Wednesday , 24 April 2024

Day: February 8, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Sheria nyingine ‘katili’ yaja, ni ile ya Majengo, sasa hadi matembe kulipa kodi

SERIKALI ya Rais John Pombe Magufuli, sasa imeamua “kula matapishi yake.” Jumamosi wiki hii, inarudi tena bungeni kuwasilisha mabadiliko mengine kwenye Sheria Mpya...

Michezo

‘MO’ awarahisishia kazi wachezaji Simba

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba na mwekezaji mkuu wa timu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ ametangaza kiingilio cha shilingi 2000,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo washtukia polisi

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetilia shaka maelezo ya Jeshi la Polisi kuhusu mauaji ya kijana Isaka Petro aliyofanyika katika Kanisa la Sabato wilayani Itigi,...

Habari Mchanganyiko

Wabunge wadai orodha wakopaji matreka SUMA JKT

BAADHI ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri wamehoji lini serikali itaweka hadharani majina ya waliokopa matreka ili wajulikane? Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(Dodoam). Alhaji Abdallah...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema akerwa maagizo ya JPM kupuuzwa

TABIA ya baadhi ya watendaji wa serikali kupuuza maagizo ya Rais John Magufuli kumemkera Mbunge wa Viti Maalum Chadema. Anaripoti Tibason Kaijage, Dodoma…(endelea). Devotha...

Habari za Siasa

Kubenea apigania kurejeshwa Kiwanda cha Urafiki

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo (Chadema) ameihoji serikali kwamba, ni lini itafufua nakuwa imara zaidi Kiwanda cha Urafiki ili kifanye kazi kwa maslahi...

Michezo

KMC, Alliance wazibwaga Simba, Yanga tuzo Ligi Kuu

MSHAMBULIAJI Dickson Ambundo wa klabu ya Alliance Accademy na Kocha Mkuu wa KMC, Etiene Ndayiragije wameibuka vinara kwenye tuzo za mwezi Januari zinazotolewa...

Elimu

Wanafunzi 2,615 Mwanza wasoma kwa ‘taabu’

WANAFUNZI  2,615 wa Shule ya Msingi Kanindo iliyopo Kata ya Kishili jijini Mwanza wanalazimika kusoma kwa  zamu  ili kuachiana vyumba vya madarasa vilivyopo  kitendo ambacho kinaonekana...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 5 zatengwa kununua, kukarabati vivuko

Katika kuhakikisha usafiri wa majini unaimarika, serikali imetenga kiais cha Sh. bilioni 5 katika bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya  ukarabati  na kununua  vivuko pindi...

Habari Mchanganyiko

Mwendokasi kubadili maisha Mbagala

ENEO la Mbagala na viunga vyake linatarajiwa kunufaika na mradi wa mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) unaotarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa. Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea)....

error: Content is protected !!