Friday , 29 March 2024

Day: April 13, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Chadema ‘yajitutumua’ kwa Prof. Assad

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimejibu madai ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, juu ya...

KimataifaTangulizi

Wa-Sudan waling’ang’ania jeshi, kiongozi wa Mapinduzi naye ang’olewa

WAZIRI wa Ulinzi wa Sudan, ambaye Ijumaa ya tarehe 12 Aprili 2019, aliapishwa kuwa kiongozi mpya wa nchi hiyo, kuchukua nafasi ya Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Jenerali Mabeyo akosolewa

MKUU wa jeshi la wananchi nchini (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo, amekoselewa na baadhi ya wanasiasa na wanaharakati, kufuatia kauli yake kuwa “jeshi la...

Habari za Siasa

Dk. Tulia: Rais Magufuli kalirahisishia  kazi Bunge

NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema Rais John Magufuli ameirahisishia kazi Ofisi ya Bunge katika utekelezaji wa majukumu yake, kutokana na...

Habari za Siasa

CDF Venance: Tupo tayari kukabili uchochezi nchini

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo (CDF) amesema, majeshi yamejipanga kukabiliana na vitendo vya uchochezi vinavyohatarisha usalama wa...

Habari za Siasa

Wananchi wafunga ofisi za serikali ya mitaa

WANANCHI wa Kata ya Rutende wilayani Uyui mkoa wa Tabora wamefunga ofisi za serikali ya kata hiyo wakipinga uongozi uliopo kwa madai kwamba...

Kitaifa

Aliyeongoza kumng’oa  Rais al-Bashir Sudan ajiuzulu

MKUU wa Jeshi la Sudan, Awad Ibn Auf aliyeongoza mapambano ya kumng’oa madarakani Rais wa nchi hiyo, Omar al-Bashiri amejiuzulu katika wadhifa wa...

error: Content is protected !!