Friday , 29 March 2024

Day: February 5, 2019

Habari za Siasa

Sumaye, MO watibua hali ya hewa bungeni

SAKATA la kubadilishwa hati ya mashamba ya  makubwa ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye na Mfanyabiashara, Mohamed Dewji ‘MO’...

Habari za Siasa

Mbunge CUF amtega Rais Magufuli

MBUNGE wa Kilwa Kusini (CUF), Sulemani Bungala ameitaka serikali kuruhusu wavuvi wadogo wadogo kuendelea na shughuli zao. Anaripoti Mwandishi Wetu kutoka Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Benki CRDB wapewa ushauri

WATEJA wa benki ya CRDB mkoa wa Mwanza wameishauri benki hiyo kuboresha huduma zake za kifedha ili kuwafikia wananchi wengi walioko vijijini, wakiwemo...

Habari za Siasa

King’ora cha hatari chazua taharuki Bungeni, wabunge wapagawa

SHUGHULI za Bunge limelazimika kusimama kwa muda baada ya kutokea hali ya taharuki ndani ya ukumbi wa bunge, baada ya kulia king’ola kinachoashiria...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu atinga kwa Obama

MWANASHERIA mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewasili jijini Washington, nchini Marekani ili kuzungumza katika mdahalo wa aina yake...

Habari za Siasa

Wananchi walazimishwa kuchukua fedha zao

SERIKALI imetoa wiki moja kwa wananchi wa Nyamongo mkoani Mara waliohamishiwa makazi yao kwa ajili ya kupisha shughuli za uchimbaji madini katika mgodi...

error: Content is protected !!