Tuesday , 23 April 2024

Day: February 7, 2019

Habari za SiasaTangulizi

Njama za kumnyima mshahara wa ubunge Lissu hizi hapa

KUNA njama zinasukuwa na ofisi ya Bunge za kutomlipa mshahara, posho na stahiki nyingine, mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika...

Habari za Siasa

Fatma Karume aivuruga Mahakama

MHIMILI wa Mahakama nchini, “umenajisiwa.” Kwa mara ya kwanza katika historia yake, chombo hicho kikuu katika utoaji haki kwenye Jamhuri ya Muungano, kimegoma...

Habari Mchanganyiko

Mwendokasi kubadili maisha Mbagala

ENEO la Mbagala na viunga vyake linatarajiwa kunufaika na mradi wa mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) unaotarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa. Anaripoti Bupe Mwakiteleko...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yamkubalia Mdee shingo upande

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekubali shingo upande sababu za Halima Mdee, Mbunge wa Kawe kushindwa kuhudhuria kesi yake leo 7 Februari 2019....

Habari za Siasa

Magufuli apingwa mahakamani

FATMA Karume, Wakili na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) anaongoza mawakili wenzake upande wa mashtaka kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu Serikali...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Sijaingilia uhuru wa Mahakama

RAIS John Pombe Magufuli, amedai kuwa hajawahi kuingilia utendaji wa kazi za muhimili wa Mahakama. Amesema, “katika uongozi wangu, sijaingilia muhimili wa Bunge...

Habari Mchanganyiko

Tanesco hoi kwa madeni

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme la taifa (Tanesco), linakabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni kutoka kwa makampuni ya kufua umeme. Hadi Januari mwaka...

Afya

Hospitali ya Benjamini Mkapa yaanza kutibu ugonjwa wa selimundu

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Magonjwa ya Kibingwa ya Benjamini, Dk. Alphonce Chandika amesema, hospitali hiyo inatarajia kuanza kutibu ugonjwa wa selimundu kwa...

Michezo

Serikali: ZFA inapokea fedha kutoka TFF si FIFA, CAF

NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amesema, Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA) haliwezi kupokea moja kwa moja fedha...

Habari za Siasa

Kauli yake dhidi ya Magufuli, Mdee kupanda Kisutu tena

HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe, jijini Dar es Salaam leo anapanda tena kizimbani kuendelea na shauri lake kuhusu kutoa lugha chafu dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Heche, Zitto waivuruga serikali

MBUNGE wa Tarime Vijijini (CHADEMA/UKAWA), John Heche, amezua tafrani bungeni, kufuatia hatua yake ya kuituhumu serikali kuwa imejifunga kwenye mkataba wa kitapeli na...

error: Content is protected !!