SAKATA la watoto wa kike na kina mama kutumia vibaya dawa aina ya Misoprostol kwa ajili ya kutoa mimba, limeibuka bungeni ambapo serikali...
By Regina MkondeMay 31, 2019LAZARO Nyalandu, aliyewahi kuwa Mbunga wa Singida Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kufedheheshwa na kadhia ya kwenda kuripoti Kituo cha Polisi...
By Hamisi MgutaMay 31, 2019MBUNGE Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Mariam Kisangi ameishauri serikali kuongeza idadi ya shule za watoto wenye mahitaji maalumu, akisema wengi wao...
By Hamisi MgutaMay 31, 2019PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amejigamba kwamba, kwenye nchi hii amefanya kazi ya kutukuka na...
By Mwandishi WetuMay 31, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Maalim Seif Sharif Hamad, mwanachama namba moja wa chama hicho, walilivaa Jimbo la Ukonga...
By Faki SosiMay 31, 2019MAALIM Seif Sharif Hamad, mwanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekula kiapo hadharani kwamba, hatolala mpaka ahakikishe kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekaa kando....
By Faki SosiMay 31, 2019HATUA ya Roeland van de Geer, aliyekuwa Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania kuondoka na kurejea kwao kwa shinikizo, sasa imehojiwa...
By Masalu ErastoMay 30, 2019MGOGORO wa bei ya zao la pamba ulioukuwepo baina ya wakulima na wanunuzi umemalizwa na sasa zao hilo litaendelea kununuliwa kwa bei elekezi...
By Moses MsetiMay 30, 2019WIZARA ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeomba bajeti ya ya Sh. 166.92 bilioni kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMay 30, 2019NAWASHUKURU sana wote walioguswa na mkasa ulionisibu katika saa ya kujaribiwa kwangu mnamo majira ya 8:30 mchana Jumatatu, tarehe 27 Mei 2019. Anaandika Lazaro...
By Mwandishi MaalumMay 30, 2019TATIZO la ndege za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kuchelewa kuanza safari zake, leo tarehe 30 Mei 2019 bungeni limeibuliwa na Nape Nnauye,...
By Mwandishi WetuMay 30, 2019WABUNGE wa Zanzibar, wameonesha kukerwa na vikwazo vya ushuru wanavyopitia wafanyabiashara wanaoingiza na kusafirisha bidhaa zao nje ya nchi kupitia Tanzania Bara. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 30, 2019IMEELEZWA kuwa, wazazi wengi hawana uelewa wa kutosha kuhusu sera ya elimu bure jambo ambalo linasababisha wanafunzi kushindwa kuendelea vyema na masomo. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageMay 30, 2019MWANAUME mmoja, Boniphace Agustino (46) mkazi wa Chamwino, Morogoro ameuawa na watu watatu akiwemo mke wake na mwanae kwa kumpiga kitu kizito kichwani...
By Christina HauleMay 29, 2019BENKI ya Dunia (WB), yaweza kuhamisha ofisi yake ya Mkurugenzi Mkazi kutoka jijini Dar es Salaam na kuipeleka nchini Afrika Kusini. Anaandika Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMay 29, 2019TATIZO la vitambi na mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Dengue, umezua mjadala bungeni kufuatia wabunge kadhaa kuhoji mpango wa serikali katika kudhibiti...
By Regina MkondeMay 29, 2019LUDOVICK Utouh, Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, ameungana na Prof. Mussa Assad, CAG wa sasa kwamba, Bunge linashindwa kusimamia...
By Mwandishi WetuMay 29, 2019RAIS John Magufuli ametembelea eneo la kumbukumbu ya mashujaa waliopigania ukombozi wa nchi ya Namibia, lililopo nje kidogo ya Jiji la Windhoek nchini...
By Mwandishi WetuMay 28, 2019JESHI la Polisi mkoani Singida limewatoa mahabusu Lazaro Nyalandu na wenzake wawili, David Jumbe na mmoja aliyetajwa kwa jina la Samson, kwa dhamana...
By Mwandishi WetuMay 28, 2019MIKATABA mingi inayoingiwa na wizara, taasisi za umma na wadau mbalimbali nchini, imekuwa na udanganyifu mkubwa na kusababisha taifa kupata hasara. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeMay 28, 2019MOUSA Twaleb ambaye ni dereva teksi, leo tarehe 28 Mei 2019, amepandisha katika Mahakama ya Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam akituhumiwa kwa...
By Faki SosiMay 28, 2019DEREVA wa basi la Abood lenye namba za usajili T 269 DBV ambaye jina lake halikufahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kushambuliwa...
By Mwandishi WetuMay 28, 2019JESHI la Polisi Singida Mjini limemnyika dhamana Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Kaskazini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu...
By Mwandishi WetuMay 27, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema), kimeeleza kutojua alipo Lazaro Nyalandu, aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Awamu ya Nne....
By Faki SosiMay 27, 2019CLEMENT Maganga, Mwakilishi wa Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (Ten/Met), amesema kuwa mtandao wa elimu nchini imejiwekea malengo makuu matatu ya kuimarisha...
By Danson KaijageMay 27, 2019NI matarajio yangu kuwa siku historia ya vyombo vya habari katika Tanzania katika robo karne itakayopita itakapoandikwa, basiwaandishi wa historia hiyo watampa nafasi...
By Mwandishi MaalumMay 26, 2019RAIS John Magufuli leo Jumamosi Mei 25, 2019, amekuwa kivutio nchini Afrika Kusini baada ya kugeuki fani ya kupiga picha katika hafla ya...
By Mwandishi WetuMay 25, 2019RAIA wa Tanzania, Abdul Harun Karim amefungwa miaka 110 jela nchini Kenya, kwa makosa ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi nchini humo. Inaripoti...
By Mwandishi WetuMay 25, 2019MBOBEZI wa sheria nchini na Wakili wa Mahakama Kuu, Prof. Abdallah Safari amesema, iwapoDk. Adelardus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), atagoma kutekeleza hukumu...
By Hamisi MgutaMay 24, 2019WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa huo ifikapo tarehe 7 Juni 2019, kufuatia mkakati wake wa kuliondoa taifa hilo kwenye...
By Mwandishi WetuMay 24, 2019RAIS John Magufuli anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa zinazotarajiwa kufanyika kesho tarehe 25 Mei 2019. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 24, 2019WANAWAKE mkoani Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa...
By Christina HauleMay 23, 2019SERIKALI imesema, bado inaangalia uwezekano kwa Watanzania waishio nje ya nchi, kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zijazo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kauli hiyo imetolewa leo...
By Regina MkondeMay 23, 2019MBUNGE wa Shinyanga Mjini, Stephen Massele leo tarehe 23 Mei 2019, ametibuana na Job Ndugai, Spika wa Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Massele ambaye...
By Mwandishi WetuMay 23, 2019TAARIFA za ujio wa Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki zimekolezwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMay 23, 2019MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amesema kuwa madeni ndiyo sababu kuu iliyopelekea pesa za uwekezaji Sh. 20 bilioni...
By Kelvin MwaipunguMay 22, 2019VYAMA vinane vya upinzani nchini, vimedhamiria mambo mawili makubwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani. Anaripoti Hamisi...
By Masalu ErastoMay 22, 2019MBUNGE wa Jimbo la Bumbwini, Muhammed Amour Mohammed (CUF), amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa majibu mepesi kwa maswali yanayoulizwa na serikali. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMay 22, 2019KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema kuwa, chama hicho kitaendelea kuongoza dola kwa zaidi ya miaka 100 ijayo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 22, 2019MBUNGE wa Ulanga, Goodluck Mlinga ameeleza kushangazwa na hatua ya serikali kugawa mipira ya kiume ya kujamii (kondom) kwa wazinifu bure, huku ikishindwa kugawa...
By Danson KaijageMay 22, 2019WATANZANIA wamehamasishwa kutumia maziwa kwa wingi ili kuweza kutunza afya zao kutokana na kuwa maziwa hayo yanapaikana. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageMay 22, 2019MRITHI wa Joshua Nassari katika Jimbo la Arumeru Mashariki, Dk. John Pallangyo, ameapishwa leo tarehe 22 Mei 2019 kuwa mbunge wa jimbo hilo...
By Danson KaijageMay 22, 2019RAIS John Magufuli ameagiza mashirika na taasisi za umma, zitakazoshindwa kupeleka gawio serikalini hadi kufikia Julai mwaka huu, zichukuliwe hatua kwa mujibu wa...
By Regina MkondeMay 21, 2019MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, ameituhumu serikali kwa kile alichokiita, “kushindwa au kunyamazia,” vitendo vya ubakaji wanavyofanyiwa wapigakura wake....
By Danson KaijageMay 21, 2019SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekinzana na madai kwamba, linatoa gawio kwa serikalini licha ya kujiendesha kwa hasara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika...
By Mwandishi WetuMay 21, 2019SERIKALI imetaja sababu za Tanzania kushuka kwa nafasi tano, kutoka nafasi ya pili hadi ya nane katika orodha ya nchi zenye vivutio vya...
By Regina MkondeMay 21, 2019KAMPUNI ya Land Network Ltd ya jijini Dodoma, kwa kushirikiana na kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya upimaji ardhi Kolida ya nchini China,...
By Danson KaijageMay 21, 2019WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameteua wajumbe saba wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), akiwemo...
By Masalu ErastoMay 21, 2019STEPHEN Masele, Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hajawahi kukurupuka katika kusimamia jambo lolote. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Alitoa kauli hiyo muda mfupi...
By Mwandishi WetuMay 21, 2019MWANAHARAKATI Mdude Nyagali, amehusisha kutekwa kwake na sababu za kisiasa huku akisisitiza kwamba, hatorudi nyuma. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). “Ninachojua ni kuwa, nilitekwa kwa...
By Faki SosiMay 20, 2019