Friday , 19 April 2024

Day: October 8, 2018

Michezo

Eto’o kuzindua uwanja wa soka Tanzania

NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o anataraajia kuja nchini Tanzania tarehe 10 Oktoba mwaka huu, kuzindua ujenzi wa...

Habari za Siasa

Shahidi akwamisha kesi ya Halima Mdee

KESI inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu,  ya kutoa lugha chafu dhidi ya Rais John Magufuli imekwama kusikilizwa...

Michezo

Sergio Aguero atajwa kuwania Ballon d’Or

MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Argentina na klabu ya Machester City, Sergio Aguero ameungana wachezaji mahiri duniani waliotajwa kuwania tuzo ya FIFA...

Habari za SiasaTangulizi

Utabiri wa Lema haukufika kwa Millya?

KATIKA siku za hivi karibuni, mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Gobless Lema, alijizolea umaarufu wa kutabiria wabunge wenzake, kuondoka chama hicho na kujiunga...

Habari Mchanganyiko

Mhasibu Mamlaka ya Elimu aburuzwa mahakamani kwa makosa 400

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kinondoni imemfikisha mahakamani aliyekuwa Mhasibu Mwandamizi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Isaya...

Kimataifa

China yathibitisha kumshikiria Rais wa Interpol

NCHI ya China imethibitisha kumzuia Rais wa Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol), Meng Hongwei ikidai kuwa anafanyiwa uchunguzi na Tume ya Kupambana...

KimataifaTangulizi

Wafungwa wateka gereza, watoa masharti mazito

KATIKA hali isiyo ya kawaida, wafungwa wanaoshikiliwa kwenye gereza la Juba nchini Sudan Kusini wanadaiwa kuliteka gereza hilo huku wakiwa na silaha ikiwemo...

error: Content is protected !!