro...

Habari Mchanganyiko

Tozo 15 Mifugo na Uvuvi zafutwa

SERIKALI imefuta tozo 15 katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ikiwa ni hatua ya kuboresha sekta hiyo na kuondoa vikwazo walivyokuwa wakikumbana navyo...

Michezo

Kipa wa Yanga asaini miaka miwili Simba

ALIYEKUWA kipa wa Yanga, Benno Kakolanya amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba kuanzia msimu ujao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kakolanya...

Habari za Siasa

CCM Bukoba waanza kuwindana

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kagera kimedhamiria kuwavua madaraka viongozi ambao wataonekana kuwavuruga wakati huu kuelekea chaguzi zijazo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wananchi watoa ya moyoni bajeti 2019/20

BAADHI ya wananchi waliotoa maoni kuhusu mapendekezo ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 mkoani Kagera na Dodoma, wamekuwa na maoni tofauti. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

DRC yaomba kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki

NCHI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), imeomba kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo amesema Felix...

Kimataifa

Kenya yaongoza kwa bajeti kubwa Afrika Mashariki

MATAIFA matano ya Afrika Mashariki jana tarehe 13 Juni 2019, yalitazamiwa kusoma bajeti zao kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

error: Content is protected !!