KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) kimetoa wito kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuingilia kati mvutano uliopo kati ya Mdhibiti...
By Regina MkondeApril 20, 2019DK. Benson Bagonza, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, mkoani Kagera, amewataka waumini na wananchi kuwa makini...
By Regina MkondeApril 19, 2019BENKI ya UBA nchini imeeleza kuwa, kwa sasa wanakwenda kwa wananchi baada ya mafanikio makubwa ya kufanya kazi na serikali. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiApril 19, 2019PATROBAS Katambi, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma amesema, watu wanaohoji ulinzi wa rais hawana nia njema. Anaripoti Hamis Mguta… (endelea). Na kwamba, watu...
By Hamisi MgutaApril 19, 2019AGIZO la kuzuia kuwaweka watu mahabusu lililotolewa na George Mkuchika, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora limepata...
By Regina MkondeApril 19, 2019MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania ( TCRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi limemfikisha kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Fadhili Mahenge anayedaiwa kumiliki...
By Faki SosiApril 18, 2019WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kutumia jina la Mke wa Rais, John Magufuli, Janneth Magufuli kutapeli watu....
By Masalu ErastoApril 18, 2019MALALAMIKO ya kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini, yameibuka tena leo tarehe 18 Aprili 2019 bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageApril 18, 2019MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema, ataweza kurejea nyumbani muda wowote kutoka sasa, mara baada ya kushauriana na madaktari wake. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 18, 2019JIMBO la Hai linaloongozwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limetikiswa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ni baada...
By Mwandishi WetuApril 18, 2019KAMATI iliyoundwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ajili ya kupitia mikataba ya wadau wa filamu, imetoa matokeo chanya kwa...
By Mwandishi WetuApril 18, 2019GODLUCK Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) amesema kuwa, Wilaya ya Ulanga inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wa kifafa Tanzania na duniani. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageApril 18, 2019RITTA Kabati, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), ametaka Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kuona uwezekano wa kupeleka...
By Danson KaijageApril 18, 2019SPIKA wa Bunge, Dk.Tulia Ackson ameamuru kuondolewa kwenye kumbukumbu za bunge Hotuba ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa...
By Danson KaijageApril 18, 2019SHAHIDI wa kwanza kwenye ya kesi uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, ameeleza kwamba hajui sababu za muuaji wa Akwelina Akwilini kutofikishwa mahakamani mpaka...
By Faki SosiApril 18, 2019RAIS Mstaafu wa nchi ya Peru, Alan Garcia amejiua kwa kujipiga risasi akikwepa kuingia mikononi mwa Jeshi la Polisi la nchi hiyo, kufuatia...
By Mwandishi WetuApril 18, 2019SHAHIHIDI wa kwanza kwenye kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, amekiri kuruhusu matumizi ya risasi za moto kwenye maandamano yaliyofanyika na chama hicho tarehe 16...
By Faki SosiApril 17, 2019BALOZI za Palestina duniani kote, leo tarehe 17 Aprili 2019 zinaadhimisha Siku ya Mateka wa Kiapestina wanaoendelea kushikiliwa na Jeshi la Israel kwenye...
By Faki SosiApril 17, 2019ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir ameanza kusulubiwa, Jeshi la nchi hiyo limempeleka katika gereza lenye ulinzi mkali la Kobar, lililoko mjini Khatoum...
By Mwandishi WetuApril 17, 2019JINA la Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwelina Akwilin, limetajwa kwenye ushahidi unaotolewa katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake...
By Masalu ErastoApril 17, 2019MBUNGE Viti Maalum (CCM), Angelina Malembeka ameishauri serikali kuweka utaratibu kwa wafungwa wa kike wenye ujauzito, kupewa vifungo vya nje ya gereza, ili...
By Danson KaijageApril 17, 2019WATU 150 wanahofiwa kufa baada ya boti walilokuwa wanasafiria kuzama kwenye Ziwa Kivu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuApril 17, 2019KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeibuka na kero saba za Muungano kwamba, mpaka sasa bado zinatikisa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Ratifa...
By Danson KaijageApril 16, 2019JUMLA ya Sh. 17.89 bilioni zimetolewa na Serikali, kupitia mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) kwa ajili ya...
By Moses MsetiApril 16, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeahirisha kesi ya uchochezi inayowakibili viongozi waandamizi wa Chadema, kutokana na mshtakiwa namba sita...
By Faki SosiApril 16, 2019CATHERINE Magige, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) leo tarehe 16 Aprili 2019, ameitaka serikali kueleza ni lini itakamilisha ahadi zake ilizotoa kwa jamii?...
By Danson KaijageApril 16, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF), kipo kwenye wakati mgumu baada ya ACT-Waalendo kuendelea kubomoa ngome zake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Licha ya kauli tata...
By Mwandishi WetuApril 16, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amejaribu kumchora Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika taswira...
By Bupe MwakitelekoApril 16, 2019MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Profesa Adelardus Kilangi, ametoa waraka kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kukazia marufuku ya wateule hao wa Rais...
By Regina MkondeApril 16, 2019MTUMISHI wa Afya anayefahamika kwa jina la Sarah, amenaswa akiuza dawa za serikali katika duka lake la dawa za binadamu (Pharmacy) lililoko katika...
By Regina MkondeApril 16, 2019UNAPOTAFAKARI kauli zinazotolewa na Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri kuhusu sakata lake na Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
By Jabir IdrissaApril 15, 2019JOHN Pallangyo ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki lililokuwa likisimamiwa na Joshua Nasari wa Chadema. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 15, 2019HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumwingiza Rais John Magufuli kwenye mgogoro wake na Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
By Faki SosiApril 15, 2019UMOJA wa vyama nane vya upinzani nchini, vimefungua shauri la madai katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), jijini Arusha, kupinga sheria mpya ya...
By Faki SosiApril 15, 2019USHAURI wa Job Ndugai, Spika wa Bunge kwamba, Prof. Mussa Assad, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ‘akaungame’ kwa Rais...
By Mwandishi WetuApril 15, 2019MBUNGE wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako ameishauri serikali kuiruhusu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), kuendesha mashauri makubwa ya rushwa...
By Danson KaijageApril 15, 2019JOB Ndugai Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshauri Professa Mussa Assad Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali...
By Faki SosiApril 14, 2019KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, ametaja maeneo 1o muhimu katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...
By Danson KaijageApril 14, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimejibu madai ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, juu ya...
By Kelvin MwaipunguApril 13, 2019WAZIRI wa Ulinzi wa Sudan, ambaye Ijumaa ya tarehe 12 Aprili 2019, aliapishwa kuwa kiongozi mpya wa nchi hiyo, kuchukua nafasi ya Rais...
By Saed KubeneaApril 13, 2019MKUU wa jeshi la wananchi nchini (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo, amekoselewa na baadhi ya wanasiasa na wanaharakati, kufuatia kauli yake kuwa “jeshi la...
By Mwandishi WetuApril 13, 2019NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema Rais John Magufuli ameirahisishia kazi Ofisi ya Bunge katika utekelezaji wa majukumu yake, kutokana na...
By Bupe MwakitelekoApril 13, 2019MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo (CDF) amesema, majeshi yamejipanga kukabiliana na vitendo vya uchochezi vinavyohatarisha usalama wa...
By Regina MkondeApril 13, 2019WANANCHI wa Kata ya Rutende wilayani Uyui mkoa wa Tabora wamefunga ofisi za serikali ya kata hiyo wakipinga uongozi uliopo kwa madai kwamba...
By Regina MkondeApril 13, 2019MKUU wa Jeshi la Sudan, Awad Ibn Auf aliyeongoza mapambano ya kumng’oa madarakani Rais wa nchi hiyo, Omar al-Bashiri amejiuzulu katika wadhifa wa...
By Kelvin MwaipunguApril 13, 2019BAADHI ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi wamedai wapo njia panda, kwani hawajajua kama watachangia ripoti ya Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...
By Danson KaijageApril 12, 2019JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa motisha kwa askari wake waliofanya vizuri kwenye majukumu yao ya kulinda wananchi na...
By Mwandishi WetuApril 12, 2019KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amempigia magoti Rais wa Sudani Kusini, Salvar Kiir akimsihi kiongozi huyo kuachana na mapigano katika taifa...
By Kelvin MwaipunguApril 12, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kwamba, Maalim Seif Shariff Hamad amepewa kadi namba moja ili kumsahau aliyekuwa mmiliki wa kadi hiyo, Wakili Albert Msando....
By Regina MkondeApril 12, 2019RAIS John Magufuli amesema, ili maendeleo yapatikane wakati mwingine lazima nguvu itumike. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Rais Magufuli ametoa kauli hiyo tarehe...
By Regina MkondeApril 12, 2019