Thursday , 25 April 2024

Day: February 4, 2019

Habari za Siasa

Ndugai amtisha Heche Tarime Vijijini

JOB Nduga, Spika wa Bunge la Jamhuri amemtisha John Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini kwamba, uchaguzi mkuu ujao jimbo hilo litarudi CCM mapema....

Habari za SiasaTangulizi

Nape  Nnauye ajiuzulu

NAPE Nnauye, amejiuzulu uenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii. Kujiuzulu kwake, kunatokana kile kinachoitwa, “kugoma kunyofoa baadhi ya...

Tangulizi

Kesi ya uchochezi; Mahakama yamtaka mdhamini wa Lissu

HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba ameagiza wadhamini wa Tundu Lissu katika kesi inayohusu tuhuma za uchochezi kupitia...

Michezo

Simba yatua Dar kwa mafungu

BAADA ya kupoteza mchezo wao wa pili mfululizo kwa kufungwa 5-0 na Al Ahaly ya Misri mwishoni mwa wiki, katika michuano ya Klabu...

Habari za SiasaTangulizi

Mwambe ataka kuundwa Kamati ya Bunge kuchunguza ujenzi wa Viwanda  

MBUNGE wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe, amemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuunda Kamati Maalum ya Bunge, ili kuchunguza utekelezaji wa sera ya...

Habari za Siasa

Mauaji ya watoto Njombe yasisimua Bunge, serikali kujieleza

BUNGE limeitaka serikali kuandaa na kutoa taarifa kuhusu mauaji yanayoendelea mkoani Njombe tangu kuanza kwa mwaka huu 2019. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Job Ndugai,...

Habari za Siasa

Serikali: Bei ya korosho ni 3,300 – 2,640

SERIKALI ya Jamhuri imeeleza kuwa, bei inayotumika kununua korosho za wakulima ni Sh. 3,300 kwa zile za gredi ya kwanza na 2,640 kwa...

Habari za Siasa

Sugu aeleza aibu ya Uwanja wa Ndege Mbeya

KIPINDI ambacho Uwanja wa Ndege wa Songwe, Mbeya unapogubikwa na ukungu, rubani hupata tabu kutua na wakati mwingine hulazimika hurudisha ndege Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Kuelekea 2020: Ndugai aanza kumpigia chapuo Rais Magufuli

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, ameanza kampeni ya kumnadi Rais John Magufuli. Ameagiza kuandaliwa muswada wa Bima ya Afya kwa wote, kabla ya...

Afya

Wananchi watakiwa kupima afya zao mara kwa mara

IKIWA leo tarehe 4 Februari 2019 dunia inaadhimisha siku ya saratani, serikali imeendelea kusisitiza wananchi kupima afya zao ili kukabiliana na ugonjwa huo....

Kimataifa

Madaktari Kenya kugoma tena

MUUNGANO wa Wauguzi nchini Kenya umepanga kufanya mgomo kuanzia leo Jumatatu tarehe 4 Februari 2019 ili kuishinikiza serikali ya nchi hiyo kuwalipa stahiki...

Kimataifa

Haya ni maajabu yake Mungu  

AMA kwa hakika duniani ni wawili wawili. Hivi ndivyo unavyoweza kusema pale utakapokutana na Cresencio Extreme pia Howard X kwenye mitaa ya Hong Kong. Vinaripoti...

error: Content is protected !!