Saturday , 20 April 2024

Day: April 15, 2019

Makala & Uchambuzi

Spika Ndugai ajuaje moyo wa Rais?

UNAPOTAFAKARI kauli zinazotolewa na Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri kuhusu sakata lake na Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

CCM yateua mgombea Jimbo la Nasari

JOHN Pallangyo ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki lililokuwa likisimamiwa na Joshua Nasari wa Chadema. Anaripoti...

Habari za Siasa

Wapinzani wamtaka Spika Ndugai ajiuzulu

HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumwingiza Rais John Magufuli kwenye mgogoro wake na Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani watinga Mahakama ya Afrika Mashariki, kupinga sheria vya Vyama vya Siasa

UMOJA wa vyama nane vya upinzani nchini, vimefungua shauri la madai katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), jijini Arusha, kupinga sheria mpya ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Assad amjibu Spika Ndugai

USHAURI wa Job Ndugai, Spika wa Bunge kwamba, Prof. Mussa Assad, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ‘akaungame’ kwa Rais...

Habari za Siasa

Mbunge ashauri kesi kubwa za rushwa DPP arukwe

MBUNGE wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako ameishauri serikali kuiruhusu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), kuendesha mashauri makubwa ya rushwa...

error: Content is protected !!