Friday , 29 March 2024

Month: March 2019

Habari Mchanganyiko

Mashine feki za EFD zaitesa TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inateswa na wafanyabiashara wasio waaminifu na wanaotumia mashine feki za kielektroniki za kukusanyia mapato (EFD). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Charles...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: 2020 tunachukua Z’bar

HARAKATI za kutambulisha na kuimarisha Chama cha ACT-Wazalendo visiwani Zanzibar zinashika kasi ambapo sasa kinadai kitashinda nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yapigwa stop na Mahakama kwa Nassari

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma, imetoa amri ya kuzuia kufanyika uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, hadi shauri la madai...

Kimataifa

Waliokimbia vita Syria, wafia msikitini New Zealand

HAMZA Mustafa (15) na baba yake aliyetajwa kwa jina moja Khalid (44), raia wa Syria waliokimbilia New Zealand, waliuawa kwenye mashambulizi yaliyotokea msikitini...

Habari Mchanganyiko

Dodoma wajiandaa kumpokea Rais Magufuli kwa mabango

WAKAZI wa Kata ya Mtumba, jijini Dodoma wanajiandaa kumpokea Rais John Mgufuli kwa mabango yenye malalamiko baada ya halmashauri ya jiji hilo kushindwa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa: Serikali inaendelea kupambana na mafisadi 

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kupambana na wala rushwa pamoja na mafisadi wote ambao walikuwa wanakula fedha za miradi ya maendeleo...

Habari za Siasa

DK. Lwaitama amzungumzia Maalim Seif

UAMUZI  wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad wa kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo umetajwa kuwa ni ushujaa....

Habari za Siasa

Mbowe, Dk. Mashinji wampigia saluti Zitto  

HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo kushawishi na hatimaye waliokuwa viongozi waandamizi wa CUF kujiunga na chama chake, imepongezwa....

Habari za SiasaTangulizi

Zitto akabidhiwa mzigo wa Prof. Lipumba  

MAMBO yanzidi kwenda kombo ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) ambapo Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo alikabidhiwa lundo la kadi...

Habari za Siasa

Kwanini Maalim Seif apewe kadi No. 1 ACT-Wazalendo?

MAALIM Seif Sharif Hamadi, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo leo tarehe 19 Machi 2019 amekabidhiwa kadi namba moja ya chama hicho. Anaripoti Hamis...

Kimataifa

Tanzania yatoa msaada Zimbabwe, Malawi na Msumbiji

TANZANIA  imetoa msaada wa kibinadamu kwa nchi za Zimbabwe, Malawi na Msumbiji, baada ya nchi hizo kukumbwa na maafa yaliyotokana na kimbunga cha...

Makala & Uchambuzi

Kwanini twende ACT Wazalendo na sio Chadema?

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania kupitia Jaji Benhajj Masoud, imeamua kumhalalisha Lipumba (Pro. Ibrahim Lipumba) kama mwenyekiti halali wa CUF. Sisi tumeendelea kusimamia msimamo...

Habari za Siasa

Kinachonibakisha CUF si Prof. Lipumba-Mbunge CUF

HAMIDU Bobali, Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Lindi amesema kuwa, hatoacha ubunge na kujiunga ACT-Wazalendo alikohamia Maalim Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Zitto siyo mnafiki kama yule

MAALIM Seif Shariff Hamad, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo, amemweleza Zitto Kabwe kwamba sio mnafiki. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea). Akikaribishwa Makao...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba awaangukia Wazanzibar

MWENYEKITI wa CUF Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba amewaangukia wanachama wa chama hicho visiwani Zanzibar kumuunga mkono. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Prof. Lipumba...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma: Vijana changamkieni fursa Mtumba

SHEIKHE wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu amewataka vijana kutumia nguvu zao wakati serikali ikijenga mji wa kiserikali katika eneo la Mtumba, jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aondoka na ‘kijiji’ CUF

HATUA ya Maalim Seif Shariff Hamad kundoka katika Chama cha Wananchi (CUF) na kuhamia Chama cha ATC-Wazalendo imeathiri chama chake cha awali. Anaripoti Bupe...

Michezo

Koffi Olomide akumbwa na jinai ya ubakaji

NYOTA wa muziki wa Rhumba nchini Kongo, Antonie Agbepa Mumba maarufu kwa jina la Koffi Olomide amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au...

Habari za Siasa

Bendera za CUF zachomwa moto

CHAMA Cha Wananchi (CUF) chini ya mwenyekiti wake Prof. Ibrahim Lipumba kimeanza kupita kwenye wakati mgumu baada ya Maalim Seif Shariff Hamada, aliyekuwa...

Habari za Siasa

Zitto atinga ofisi za CUF, ajifungia na Maalim Seif

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo leo tarehe 18 Machi 2019 amefika katika Ofisi ya Wabunge wa Chama cha Wananchi (CUF)...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif kuhamia ACT; Samani za CUF Unguja, Pemba ‘zatekwa’

UAMUZI wa Maalim Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo umekwenda sambamba na kubebwa kisha...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif ahamia rasmi ACT-Wazalendo

MAALIM Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) leo tarehe 18 Machi 2019 ametangaza rasmi kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine kwa Maalim Seif, mahakama yamtambua Prof. Lipumba  

HATIMAYE Mahakama Kuu, Kanda Maalum ya Dar es Salaam leo tarehe 18 Machi 2019 imetoa uamuzi kwamba, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ni mwenyekiti halali wa...

Kimataifa

Gharika Zimbawe, Msumbiji 120 wafariki

ZAIDI ya watu 120 wamepoteza maisha huku kadhaa wakipotea kusikojuliakana kutokana na kimbunga kilichotokea katika nchi ya Msumbiji na Zimbabwe. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif kuibuka kivingine

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), yuko mbioni kuondoka chama hicho na kujiunga na moja ya vyama viwili vikubwa vya kisiasa nchini....

Habari za SiasaTangulizi

Nassari ajitetea, aomba huruma ya Spika Ndugai

JOSHUA Nassari Mbunge wa Arumeru Mashariki amemtaka Spika Ndugai kupitia upya uamuzi wake ambao haujazingatia ubinadamu na hata kupewa nafasi ya kusililizwa. Anaripoti...

Michezo

Simba yafanya kweli

Klabu ya Simba imefanikiwa kufuzu katika hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba amaliza kazi, amng’oa Maalim Seif

HATIMAYE Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francies Mutungi, amekamilisha kazi...

Habari za Siasa

Serikali yakaripia wawekezaji waliouwa viwanda

SERIKALI imesema, iko mbioni kutaifisha viwanda vyote ilivyovibinafsisha kwa watu binafsi, lakini wameshindwa kuviendeleza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Injinia Stella Manyanya, Naibu...

Kimataifa

‘Muuaji msikitini New Zealand alijaza silaha kwenye gari lake’

BRENTON Tarrant (28) aliyeshiriki kufanya mauaji msikitini nchini New Zealand jana tarehe 15 Machi 2019 na kusababisha vifo vya waumini wa dini ya...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif ‘byebye’ CUF

JINA la Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) linakwenda ukingoni ndani ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa ameniumiza – Mbowe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesikitishwa na hatua ya “waziri mkuu mstaafu,” Edward Lowassa, kukihama chama hicho. Anaripoti Hamisi Mguta … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Segerea kuna mambo ya kuumiza

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa amesema, amekutana na mambo ya kuumiza alipkuwa mahabusu katika gereza la Segerea jijini...

Makala & Uchambuzi

Ya Joshua Nassari na ubunge wake

NIMESOMA yanayomhusu Joshua Samwel Nassari, mbunge wa Arumeru Mashariki, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu kuvuliwa ubunge wake. Nimeona hapa kuna...

Kimataifa

Magaidi wavamia, waua 49 msikitini New Zealand

HALI ya taharuki, wasiwasi na hofu imetanda kwa saa kadhaa katika mji wa Christchurch nchini New Zealand baada ya watu kadhaa kufanya shambulizi...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai: Muulizeni Tundu Lissu swali hili  

HATUA ya Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) kuandika taarifa ya kusitishiwa mshahara na stahiki zingine na Ofisi ya Bunge, imemsukuma Job...

Habari za SiasaTangulizi

Utata mtupu Nassari kuvuliwa ubunge

HATUA ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutangaza kumvua ubunge mbubge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Arumeru Mashariki,...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari

SPIKA wa bunge Job Ndugai amemwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Joshua...

Habari Mchanganyiko

Binti aondolewa kizazi kwa siri, madaktari washindwa kujieleza

RAHAEL Alaay (25) ameiomba serikali kupitia Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuingilia kati mgogoro wake na...

Afya

‘Ulaji holela dawa za kupunguza maumivu ni hatari’

ULAJI holela wa dawa za kupunguza maumivu ni moja ya sababishi ya ugonjwa wa Figo, imeelezwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba aeleza ‘jeuri’ ya kufanya mkutano mkuu

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa, ameeleza sababu za kufanyika kwa mkutano mkuu wa...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake wapangiwa hakimu mwingine, wasomewa mashataka upya

VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe 14 Machi 2019 wamesomewa upya mashtaka yao kutokana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

Habari Mchanganyiko

WFP wajipanga kumkwamua mkulima mdogo

MWAKILISHI  wa Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Tanzania, Michael Dunford alisema WFP inaangalia namna ya kumtoa mkulima katika kilimo kidogo na kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lakwepa kufafanua madai mshahara wa Lissu

MADAI ya Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki kwamba, amesitishiwa mshahara na stahili zake zingine za kibunge yameshindwa kupatiwa ufafanuzi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Madai...

Habari za Siasa

Bunge lamwadhibu Lissu, lasitisha msharaha wake

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekuja juu baada ya Bunge la Jamhuri kufuta mshahara na posho zake zote. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

Baada ya mahabusu; Mbowe akutana na janga jingine

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, anakumbana na misukosuko mfululizo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Uongozi wa Wilaya...

Habari za Siasa

JPM asaka wawekezaji Urusi

RAIS John Magufuli amemkaribisha Rais wa Urusi, Vladmir Putin  na wawekezaji kutoka nchi hiyo, kuja kutembelea Tanzania pamoja na kutafuta fursa mbalimbali za...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba atwaa uenyekiti CUF

PROFESA Ibrahim Lipumba ametwaa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Miongoni mwa majukumu ya leo...

Michezo

JPM akabidhiwa ramani ya Uwanja

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Morrocco nchini Tanzania Abdelillah Benry pamoja...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba apata upinzani uenyekiti CUF

DIANA Simba, mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) leo tarehe 13 Machi 2019, amejitokeza na kumwaga sera kwamba, anaweza kuongoza chama hicho bila...

error: Content is protected !!