Friday , 29 March 2024

Day: September 6, 2018

Habari za SiasaTangulizi

JPM ambana mbunge wa Chadema, atamani kuhamia CCM

MBUNGE wa Serengeti kupitia Chadema, Marwa Lyoba amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na wafuasi wa CCM alipobanwa na Rais John Magufuli...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli awatega wakuu wa wilaya, mikoa

RAIS John Magufuli amewaweka mtegoni Wakuu wa Wilaya na Mikoa walioko katika maeneo yenye migogoro sugu  ya ardhi, akiwataka kusema iwapo wameshindwa kuitatua...

Habari za Siasa

Ngono chap chap yapigiwa chapuo bungeni  

 SUSAN Lyimo, Mbunge wa Viti Maalum Chadema ametaka kutengenezwa mazingira ili wanaotaka kufanya ngono haraka, wawe  na amani. Anaandika Mwandishi Maalum…(endelea). Lyimo ameitaka...

KimataifaTangulizi

Bobi Wine alazwa ICU, madaktari wasema alipewa sumu

MBUNGE wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi hali yake kiafya ni tete, amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU) nchini Marekani alikokwenda...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua Mkurugenzi mpya wa Takukuru

RAIS John Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi, Diwani Athuman kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Anaripoti Regina...

error: Content is protected !!