Friday , 19 April 2024

Day: April 8, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Mkutano wa Matiko waiponza Chadema

JESHI la Polisi Wilayani Tarime mkoa wa Mara, wamewahoji viongozi watano wa chama cha Chadema wilayani humo, kwa tuhuma za kutoa lugha za...

Habari Mchanganyiko

Change Tanzania wamtetea CAG

IDADI ya makundi yanayojitokeza kumtetea Profesa Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) dhidi ya azimilo la Bunge la...

Habari za Siasa

Kero 11 za Muungano zimetatuliwa-Serikali

SERIKALI imeeleza kwamba, changamoto na kero za muungano ambazo zimetatuliwa mpaka sasa ni 11 kati ya 15 zilizowasilishwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la CAG bungeni; Mnyika, Chenge, Mhagama hapatoshi 

HATUA ya karatasi yenye orodha ya shughuli za Bunge (order paper) kutoonesha kuwepo kwa taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za Siasa

Polisi, ACT-Wazalendo wavimbiana

JESHI la Polisi nchini, limekataza kufanyika maandamano ya tarehe 9 Aprili 2019 yaliyopangwa na Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ahofia ahadi ya Rais Magufuli kutotekelezwa

MBUNGE wa kuteuliwa, Alhaji Abdalah Bulembo (CCM) ameonesha wasiwasi kuwa, ahadi zilizotolewa zinaweza kushindwa kutekelezeka kutoka na muda kubaki mfupi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika amgomea Waziri wa JPM

JOHN Mnyika, Mbunge wa Kibamba (Chadema) amepinga kauli ya Juma Aweso, Naibu Waziri wa Maji kwamba, jimbo hilo limesambaziwa maji kwa asilima 80. Anaripoti...

error: Content is protected !!