Tuesday , 16 April 2024

Day: June 12, 2019

Michezo

Taifa Stars yatema watatu wa kimataifa

TIMU ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), inayoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, inayotarajiwa kuanza tarehe 22 Juni mwaka huu, nchini...

Habari Mchanganyiko

Wanakijiji wachanga Mil 20 kujenga madarasa

JUMLA ya Sh. 20 milioni zimetenwa na wanakijiji wa kijiji cha Mlilingwa, Ngerengere mkoa wa  Morogoro walizokusanya kutokana na mapato ya mkaa endelevu...

Habari Mchanganyiko

Tanesco Mwanza lapongeza wafanyabiashara

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), Kanda ya Ziwa limeeleza kuwa, wafanyabiashara wakubwa ni miongoni mwa watu wanaongoza kulipa bili ya umeme kwa asilimia...

Habari Mchanganyiko

Sheria Maudhui ya Mtandao kukatiwa rufaa

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mtwara leo tarehe 12 Juni 2019, imetoa kibali cha kukata rufaa ya kupinga Kanuni za Maudhui ya Mtandao ya...

Elimu

Wanafunzi 199 wa msingi Bukoba Vijijini wapata afueni

JUMLA ya wanafunzi 199 wanaosoma darasa la VII kwa mwaka 2019 katika shule za msingi nne, zilizopo kwenye Kata ya Kasharu katika Halmashauri...

Afya

Waziri Ummy: Tunafuatilia kwa karibu Ebola Uganda

UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema serikali imepokea kwa tahadhari kubwa taarifa ya uwepo mlipuko wa...

Habari za SiasaTangulizi

‘Bao la mkono’ lahojiwa bungeni

WAKATI taifa likijiandaa kuingia kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Oktoba mwaka huu na baadaye Uchaguzi Mkuu 2020, serikali na Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

JPM ateuwa wenyeviti wapya wa bodi TTCL, Airtel Tanzania

DAKTARI John Magufuli ameteua wenyeviti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Bodi ya Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel...

Habari za Siasa

Serikali: Kuna viwanda vipya 3,000

SERIKALI imeeleza kuwa, mpaka sasa kuna jumla ya viwanda vipya 3,000 tangu kuanza kwa kampeni ya ujenzi wa viwanda katika Serikali ya Awamu...

error: Content is protected !!