MKURUGENZI wa Idara ya Habari Maelezo, Dk. Hassan Abbas amesema ofisi yake inafuatilia sababu ya watumishi wawili wa Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda...
By Regina MkondeNovember 8, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru kumatwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini. Anaripoti...
By Faki SosiNovember 8, 2018MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (EWURA) imetangaza ongezeko la bei za mafuta ya petroli, diseli na mafuta ya taa, yaliyoshushwa...
By Regina MkondeNovember 8, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 8 Novemba 2018 imeelezwa kwamba mtuhumiwa katika kesi ya uhujumu uchumi, Harbinder Sethi amechukuliwa maelezo yake...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2018UNAWEZA kujiuliza, kwanini wanadamu wamekuwa na tabia za ovyo zaidi ya wanayama wakali? Nini hasa walichojisahau mpaka kutojali maumivu wanayopata wengine? Anaandika Yusuph Katimba...
By Yusuph KatimbaNovember 8, 2018MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Obrey Chirwa amejiunga rasmi na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa mwaka mmoja katika dirisha dogo la...
By Kelvin MwaipunguNovember 8, 2018ELIZABETH Sumaye, aliyekuwa mama mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye amefariki dunia jana tarehe 7 Novemba 2018 nyumbani kwake kijijini Endasaki wilayani...
By Regina MkondeNovember 8, 2018MWANASHERIA Mkuu wa Marekani, Jeff Sessions amejiuzulu wadhifa huo akitekeleza agizo la Rais Donald Trump, lililomtaka kuachia ngazi. Yanaripoti Mashirika ya Kimataifa …(endelea)....
By Mwandishi WetuNovember 8, 2018MBUNGE wa Viti Maalum (CUF), Rukia Ahmed ameitaka serikali kuwaondolewa ukali wa gharama za matibabu, waathirika wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza hasa kisukari...
By Regina MkondeNovember 8, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amegoma kuruhusu swali la Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe kutolewa majibu na...
By Regina MkondeNovember 8, 2018SPIKA Job Ndugai ametoa siku saba kwa Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI kutoa takwimu za watumishi wake waliopandishwa madaraja, walioajiriwa katika mwaka wa...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2018