Friday , 19 April 2024

Day: April 17, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake; Shahidi akiri kuruhusu matumizi ya risasi za moto

SHAHIHIDI wa kwanza kwenye kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, amekiri kuruhusu matumizi ya risasi za moto kwenye maandamano yaliyofanyika na chama hicho tarehe 16...

Kimataifa

Ubalozi Palestina waadhimisha ‘Siku ya Mateka wa Kipalestina’ 

BALOZI za Palestina duniani kote, leo tarehe 17 Aprili 2019 zinaadhimisha Siku ya Mateka wa Kiapestina wanaoendelea kushikiliwa na Jeshi la Israel kwenye...

Kimataifa

Omar al-Bashir aanza kusulubiwa

ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir ameanza kusulubiwa, Jeshi la nchi hiyo limempeleka katika gereza lenye ulinzi mkali la Kobar, lililoko mjini Khatoum...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake; Jina la Akwelina latajwa

JINA la Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwelina Akwilin, limetajwa kwenye ushahidi unaotolewa katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake...

Habari za Siasa

Mbunge CCM atetea wafungwa wajawazito

MBUNGE Viti Maalum (CCM), Angelina Malembeka ameishauri serikali kuweka utaratibu kwa wafungwa wa kike wenye ujauzito, kupewa vifungo vya nje ya gereza, ili...

Kimataifa

Watu 150 wahofiwa kufa ziwani

WATU 150 wanahofiwa kufa baada ya boti walilokuwa wanasafiria kuzama kwenye Ziwa Kivu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Inaripoti Mitandao ya...

error: Content is protected !!