NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara ametoa wito kwa wananchi na wadau wa maendeleo kushirikiana na serikali katika kukarabati nyumba za...
By Danson KaijageApril 12, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini Sh. 5.8 bilioni, Hisham Hendi, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...
By Faki SosiApril 11, 2019BAADA ya Jeshi la Sudan kumng’oa madarakani Rais wa taifa hilo, Omar al-Bashir, limetangaza hali ya hatari katika kipindi cha miezi mitatu, huku...
By Mwandishi WetuApril 11, 2019OFISI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zilizopo Mafinga, Iringa zimevamiwa. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Tukio la uvamizi huo katika Jimbo...
By Bupe MwakitelekoApril 11, 2019SERIKALI imetoa taarifa kwa Umma kuwa bado kuna ugonjwa wa homa wa Dengue hapa nchini licha ya kuwa ugonjwa huo, mpaka sasa hakuna...
By Danson KaijageApril 11, 2019UTAWALA wa miaka 30 wa Rais wa Sudan, Omar al-Bashir, umefika kikomo nchini humo. Anaripoti Saed Kubenea … (endelea). Taarifa kutoka mji mkuu...
By Masalu ErastoApril 11, 2019TAASISI na Jumuiya za Kislamu Tanzania imemuomba Spika wa Bunge Job Ndugai nakala ya mahojiano ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya...
By Faki SosiApril 10, 2019MFANYABIASHARA Azim Dewji ameitabiria makubwa klabu ya Simba katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP...
By Mwandishi WetuApril 10, 2019MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, ameibua tuhuma za kuwapo kwa matumizi mabaya ya madaraka ndani ya...
By Regina MkondeApril 10, 2019TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru inatarajia kumburuza kortini Florencia Mashauri ambaye ni mke wa Robart Kisena, Mkurugenzi wa Kampuni ya Usafisirishaji...
By Faki SosiApril 10, 2019UKAGUZI maalum wa ununuzi wa Mfumo wa Utambuzi wa Alama za Vidole (AFIS) wa Jeshi la Polisi, uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...
By Mwandishi WetuApril 10, 2019RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad imewasilishwa bungeni na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais,...
By Danson KaijageApril 10, 2019YANAYOFANYWA na TFF ya rais wa sasa Wellace Karia, hayakupata kufanywa hata katika tawala za miaka 30 iliyopita. Anaandika Yusuf Abood … (endelea)....
By Yusuf AboudApril 9, 2019SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema), ameitaka serikali kurejesha nyumba za serikali zilizouzwa kiholela na si viwanda vilivyobinafsishwa pekee. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Danson KaijageApril 9, 2019BUNGE la Algeria limemtangaza rasmi Abdelkader Bensalah kurithi mikoba ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika katika kipindi cha miezi mitatu mfululizo....
By Mwandishi WetuApril 9, 2019KESI ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma mjini, imekwama kuendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam. Anaripoti...
By Faki SosiApril 9, 2019RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Dk. Oscar Mbyuzi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa...
By Regina MkondeApril 9, 2019DEVOTHA Minja, Mbunge wa Viti Maalum mkoani Morogoro (Chadema), ameeleza kukerwa na kauli za vitisho zinazotolewa na Jeshi la Polisi nchini. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeApril 9, 2019LIVINGSTON Lusinde, Mbunge wa Jimbo la Mtera (CCM), ameshauri bunge na wananchi kwa ujumla kwamba, kusiwepo na uchaguzi wa rais mwaka 2020. Anaripoti...
By Danson KaijageApril 9, 2019RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Rugemaliza Nshala amesema, ipo haja kwa Tundu Lissu kuhojiwa kutokana na shambulio lake. Anaripoti Faki...
By Faki SosiApril 9, 2019JESHI la Polisi Wilayani Tarime mkoa wa Mara, wamewahoji viongozi watano wa chama cha Chadema wilayani humo, kwa tuhuma za kutoa lugha za...
By Regina MkondeApril 8, 2019IDADI ya makundi yanayojitokeza kumtetea Profesa Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) dhidi ya azimilo la Bunge la...
By Mwandishi WetuApril 8, 2019SERIKALI imeeleza kwamba, changamoto na kero za muungano ambazo zimetatuliwa mpaka sasa ni 11 kati ya 15 zilizowasilishwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...
By Danson KaijageApril 8, 2019HATUA ya karatasi yenye orodha ya shughuli za Bunge (order paper) kutoonesha kuwepo kwa taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali...
By Danson KaijageApril 8, 2019JESHI la Polisi nchini, limekataza kufanyika maandamano ya tarehe 9 Aprili 2019 yaliyopangwa na Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeApril 8, 2019MBUNGE wa kuteuliwa, Alhaji Abdalah Bulembo (CCM) ameonesha wasiwasi kuwa, ahadi zilizotolewa zinaweza kushindwa kutekelezeka kutoka na muda kubaki mfupi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageApril 8, 2019JOHN Mnyika, Mbunge wa Kibamba (Chadema) amepinga kauli ya Juma Aweso, Naibu Waziri wa Maji kwamba, jimbo hilo limesambaziwa maji kwa asilima 80. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 8, 2019Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameahidi kutoa Tsh. Milioni 200 kwa ajili ya ujenzi wa jengo...
By Hamisi MgutaApril 7, 2019PENDEKEZO la Tundu Lissu, aliyekuwa Rais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kwamba, Dk. Rugemeleza Nshala anafaa kuwa rais wa chama hicho,...
By Mwandishi WetuApril 7, 2019WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia taasisi yake ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), imewataka wafanyabiashara, taasisi za umma na binafsi...
By Regina MkondeApril 7, 2019HASHIM Rungwe, Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA)-Taifa, amelalamika kwamba, serikali inavibana vyama vya upinzani nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Anasema, ni wakati...
By Regina MkondeApril 6, 2019NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, imetangaza nia yake ya kufanya maandamano ya amani kupinga azimio la Bunge kuacha kufanya kazi na...
By Regina MkondeApril 6, 2019YUSUF Salim Hussein, Mbunge Jimbo la Chambani visiwani Zanzibar amesema, hahofii kufukuzwa na kwamba, hayupo tayari kubaki Chama cha Wananchi (CUF).Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuApril 6, 2019JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Wilfred Welandumi kwa madai ya kutumia jina la Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu...
By Faki SosiApril 5, 2019RAIS John Magufuli amewaeleza Watanzania kwamba, hataki kuwa mfalme wa nchi hii badi mtatuzi wa kero za wananchi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeApril 5, 2019TAASISI ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), imetangaza kutoa bure miguu bandia 600 kwa watu wenye ulemavu wa miguu. Anaripoti Regina Mkonde …...
By Regina MkondeApril 5, 2019KESI ya madai ya Dola za Marekani Milioni 55, iliyofunguliwa na Kampuni ya Transport Equipment Ltd (TEL) dhidi ya Serikali ya Tanzania nchini...
By Regina MkondeApril 5, 2019RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ipo njia moja kuelekea Bunge la Jamhuri ya Muungano, lakini je, itafikishwa?...
By Bupe MwakitelekoApril 5, 2019SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameweka wazi kuwa wabunge kumi wa viti maalum waliokuwa wanatokana na chama cha CUF waliotimuliwa na chama hicho...
By Danson KaijageApril 4, 2019JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeeleza kutofurahishwa na hatua ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kuzuia waandishi wa habari kuzungumza na wabunge baada...
By Faki SosiApril 4, 2019SERIKALI ya Jamhuri imeeleza kuwa, imefungua mlango wa majadiliano kuhusu kubadili Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2016. Anaripoti Faki Sosi … (Endelea)....
By Faki SosiApril 4, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameeleza kwamba, taasisi anayoiongoza haina ugomvi na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...
By Danson KaijageApril 4, 2019JESHI la Polisi mkoani Tanga limezuia Chama cha ACT-Wazalendo kufanya mkutano wake wa ndani. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taraifa ilizofikia MwanaHALISI Online...
By Regina MkondeApril 4, 2019JOHN Mnyika, Mbunge wa Kibamba jijini Dar es Salaam amepinga hatua ya Job Ndugua, Spika wa Bunge kufukuza wabunge kwa madai ya kudhalilisha...
By Danson KaijageApril 4, 2019MBUNGE wa Ulanga mkoani Morogoro, Goodluck Mlinga amelishauri Bunge kubadili kanuni ili Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani anapokiuka kanuni na sheria za...
By Mwandishi WetuApril 4, 2019MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, “amefukuzwa bungeni.” Amezuiwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Lema amekutwa na...
By Danson KaijageApril 4, 2019MTUHUMIWA wa mauaji ya watu 50 katika misikiti miwili iliyoko mjini Christchurch, New Zealand, Brenton Tarrant (28) huenda akakumbwa na adhabu ya kihistoria. Inaripoti...
By Mwandishi WetuApril 4, 2019MAALIM Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo leo...
By Regina MkondeApril 4, 2019MSOMI wa masuala ya sheria na utawala nchini Profesa Issa Shivji, ameeleza kukerwa na mwelekeo wa utungaji sheria mbovu kwa maslahi ya wachache....
By Faki SosiApril 3, 2019LICHA ya kuitwa mtu wa hovyo, mchekeshaji anayechipuka kwa kasi Peter Mollel ‘Pierre’ sasa ni lulu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kuitikia kwake...
By Danson KaijageApril 3, 2019