Saturday , 20 April 2024

Month: May 2019

AfyaHabari Mchanganyiko

Misoprostol yatumika kutoa mimba, serikali yatoa agizo

SAKATA la watoto wa kike na kina mama kutumia vibaya dawa aina ya Misoprostol kwa ajili ya kutoa mimba, limeibuka bungeni ambapo serikali...

Habari za Siasa

Nyalandu aonja machungu ya kuwa upinzani

LAZARO Nyalandu, aliyewahi kuwa Mbunga wa Singida Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kufedheheshwa na kadhia ya kwenda kuripoti Kituo cha Polisi...

Habari za Siasa

Mbunge Kisangi: Uhaba shule za walemavu ni kikwazo

MBUNGE Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Mariam Kisangi ameishauri serikali kuongeza idadi ya shule za watoto wenye mahitaji maalumu, akisema wengi wao...

Habari za Siasa

Prof. Kabudi: Ni wivu tu

PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amejigamba kwamba, kwenye nchi hii amefanya kazi ya kutukuka na...

Habari za Siasa

Maalim Seif, Zitto waivaa Ukonga

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Maalim Seif Sharif Hamad, mwanachama namba moja wa chama hicho, walilivaa Jimbo la Ukonga...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif ailia kiapo CCM 2020

MAALIM Seif Sharif Hamad, mwanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekula kiapo hadharani kwamba, hatolala mpaka ahakikishe kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekaa kando....

Habari za Siasa

Sakata Balozi wa EU: Serikali yabanwa

HATUA ya Roeland van de Geer, aliyekuwa Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania kuondoka na kurejea kwao kwa shinikizo, sasa imehojiwa...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro wa bei Pamba wapatiwa ufumbuzi

MGOGORO wa bei ya zao la pamba ulioukuwepo baina ya wakulima na wanunuzi umemalizwa na sasa zao hilo litaendelea kununuliwa kwa bei elekezi...

Habari za Siasa

Mambo ya Nje yaomba Bil 166

WIZARA ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeomba bajeti ya ya Sh. 166.92 bilioni kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Makala & Uchambuzi

Nyalandu asimulia mkasa wake na polisi, Takukuru

NAWASHUKURU sana wote walioguswa na mkasa ulionisibu katika saa ya kujaribiwa kwangu mnamo majira ya 8:30 mchana Jumatatu, tarehe 27 Mei 2019. Anaandika Lazaro...

Habari za Siasa

Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL

TATIZO la ndege za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kuchelewa kuanza safari zake, leo tarehe 30 Mei 2019 bungeni limeibuliwa na Nape Nnauye,...

Habari za Siasa

Wabunge Z’bar walalamikia vikwazo vya biashara Bara

WABUNGE wa Zanzibar, wameonesha kukerwa na vikwazo vya ushuru wanavyopitia wafanyabiashara wanaoingiza na kusafirisha bidhaa zao nje ya nchi kupitia Tanzania Bara. Anaripoti...

Elimu

‘Sera ya elimu bure haijaeleweka’ 

IMEELEZWA kuwa, wazazi wengi hawana uelewa wa kutosha kuhusu sera ya elimu bure jambo ambalo linasababisha wanafunzi kushindwa kuendelea vyema na masomo. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Mke ashirkiana na mtoto kumuua mumewe

MWANAUME mmoja, Boniphace Agustino (46) mkazi wa Chamwino, Morogoro ameuawa na watu watatu akiwemo mke wake na mwanae kwa kumpiga kitu kizito kichwani...

Habari za SiasaTangulizi

Benki ya Dunia yaipa kibano kingine serikali ya Magufuli

BENKI ya Dunia (WB), yaweza kuhamisha ofisi yake ya Mkurugenzi Mkazi kutoka jijini Dar es Salaam na kuipeleka nchini Afrika Kusini. Anaandika Mwandishi Wetu...

HabariHabari Mchanganyiko

Dengue, Vitambi vyazua mjadala bungeni

TATIZO la vitambi na mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Dengue, umezua mjadala bungeni kufuatia wabunge kadhaa kuhoji mpango wa serikali katika kudhibiti...

Habari za SiasaTangulizi

Utouh alianzisha, aungana na Prof. Assad

LUDOVICK Utouh, Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, ameungana na Prof. Mussa Assad, CAG wa sasa kwamba, Bunge linashindwa kusimamia...

Habari za Siasa

JPM atembelea walipozikwa mashujaa Namibia

RAIS John Magufuli ametembelea eneo la kumbukumbu ya mashujaa waliopigania ukombozi wa nchi ya Namibia, lililopo nje kidogo ya Jiji la Windhoek nchini...

Habari za Siasa

Nyalandu, wenzake waachwa kwa masharti

JESHI la Polisi mkoani Singida limewatoa mahabusu Lazaro Nyalandu na wenzake wawili, David Jumbe na mmoja aliyetajwa kwa jina la Samson, kwa dhamana...

Habari za Siasa

Waziri: ‘Tumepigwa’ sana

MIKATABA mingi inayoingiwa na wizara, taasisi za umma na wadau mbalimbali nchini, imekuwa na udanganyifu mkubwa na kusababisha taifa kupata hasara. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kutekwa Mo: Dereva teksi asomewa mashtaka matatu

MOUSA Twaleb ambaye ni dereva teksi, leo tarehe 28 Mei 2019, amepandisha katika Mahakama ya Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam akituhumiwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Basi la Abood lapata ajali, dereva anusurika kifo

DEREVA wa basi  la Abood lenye namba za usajili T 269 DBV ambaye jina lake halikufahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kushambuliwa...

Habari za SiasaTangulizi

TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana

JESHI la Polisi Singida Mjini limemnyika dhamana Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Kaskazini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Hatujui alipo Nyalandu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema), kimeeleza kutojua alipo Lazaro Nyalandu, aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Awamu ya Nne....

Elimu

Mtandao wa Elimu waweka wazi malengo yake

CLEMENT Maganga, Mwakilishi wa Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (Ten/Met), amesema kuwa mtandao wa elimu nchini imejiwekea malengo makuu matatu ya kuimarisha...

Makala & Uchambuzi

RA Mengi: Tasnia ya habari itakukumbuka

NI matarajio yangu kuwa siku historia ya vyombo vya habari katika Tanzania katika robo karne itakayopita itakapoandikwa, basiwaandishi wa historia hiyo watampa nafasi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awa kivutio Sauzi, ampiga picha Kikwete, Ramaphosa

RAIS John Magufuli leo Jumamosi Mei 25, 2019, amekuwa kivutio nchini Afrika Kusini baada ya kugeuki fani ya kupiga picha katika hafla ya...

Habari Mchanganyiko

Mtanzania afungwa miaka 110 kwa ugaidi Kenya

RAIA wa Tanzania, Abdul Harun Karim amefungwa miaka 110 jela nchini Kenya,  kwa makosa ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi nchini humo. Inaripoti...

SiasaTangulizi

Prof. Safari: AG anaweza kutenda jinai

MBOBEZI wa sheria nchini na Wakili wa Mahakama Kuu, Prof. Abdallah Safari amesema, iwapoDk. Adelardus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), atagoma kutekeleza hukumu...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uingereza atangaza kujiuzulu

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa huo ifikapo tarehe 7 Juni 2019, kufuatia mkakati wake wa kuliondoa taifa hilo kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

JPM amfuata Rais Ramaphosa Afrika Kusini

RAIS John Magufuli anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa zinazotarajiwa kufanyika kesho tarehe 25 Mei 2019. Anaripoti...

Habari za Siasa

Wanawake wapigiwa debe kugombea nafasi Serikali za Mtaa

WANAWAKE mkoani Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa...

HabariHabari Mchanganyiko

Taratibu Watanzania nje ya nchi kupiga kura hazijakamilika

SERIKALI imesema, bado inaangalia uwezekano kwa Watanzania waishio nje ya nchi, kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zijazo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kauli hiyo imetolewa leo...

Tangulizi

Massele, Ndugai wavurugana

MBUNGE wa Shinyanga Mjini, Stephen Massele leo tarehe 23 Mei 2019, ametibuana na Job Ndugai, Spika wa Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Massele ambaye...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe anena, kurudi kwa Tundu Lissu

TAARIFA za ujio wa Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki zimekolezwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...

Michezo

Madeni ya Simba yakwamisha Bil. 20 za uwekezaji wa MO

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amesema kuwa madeni ndiyo sababu kuu iliyopelekea pesa za uwekezaji Sh. 20 bilioni...

Habari za Siasa

Upinzani watangaza ‘vita’ mpya

VYAMA vinane vya upinzani nchini, vimedhamiria mambo mawili makubwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani. Anaripoti Hamisi...

Habari za Siasa

Serikali inatoa majibu mepesi – Mbunge CUF

MBUNGE wa Jimbo la Bumbwini, Muhammed Amour Mohammed (CUF), amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa majibu mepesi kwa maswali yanayoulizwa na serikali. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: CCM itaongoza zaidi ya miaka 100 ijayo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema kuwa, chama hicho kitaendelea kuongoza dola kwa zaidi ya miaka 100 ijayo. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge CCM: Serikali inatoa kipaumbele kwa wazinifu 

MBUNGE wa Ulanga, Goodluck Mlinga ameeleza kushangazwa na hatua ya serikali kugawa mipira ya kiume ya kujamii (kondom) kwa wazinifu bure, huku ikishindwa kugawa...

Habari Mchanganyiko

ASAS wagawa maziwa kwa Wabunge kuhamasisha unywaji

WATANZANIA wamehamasishwa kutumia maziwa kwa wingi ili kuweza kutunza afya zao kutokana na kuwa maziwa hayo yanapaikana. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

Mrithi wa Nassar akabidhiwa jimbo

MRITHI wa Joshua Nassari katika Jimbo la Arumeru Mashariki, Dk. John Pallangyo, ameapishwa leo tarehe 22 Mei 2019 kuwa mbunge wa jimbo hilo...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli atia ‘tumbo joto’ taasisi za serikali

RAIS John Magufuli ameagiza mashirika na taasisi za umma, zitakazoshindwa kupeleka gawio serikalini hadi kufikia Julai mwaka huu, zichukuliwe hatua kwa mujibu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lugola alikoroga tena, Bunge lamng’ang’ania

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, ameituhumu serikali kwa kile alichokiita, “kushindwa au kunyamazia,” vitendo vya ubakaji wanavyofanyiwa wapigakura wake....

Habari za Siasa

TTCL yajitetea mbele ya JPM

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekinzana na madai kwamba, linatoa gawio kwa serikalini licha ya kujiendesha kwa hasara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yayumba vivutio vya asili

SERIKALI imetaja sababu za Tanzania kushuka kwa nafasi tano, kutoka nafasi ya pili hadi ya nane katika orodha ya nchi zenye vivutio vya...

Habari Mchanganyiko

Mashine za kisasa upimaji ardhi zaletwa

KAMPUNI ya Land Network Ltd ya jijini Dodoma, kwa kushirikiana na kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya upimaji ardhi Kolida ya nchini China,...

Habari za Siasa

Lukuvi amteua Polepole ujumbe Bodi ya NHC

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameteua wajumbe saba wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), akiwemo...

Habari za SiasaTangulizi

Masele: Sijawahi kukurupuka

STEPHEN Masele, Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hajawahi kukurupuka katika kusimamia jambo lolote. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Alitoa kauli hiyo muda mfupi...

Habari za SiasaTangulizi

Mdude: Nilitekwa, sihofii kifo

MWANAHARAKATI Mdude Nyagali, amehusisha kutekwa kwake na sababu za kisiasa huku akisisitiza kwamba, hatorudi nyuma. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). “Ninachojua ni kuwa, nilitekwa kwa...

error: Content is protected !!