HATMA ya rufaa ya Freeman Mbowe, Mwenyekti wa Chadema Taifa na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini itajulikana kesho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiFebruary 28, 2019JESHI la Polisi limeanza kumhoji msanii Godfrey Tumani maarufu kama ‘Dudubaya’ kufuatia tuhuma zinazomkabili za kumdhihaki aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds...
By Regina MkondeFebruary 28, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, kufuatia shahidi wa upande wa mashitaka...
By Faki SosiFebruary 28, 2019KIFO cha Ruge Mutahaba, aliyekuwa mtayarishaji wa vipindi vya Clouds Media Group (CMG) kimeibua sifa zilizojificha. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Namna Ruge alivyokuwa...
By Faki SosiFebruary 28, 2019KIWANDA cha Bora kilichopo maeneo ya Tazara, barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam kinawaka moto. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa za...
By Mwandishi WetuFebruary 28, 2019By Masalu ErastoFebruary 28, 2019
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameishauri jamii kuwa na utaratibu na utamaduni wa kuchangiana kwenye matibabu pindi...
By Moses MsetiFebruary 27, 2019WAKULIMA zaidi ya 70 wakiwemo watoto, wanafunzi pamoja na wanawake wamefanya maandamano ya amani kwa lengo la kuonana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
By Masalu ErastoFebruary 27, 2019MAMLAKA za Serikali za Mitaa nchini zimetakiwa kuhakikisha kuwa fedha zote zinazokusanywa katika mapato zinawekwa benki na fedha hizo zitumike katika kutekeleza matumizi...
By Danson KaijageFebruary 27, 2019NDUGU yangu Ruge, najua ndio umewasili huko upande wa pili na si ajabu una mambo mengi na bado unasalimiana na jamaa zetu wengi...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2019HARRISON Mwakyembe, Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kumchukulia hatua msanii, Godfrey Tumaini maarufu kama...
By Regina MkondeFebruary 27, 2019SHAHIDI wa Serikali katika kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo amekwamisha tena kesi hiyo kwa kinachodaiwa kuwa amepata dharura iliyomfanya...
By Faki SosiFebruary 27, 2019SALAMU za majonzi za watu mbalimbali mashuhuri wakiwemo viongozi wa serikali, vyama vya siasa na wasanii zimeendelea kuelekekezwa kwa Familia ya Mwanahabari mashuhuri...
By Faki SosiFebruary 27, 2019EMMANUEL Papian, Mbunge wa Kiteto kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuukana ukweli mbele ya kadamnasi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2019RAIS wa Nigeria, Muhamadu Buhari ameshinda katika matokeo ya awali ya kinyang’anyiro cha uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi ya tarehe 23 Februari 2019...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2019WAKALA wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) imekiri uwepo wa uhaba wa mabasi katika vituo vikuu vya Kimara na Gerezani. Anaripoti Regina Mkonde …...
By Regina MkondeFebruary 27, 2019By Masalu ErastoFebruary 27, 2019
MKURUGENZI wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amefariki dunia leo nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Khalifa Abdallah...
By Masalu ErastoFebruary 26, 2019FAMILIA ya marehemu Frank Kapange imeamua kuchukua mwili wa kijana wao uliohifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kwa zaidi ya miezi minane...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2019WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF), wamelalamikia hatua ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, kuchelewa kutoa maamuzi kwenye mashauri kadhaa yaliyofunguliwa na...
By Regina MkondeFebruary 26, 2019RAIS John Magufuli amefanya mazungumzo na Profesa Zhao Yuanil, Mkuu wa Idara ya Upasuaji wa Ubongo na Mishipa kutoka China kuhusu uboreshaji huduma...
By Regina MkondeFebruary 26, 2019WATU wanaopenda kufanya ngono na wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchini sasa kukamatwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kazi ya kuanza kukabiliana...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2019By Masalu ErastoFebruary 26, 2019
JESHI la Polisi mkoani Morogoro limewasaka, kuwanasa na kisha kuwapandisha kizimbani wabunge wawili kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu Morogoro…(endelea). ...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2019SERIKALI imeiomba Benki ya Dunia (W.B) msaada wa fedha kiasi cha dola 100 milioni kwa ajili ya kukamilisha mradi wa ujenzi wa bonde...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2019JESHI la Polisi mkoani Mwanza linashikilia lori aina ya fuso lililokuwa linasafirisha sampuli za madini 883, zilizowekwa kwenye ndoo 226 kutoka mkoani Geita...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imekataa ombi la serikali kutaka itolewe hati ya kukamatwa mwanasiasa wa upinzani nchini, Tundu...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2019NI wachache kati ya wananchi wanaokuwa kwenye ukumbi wa mahakama huendelea kutarajia kusikia hukumu ya kesi wanayoifuatilia baada ya kumuona asiyekuwa jaji msikilizaji...
By Jabir IdrissaFebruary 25, 2019HALIMA Mdee, Mbunge wa upinzani katika jimbo la Kawe, jijini Dar es Salaam amepata dhamana leo baada kukaa ndani kwa saa 24. Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 24, 2019WILLIAM Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi amewapa pole ndugu na jamaa waliofiwa kwenye ajali iliyotokea jana tarehe 23 Februari 2019 Ifakara...
By Bupe MwakitelekoFebruary 24, 2019MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, ameahidi kusaidia kiasi cha Sh. 15 milioni ili kufanyia ukarabati wa soko la kuku lililopo katika kata...
By Faki SosiFebruary 24, 2019ZIARA ya Saed Kubenea Mbunge wa Jimbo la Ubungo amebaini ufisaidi wa Sh. 100 milioni kwenye machinjio ya kuku kwenye soko la Manzese....
By Faki SosiFebruary 23, 2019KIPIGO cha mabao 3-1 waliofungwa na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kimesababisha klabu ya Azam FC kuachana na kocha wake,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 23, 2019ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini ameivaa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwamba ni katili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwenye ukurasa...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2019MBUNGE wa upinzani katika jimbo la Kawe, jijini Dar es Salaam, Halima James Mdee, anashikiliwa na jeshi la polisi nchini. Anatuhumiwa kutoa kauli...
By Faki SosiFebruary 23, 2019JESHI la Polisi nchini limetangaza msako wa kuwakamata na kuwadhibiti waganga wa tiba asili wanaojihusisha na vitendo vya upigaji wa ramli chonganishi zinazochangia...
By Moses MsetiFebruary 23, 2019CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Kanda ya Pwani, kimekabidhiwa pikipiki nne kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
By Faki SosiFebruary 23, 2019HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), amepokea wito wa Kamanda wa Upelelezi (RCO) Mkoa wa Kipolisi...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Februari 2019 imewafunga maisha jela watu wanane baada ya kukutwa na...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2019RAIS John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa zao katika ajali ya barabara iliyotokea wilayani Mbozi mkoa wa...
By Bupe MwakitelekoFebruary 22, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelalamikia uanzishwaji wa mradi wa serikali wa ugawaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo na kwamba, ni bomu linalosubiriwa...
By Faki SosiFebruary 22, 2019NEEMA Andrew (umri 22-25) ameuwawa kwa kupigwa risasi na Askari Magereza ndani ya viwanja vya Mahakama ya Kigamboni jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 22, 2019MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga, anaumizwa na tabia ya wana Yanga kushindwa kuisaidia klabu yao, na sasa ataondoka. Anaripoti Mwandishi Maalum...
By Mwandishi MaalumFebruary 22, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF), kinachoongozwa na Maalim Seif Sharif Hamad, umedai kuwa kuna mkakati unaopangwa na baadhi ya maofisa wandamizi wa serikali, kumshinikiza...
By Faki SosiFebruary 22, 2019WATU 19 wamepoteza maisha kutokana na ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Senjele mkoani Songwe. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeFebruary 22, 2019MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu)-Chadema jana jioni alifanikiwa kupata dhamana baada ya kukamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya asubuhi ya...
By Bupe MwakitelekoFebruary 22, 2019Na Saed Kubenea PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kuwa ndiye mwenyekiti wa Chama...
By Saed KubeneaFebruary 22, 2019LUHAGA Mpina Waziri wa Mifugo na Uvuvi, amepiga marufuku makongamano ya wafugaji ya kumpongeza Rais John Magufuli, kwa muda mpaka pale kazi waliyopewa...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2019PALESTINA haihitaji kupendelewa, kubebwa wala kubembelezwa bali inahitaji haki yake na hiki ndio itasimamia milele. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea). Akizungumza na waandishi wa...
By Yusuph KatimbaFebruary 21, 2019KESHO tarehe 22 Februari 2019, Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, anaweza kuhitimisha...
By Jabir IdrissaFebruary 21, 2019