Thursday , 28 March 2024

Month: December 2018

Habari Mchanganyiko

Serikali kutoa mafunzo ya stakabazi ghalani

HALMASHAURI ya wilaya ya Morogoro ina mpango wa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi mazao ghalani kwa wakulima wilayani humo katika msimu wa...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Kenya ahukumiwa miaka 75 jela

ASKOFU katika kaunti ya Kisumu nchini Kenya, Joseph Agutu amehukumiwa kifungo cha miaka 75 jela baada ya mahakama kumkukuta na hatia ya kuwabaka...

Habari Mchanganyiko

Alichokisema Kikwete baada ya Mwana FA kuzindua pafyumu

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ kwa kuanzisha bidhaa yake...

Kimataifa

Polisi Afrika Kusini wamsaka mke wa Mugabe

MAMLAKA ya Taifa ya Mashtaka nchini Afrika Kusini (NPA) imetoa hati ya kukamatwa kwa Grace Mugabe, mke wa Rais mstaafu wa taifa hilo,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amtolea nje Mnyika

RAIS John Magufuli amemgomea John Mnyika, Mbunge wa Kibamba na Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo kuhusu ombi lao la kuitaka serikali kuwalipa fidia...

Elimu

Selikali: Tunatoa elimu inayotatua matatizo ya Mtanzania

SERIKALI imesema kuwa elimu inayostahili kutolewa nchini ni ile ambayo inajikita katika kutatua matatizo yote na ambayo ni bora na siyo bora elimu. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Kijaji awatahadharisha Maofisa Ugavi

SERIKALI imetangaza kuwa kuwachukulia hatua kali Maofisa Ununuzi na Ugavi ambao wamekuwa wakishindwa kufuata Sheria za manunuzi na kuisababishia serikali kupata hasara. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mpina awatimua wakaguzi mifugo Kituo cha Kibaha

WATUMISHI katika Kituo cha Ukaguzi Kibaha mkoa wa Pwani, wameondolewa kazini na serikali kutokana na kushindwa kusimamia rasilimali za sekta ya mifugo na...

Kimataifa

Seneta: Mohammed Bin Salman ni mtu hatari

JOTO la mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, Raia wa Saud Arabia limeendelea kupanda na sasa, Rais Donald Trump anatakiwa ‘kumlaani’ Mohammed...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Chadema yalia na JPM, AG, DPP

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinaimani kuwa, kuzuiwa kwa dhamana ya Mwenyekiti wake wa Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini...

Habari za SiasaTangulizi

Mfumo wa GePG mwarobaini kwa ‘wapiga dili’

MAMLAKA ya Maji safi na usafi wa Mazingira (Mwauwasa) mkoani Mwanza imesema kuwa mfumo mpya wa kielektroniki wa malipo ya serikali wa GePG...

Habari Mchanganyiko

Madiwani wawashukia maafisa kilimo Chamwino

MADIWANI wa Halmashauri ya Chamwino wameitaka idara ya kilimo kuhakikisha inawahisha mbegu bora na pembejeo za kilimo kwa ujumla kwa kuendana na msimu...

Habari Mchanganyiko

Walemavu Dodoma kuendelea kubaki masikini

CHANGAMOTO ya vikundi vya watu wenye ulemavu katika mkoa wa Dodoma kushindwa kuchangamkia fursa ya kupata fedha za mikopo zinazitolewa na halmashauri katika...

Habari za SiasaTangulizi

Watumishi TAA walia njaa, Waziri awapotezea

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Richard Mayogela, amesema wafanyakazi wa Mamlaka hiyo wanakabiliwa na njaa (ukata) licha ya kuwa...

Habari Mchanganyiko

Upelelezi wa Vigogo wa Almasi haujakamilika

ARCHARD Kalugendo, mkurugenzi wa Uthaminishaji Almasi na Vito Tanzania (Tansort) na Edward Rweyemamu, mthamini wa madini ya almasi wa Serikali wanaendelea kusota rumande...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Uenyekiti wa Prof. Lipumba Januari mwakani

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imehalisha kutoa uamuzi juu ya uhalali wa Msajili wa vyama vya siasa nchini kumtambua Profesa Ibrahim...

AfyaTangulizi

Waziri Ummy aijia juu MSD

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeitaka Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD) kuhakikisha wanakamilisha kuleta vifaa...

error: Content is protected !!