Tuesday , 23 April 2024

Month: January 2019

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Chadema wamsuta Spika Ndugai

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemjibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, kuhusu ya matibabu ya mbunge wake wa Singida Mashariki,...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai: Bunge limemlipa Lissu mamilioni

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri, ameueleza umma kuwa, Tundu Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki amelipwa Sh. 250 milioni na...

Habari za Siasa

Zitto ‘akoga’ mashambulizi ya Spika Ndugai 

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo leo tarehe 31 Januari 2019 ‘amekoga’ mashambulizi ya moja kwa...

Habari za Siasa

Mbowe yupo fiti, atinga mahakamani

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amefika leo tarehe 31 Januari, 2019 kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuhudhuria...

Michezo

Kichuya kutimkia Misri

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya huenda akatimka ndani ya klabu yake muda mchache ujao na kujiunga na timu ya Pharco inayoshiriki ligi...

Habari Mchanganyiko

Watanzania  jela miaka 15 kwa ugaidi Kenya

WATANZANIA watatu kutoka visiwani Zanzibar, Idarous Abdirahman (32), Islah Juma (22) na Mbarouk Adibu (34) wamefungwa miaka 15 jela kila mmoja nchini Kenya,...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai: Nilimchapa viboko mpinzani wangu

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekiri kumshambulia kwa fimbo Dk. Joseph Chilongani, ambaye aliyekuwa mmoja wa washindani wake wenye nguvu wakati...

Habari Mchanganyiko

Biteko aanza cheche, amsimamisha Afisa madini

WAZIRI wa Madini Dotto Biteko amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi ya kuchenjua madini iliopo eneo la Kizota mkoani hapa na kubaini madudu...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuvuna Bil 418 za korosho

SERIKALI imeanza kuingia mkataba wa mauzo ya korosho na wafanyabiashara ambapo tayari jumla ya tani 100,000 za zao hilo zimepata mteja. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Mvumbuzi Tanzanite afariki Dunia

MZEE Jumanne Ngoma, mvumbuzi wa Tanzanite amefariki dunia. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Taarifa ya familia yake inaeleza kuwa Mzee Ngoma alifariki dunia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Matiko mahakamani tena

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko, kesho Alhamisi, tarehe 30 Januari, wanarudi...

Michezo

Kakolanya aishika pabaya Yanga

UONGOZI wa klabu ya Yanga umekili kupokea barua kutoka kwa mwanasheria wa mlinda mlango wao Benno Kakolanya kutaka kuvunja mkataba na timu hiyo...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yaonesha huruma kwa wananchi  

WABUNGE wamejadili na kupitisha miswada miwili ukiwamo wa Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini, huku kamati ya Bunge ikikataa kiwango cha adhabu na vifungo...

Habari za SiasaTangulizi

Uungu’ wa Msajili wa Vyama kuanza na Lissu, Zitto  

NGUVU za kimamlaka zilizowekwa kwenye sheria ya vyama vya siasa na kupigiwa chapuo na baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), zaweza...

Habari Mchanganyiko

Mch. Msigwa amchongea Mkuu wa Mkoa kwa Lukuvi

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amemshitaki Ally Hapi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Mkakati wa kutokomeza ukatili wa watoto waiva

SERIKALI imesema kuwa inaandaa mpango kazi wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (2017/18-2121/22) ambao miongoni mwa shabaha zake ni...

AfyaHabari Mchanganyiko

Serikali yatenga Bil 4.5 kuisaidia hospitali ya Tarime

SERIKALI imesema kuwa jumla ya wananchi 367,985 wa halmashauri ya wilaya ya Tarime wanapata huduma za afya katika hospitali ya wilaya hiyo Tarime...

Habari Mchanganyiko

Wauaji wa watoto Njombe wabainika

SERIKALI imesema tayari vyombo vya usalama vimeshawabaini watu wanaodaiwa kutekekeza mauaji ya kikatili ya watoto 10 katika Wilaya ya Njombe ambayo yametokana na...

Habari za Siasa

Sugu amshauri Rais Magufuli kumhamisha RC wa Mbeya

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kama angepata nafasi ya kumshauri Rais John Magufuli, angemshauri kumteua aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya...

Habari Mchanganyiko

Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe

MUFTI wa Tanzania, Aboubakar Zubeir amefiwa na mke wake mkubwa anayefahamika kwa jina la Mama Shafi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Muswada Vyama vya Siasa wapita, wazua sintofahamu

BUNGE la Jamhuri, jana tarehe 29 Januari 2019, limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa (2018), katikati ya msuguano mkali...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Zitto, waisambaratisha Serikali kwenye Muswada wa Vyama vya Siasa

MBUNGE  wa Ubungo (Chadema) Saed Kubenea amewavaa vigogo watatu wanasheria kuwa wamepeleka bungeni Muswada wa Marekebisho wa Vyama vya Siasa wa mwaka 2018,...

Habari za Siasa

Kubenea aikalia kooni Serikali Muswada wa Vyama vya Siasa

MBUNGE  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, amewavaa vigogo watatu ambao ni wanasheria nguli nchini kwa kupeleka...

Habari Mchanganyiko

Vigogo wa NIDA wasomewa mashtaka 100 Kisutu

DICKSON Maimu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na wenzake watano wasomewa mashtaka mapya 100 kwenye Mahakama ya Hakimu...

SiasaTangulizi

CCM, UKAWA watafunana Muswada wa Vyama vya Siasa

WABUNGE kutoka chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale kutoka vyama vya upinzani wameanza kumenyana kuhusu Muswada mpya wa Vyama vya Siasa...

Siasa

Wapinzani wajibu mashambulizi Muswada Vyama vya Siasa

MUSWADA wa Sheria ya Marekebisho ya Vyama vya siasa umetua bungeni leo huku Kambi Rasmi ya Upinzani ikianisha hoja zake kupinga muswada huo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Bundi azua taharuki bungeni, Ndugai atoa neno

NDEGE aina ya bundi amekutwa ndani ya Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma na kuzua taharuki leo asubuhi tarehe 29 Januari 2019. Anaripoti Danson Kaijage…(endelea)....

Habari za Siasa

DC, RC wamkera Rais Magufuli

RAIS John Magufuli amevunja ukimya kuhusu vitendo vya baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa kuwaweka rumande raia. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Korosho yamwinua Nape, Nchuma bungeni

KIKAO cha 14 cha Bunge la Jamhuri kimeanza leo tarehe 29 Januari 2019 ambapo pamoja na shughuli zingine, wabunge wameuliza maswali mbalimbali. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Zitto akwama Kisutu

SHAHIDI wa Serikali kwenye kesi ya uchechezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo amekwamisha usikilizwaji wa kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari za SiasaTangulizi

Mtolea aonja jeuri ya upinzani bungeni

ABDALLAH Mtolea, Mbunge wa Temeke ameapishwa leo tarehe 29 Januari 2019 bungeni mbele ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wa CUF...

Habari za Siasa

1.5 Trilioni zipo wapi?

SI Bunge wala wananchi wanaojua kiasi cha Sh. 1.5 Trilioni ambazo hazikuonekana kwenye Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Bungeni; Ni Serikali vs Wananchi  

MKUTANO wa 14 wa Bunge la Jamhuri unaanza leo tarehe 29 Januari 2019 ambapo pamoja na shughuli zingine, hatma ya maoni ya wananchi...

Habari za SiasaTangulizi

Kitendawili cha Muswaada wa Vyama vya Siasa kuteguliwa

LEO MKUTANO wa kumi na nne Bunge la kumi na moja linatarajiwa kuanza shughuli zake jijini Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Elimu

Diwani ataka ushirikiano ili kukuza elimu

DIWANI wa Kata ya Ipagala Gombo Dotto (CCM) amewataka viongozi wa kata hiyo, wazazi na walimu kushirikiana kwa ukaribu ili kuwezesha watoto wao...

Habari Mchanganyiko

Vijana nyoronyoro waonywa

ASKOFU wa Kanisa la Asembless Of God,Mlima wa Moto Jimbo la Dodoma na Nyanda za Juu Kusini,Silvanus Komba amewataka vijana kufaya kazi kwa...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu, mhasibu wafikishwa mahakamani kwa rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma imemfikisha mahakamani mwalimu mkuu wa shule ya mingi Msisi iliyopo jijini Dodoma,...

Habari za SiasaTangulizi

‘Mbaya wa Mbowe’ aukwaa ujaji

HAKIMU Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, Wilbard Richard Mashauri, ni miongoni mwa maofisa 15 wa mahakama waliotangazwa na...

Habari Mchanganyiko

Spika Ndugai: Wakulima wanateswa na lumbesa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania, Job Ndugai amesema bado kuna tatizo kubwa katika vipimo sahihi wakati wa ununuzi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maofisa wa madini, wakuu wa mikoa kushirikiana kulinda madini

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa maelekezo kwa Maofisa madini kote nchini kunakochimbwa madini kushirikiana na wakuu wa Mikoa kwa lengo la...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba awakumbuka waliouwawa kwenye maandamano

IKIWA ni miaka 18 tangu kutokea kwa mauaji ya waandamanaji wa Chama cha Wananchi CUF visiwani Zanzibar, Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa chama...

Habari za Siasa

Mmiliki wa mabasi ya Batco, CRDB watuhumiwa “kutapeli” hoteli

MFANYABIASHARA na mmiliki wa mabasi ya Batco jijini Mwanza Baya Kusanja Malagi pamoja na benki ya CRDB wanadaiwa kula njama kwa pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Assad anaendelea kuwa mwiba kwa serikali

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amefichua tuhuma nyingine mpya. Safari hii, CAG anaituhumu Serikali kutumia zaidi ya Sh. 2.7...

Michezo

Simba ‘out’ Sport Pesa

SIMBA imeondoshwa katika michuano Sport Pesa baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Bandari FC ya Kenya katika mchezo wa nusu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama yamwachia huru Tido Mhando

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando leo tarehe 25 Januari, 2019...

ElimuTangulizi

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2018

MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne ya watahiniwa wa shule yanaonesha kuwa idadi ya watahiniwa waliofaulu imeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia...

Habari za Siasa

Kada wa CCM awavaa Zitto, Lissu, amsifia JPM

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC), Mussa Mwakitinya maarufu kwa jina la ‘Mwana wa Mungu’ amewashambulia wabunge wa upinzani...

Habari Mchanganyiko

Taratibu za kimila zatumika kutafuta wauaji

MAELFU ya wananchi wameshiriki katika mazishi ya Afisa Elimu Maalum wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu, Martin Goi, aliyeuawa kwa kupigwa risasi na...

Michezo

Mbao FC waitoa nishai Gor Mahia

KLABU ya Mbao FC imefanikiwa kuiondoa timu ya FC Gor Mahia kutoka Kenya kwenye michuano ya kombe la Sport Pesa kwa njia ya...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli asikia kilio ujenzi Msikiti UDOM

RAIS John Magufuli amesikia kilio kilichofikishwa na Sheikh Mussa Kundecha, kuhusu kitendo kilichofanywa na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) cha kuvunja...

error: Content is protected !!