Thursday , 25 April 2024

Day: October 6, 2018

Kimataifa

Marekani, Saudi Arabia watibuana

MARAFIKI wawili, Taifa la Saudi Arabia na Marekani yameingia kwenye mgogoro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa mtandao wa taarifa, Prince Salman ameishambulia...

Elimu

Prof. Ndalichako amuitia Takukuru mkuu wa chuo

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amemtaka Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Diwani Athuman kutuma wataalamu...

Habari Mchanganyiko

Mtoto wa miaka mitano afariki kwa moto

MTOTO wa miaka mitano, Solile Emannuel amefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea tarehe 3 Oktoba 2018 nyumbani kwao maeneo ya Nh’obola wilayani...

KimataifaTangulizi

China yashukiwa kupotea kwa Rais wa Interpol

UTATA umeibuka kufuatia madai ya kupotea kwa Rais wa Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Meng Hongwei baada ya  Afisa Mkuu wa masuala...

error: Content is protected !!