Thursday , 25 April 2024

Day: May 16, 2019

Habari za Siasa

Shahidi kesi ya Zitto amtaja Lissu

SHAHIDI wa tatu, Shabani Hamis (40) kwenye kesi  Na. 327/2018 ya uchochezi inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameieleza mahakama kwamba,...

Habari za Siasa

Kesi ya Zitto: Shahidi asema ‘nawachukia polisi’

SHAHIDI wapili kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa, analichukia...

Afya

Serikali kumaliza uhaba wa watumishi wizara ya Afya

Serikali ya Tanzania imeazimia kufikia asilimia 70 kutoka 48 ya uhaba wa watoa huduma za afya kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini...

Habari za Siasa

Masele ashusha mashambulizi

STEPHEN Masele, Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP), ambaye pia ni Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hana tabia ya kueleza...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai alianzisha upya kwa Prof. Assad

MNYUKANO kati ya Job Ndugai, Spika wa Bunge na Profesa Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), bado unaendelea. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge CCM amvimbia Spika Ndugai

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limesimamisha uwakilishi wa Mbunge wa Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele hadi Kamati ya Haki, Maadili...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi abanwa, Dk. Mashinji augua ghafla kizimbani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeahairisha kusikiliza ushahidi wa shahdi wa tatu wa upande wa mashitaka katika kesi inayowakabili...

error: Content is protected !!