Friday , 29 March 2024

Day: June 10, 2019

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Mungu amewaumbua

RAIS John Magufuli amesema, Mungu amewaumbua watu waliodhihaki hatua ya serikali kufanya mazungumzo na Kampuni ya Bharti Airtel International mwaka mmoja uliopita. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei wapaa

MFUMKO wa bei umeongezeka kutoka asilimia 3.2 mwezi Aprili, hadi asilimia 3.5 mwezi Mei mwaka huu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Akizungumza na...

Habari za Siasa

Kamisha mpya TRA apewa majukumu mazito

DAKTARI Edwin Mhede, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ameapishwa leo huku akipewa majukumu mawili mazito. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Kwanza...

Habari Mchanganyiko

Wizara yapongezwa kupitisha sera ya mkaa

MENEJA wa mradi wa kuleta maeuzi katika Sekta ya mkaa Tanzania (TTCS), Leonard Charles ameishukuru  Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kuamua kuunda...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma za rushwa: Ofisa TRA, Polisi wapandishwa kizimbani

CHARITY Ngwala (28), Ofisa Msaidizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), H 4810 PC Ramadhani Uweza (28) na H 48 86...

Habari za SiasaTangulizi

Pangua pangua ya Rais Magufuli, ilianzia siku ya kwanza ya kuingia Ikulu 

RAIS John Magufuli, amebakiza mwaka mmoja na ushei kukamilisha ngwe yake ya kwanza ya miaka mitano. Akibahatika aweza kuendelea kuhudumu katika kipindi kingine...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awananga wapinzani

JOB Ndugai, Spika wa Bunge ametumia ujio wa Mukabalisa Donatile, Spika wa Bunge la Rwanda kuwanaga wapinzani nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Spika Ndugai...

Tangulizi

Mambo magumu TRA: Maofisa waanza kudakwa

MAOFISA watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wanaotajwa kuhusika kuomba rushwa kwa mfanyabiashara Ramadhan Ntunzwe, watapandishwa kizimbani muda wowote kuanzia sasa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Spika Ndugai atetea abiria wa Z’bar

JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameishauri Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuangalia uwezekano wa kuongeza kilo zinazopimwa kwa abiria wanaosafiri na boti...

Habari Mchanganyiko

AZAKI zatakiwa kusimamia fedha za miradi vizuri

SERIKALI imezitaka Asasi za Kiraia (AZAKI) kusimamia vyema matumizi ya fedha za miradi, ili ziwanufaishe walengwa. Anaripoti Danson Kaijage…(endelea). Wito huo umetolewa na...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Mradi wa REA haulipi fidia

SERIKALI imesema, hakuna malipo ya fidia kwenye maeneo ya wananchi,yanayopitiwa na mradi wa usambazaji umeme vijijini unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA)....

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akabidhiwa cheo ACT-Wazalendo, yumo Jussa, Bimani, Mazrui

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimemteua Maalim Seiff Sharif Hamad, kuwa mshauri mkuu wa chama hicho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Gwiji huyo wa siasa...

error: Content is protected !!