Saturday , 20 April 2024

Day: February 1, 2019

Kimataifa

Rais Kagame ‘bosi’ mpya EAC

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kununua ya Africa Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Wajumbe wa mkutano...

Habari za Siasa

Bunge: Wadaiwa matrekta ya SUMA JKT wabanwe

SERIKALI inatakiwa kuchukua hatua dhidi ya wanasiasa wakiwemo wale waliostaafu ambao wameshindwa kurejesha mikopo ya matrekta waliyopata kutoka Shirika la Uzalishaji Mali linaloendeshwa...

Habari za Siasa

Bunge lataka waliochota Mil 888 wote asakwe

BUNGE limeitaka serikali iwachukulie hatua za kisheria wote waliotajwa katika ubadhilifu wa posho ya resheni (posho ya chakula) ya jumla ya Sh 888.5 ...

Habari Mchanganyiko

Mwanajeshi feki kijana anaswa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata mwanajeshi feki aliyekuwa akitumia sare za jeshi hilo kufanya uhalifu. Anaripoti Faki Sosi...

Habari za Siasa

Ushirikina; Binti akutwa uvunguni mwa bibi yake hajitambui

TUKIO la Mwanafunzi wa Shuele ya Sekondari Ikinabushu (jina limehifadhiwa) kukutwa chini ya uvungu wa kitanda cha bibi yake, limetikisa viunga vya mji...

error: Content is protected !!