Thursday , 28 March 2024

Day: September 13, 2018

Habari za SiasaTangulizi

Bendera ya Chadema yawazuzua CCM Ukonga

NI kama maneno ya kumnadi Mwita Waitara yamewaishia makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kwanza kushambulia rangi za bendera ya Chadema....

Michezo

Kuwaona Makambo, Kagere buku saba

KUWAONA washambuliaji wawili Meddie Kagere wa Simba na Heritier Makambo wa Yanga wawili hao wataonyeshana ubabe Septemba 30, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar...

Makala & UchambuziTangulizi

Urais Zanzibar si rahisi (3)

ZANZIBAR katika maisha yake, imepigwa mapigo ya aina kwa aina. Imepigwa kwenye pande zote za kimaendeleo; pembe zote – Kaskazini, Kusini, Mashariki na...

Habari za Siasa

Kangi Lugola: Mwananchi akifia kwenye mapenzi kachomeni kitanda

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ameshangazwa na kitendo cha baadhi ya wananchi kuchoma vituo vya polisi pindi raia anapofariki...

Habari Mchanganyiko

Waliokutwa na madini kinyume na sheria, wakwepa kifungo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu miaka mitatu jela ama kulipa faini ya Sh. 24 milioni wafanyabiashara wawili wa madini baada ya kukiri kosa la...

Habari za Siasa

Spika Ndugai azuia wakurugenzi wa Uchaguzi kuguswa

SPIKA wa Bunge Job Ndugai amemzuia Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Susan Kolimba kujibu maswali ya...

error: Content is protected !!