ALIYEKUWA Diwani wa Mtoni kwa tiketi ya CHADEMA, Bernard Mwakyembe, ametoa sababu 10 zilizomfanya aondoke Chadema na kuhamia CCM. Anaripoti Gerva Lyenda …...
By Faki SosiSeptember 29, 2018TUKIO la dereva wa basi la daladala maarufu Hiace, Andrew Kiwia, limeibua maswali yasiyo na majibu hasa baada ya kauli ya kamanda wa...
By Mwandishi MaalumSeptember 29, 2018RAIS John Magufuli amewataka mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje ambao hawajatumia vyema madaraka yao katika kuiletea nchi maendeleo, kujiandaa kurudi nyumbani....
By Regina MkondeSeptember 29, 2018RAIS John Magufuli amesema anamuonea huruma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro, kwa kuwa anakwenda...
By Regina MkondeSeptember 29, 2018TAASISI na Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Burundi yamesitishwa kutoa huduma katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu,...
By Regina MkondeSeptember 29, 2018SERIKALI kupitia Wizara ya Afya , Maendelo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka Waganga Wakuu wa Mikoa na Waganga Wafawidhi kuonesha vipindi...
By Masalu ErastoSeptember 28, 2018MWENYEKITI wa kijiji cha Kikundi, kata ya Tomondo, Morogoro, Musa Muhongo ameahirisha mkutano mkuu wa kijiji mara baada ya wanakijiji kuchachamaa wakidai kuelezwa...
By Christina HauleSeptember 28, 2018TANZANIA imetunukiwa tuzo ya Kimataifa ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambikiza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tuzo hiyo alikabidhiwa jana tarehe 27...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2018MABANDA takribani 1,000 ya wafanyabiashara katika Soko la Mlango Mmoja lililoko jijini Mwanza yameteketea kwa moto alfajiri ya leo tarehe 28 Septemba 2018....
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2018JESHI la Polisi mkoani Arusha linawasaka viongozi wa kijiji cha Kisimiri Juu kilichopo wilayani Arumeru kwa tuhuma za kukiuka agizo la serikali pamoja...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2018MBUNGE wa Serengeti (Chadema), Marwa Chacha amejiuzulu uanachama wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza leo Septemba...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2018JUHUDI za unyanyuaji meli ya MV Nyerere zimefikia hatua nzuri baada ya kuinuliwa na kuanza kuonesha taswira yake ya siku zote. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2018SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) limethibitisha kumfungia mchezo mmoja wa Ligi ya Mabingwa mshambuliaji wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo baada ya...
By Kelvin MwaipunguSeptember 27, 2018MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amelitumia Jukwaa la Uzinduzi wa Daraja la Juu (Mfugale Flyover) kumweleza Rais John Magufuli...
By Faki SosiSeptember 27, 2018NDUGU wa marehemu Andrew Kiwia, aliyekuwa dereva wa Hiace wamesusa kuchukua mwili wa ndugu yao. Anaandika Mwandishi Maalum … (endelea). Ndugu hao wameeleza...
By Mwandishi MaalumSeptember 27, 2018RAIS John Magufuli amesema serikali yake itabadilisha muonekano wa Jiji la Dar es Salaam kupitia miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu hasa ya...
By Regina MkondeSeptember 27, 2018KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Emmanuel Amunike ametangaza majina ya wachezaji 30 watakaoingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo...
By Kelvin MwaipunguSeptember 27, 2018RAIS John Magufuli amewakaribisha wabunge na madiwani wa upinzani wanaosumbuka na mizigo katika vyama vyao, kuingia CCM. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Rais...
By Regina MkondeSeptember 27, 2018MICHEZO mbalimbali iliendelea jana barani Ulaya kwa kushuhudia magwiji wa tatau Liverpool, Barcelona na Real Madrid wakikubali kupokea vichapo ambavyo viliwashangaza wadau wengi...
By Kelvin MwaipunguSeptember 27, 2018JONESIA Rukyaa kutoka Kagera ametangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kuwa mwamuzi wa kati kwenye mechi ya Simba na Yanga...
By Kelvin MwaipunguSeptember 26, 2018PATRICK Cheche, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Kimataifa Hazina pamoja na walimu wanne wa shule hiyo, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2018IWAPO Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) pia Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) watashindwa kuboresha usafiri wa...
By Faki SosiSeptember 26, 2018SERIKALI imefuta utaratibu wa utoaji vibali kwa wananchi wanaolima jirani na kambi za wakimbizi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katazo hilo limetolewa jana...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2018RAIS John Magufuli amemteua Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Damas Ndumbaro kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
By Regina MkondeSeptember 26, 2018p
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezindua sera mbadala ya Taifa leo Jumanne tarehe 25 Septemba, 2018. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa...
By Faki SosiSeptember 25, 2018WAZIRI Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano, Fredrick Sumaye amesema, nchi kwa sasa inaendeshwa “kiholela,” na kudai kuwa ikiwa chama chake kitafanikiwa kushika madaraka,...
By Saed KubeneaSeptember 25, 2018MAREKANI imeitaka serikali ya Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kufuta mashtaka ya uhaini iliyofungua mahakamani dhidi ya Mbunge wa Kyadondo Mashariki , Robert...
By Regina MkondeSeptember 25, 2018PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amefungua milango kwa mwanachama mwenye uwezo kujitokeza na kugombea nafasi aliyonayo sasa. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 25, 2018WAKATI harakati mbalimbali zikiendelea kufanywa na serikali kuhakikisha shughuli za wakazi wa Kisiwa cha Ukara zinaendelea, hatua mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa. Anaripoti Mwandishi wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2018KITENDO cha Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kutotokea kwenye hafla ya utoaji tuzo ya Mchezaji Bora wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani...
By Kelvin MwaipunguSeptember 25, 2018VYOMBO vya dola nchini Angola vimemuweka kizuizini Jose Filomeno Dos Santos, mtoto wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Jose Eduardo Dos Santos...
By Regina MkondeSeptember 25, 2018TUME ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imevifuta vyuo vikuu viwili kikiwemo cha Mtakatifu Yohana (SJUT) kilichopo Msalato Dodoma na Theophil Kisanji (TEKU) cha...
By Regina MkondeSeptember 25, 2018NAWAKUMBUSHA tu wale mahodari wa kutuma salaam za rambirambi, na wakukataza majanga ya ajali yasigeuzwe mtaji wa kisiasa, wakumbuke na Kisiwa cha Mafia...
By Yusuf AboudSeptember 25, 2018RAIS John Magufuli anatarajiwa kutoa kiasi cha Shiling milioni moja kwa kila mwathirika wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba 2018....
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2018Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imewataka waombaji mikopo katika mwaka wa masomo 2018/2019 ambao fomu zao zina kasoro,...
By Regina MkondeSeptember 24, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachilia kwa dhamana watangazaji Sudi Kadio maarufu kama Soudy Brown na Shaffih Dauda na wengine wanne. Anaripoti Faki...
By Faki SosiSeptember 24, 2018WAPENDWA tuanze maandiko ya leo kama tulivyoanza maandiko ya mara ya mwisho. Tulikumbushana kuwa sisi wote tumekutana katika nchi hii pasipo wenyewe kuridhia!...
By Mwandishi MaalumSeptember 24, 2018JENERALI Mstaafu, George Waitara kuongoza jopo la wajumbe saba wa Tume ya kuchunguza ajali ya kivuko cha MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia ombi la Serikali kujibu kwa kiapo shauri la maombi ya dhamana kwa Msanii wa Bongo Fleva, Maua...
By Faki SosiSeptember 24, 2018KUELEKEA mchezo utakaowakutanisha watani wajadi Simba na Yanga, Septemba 30, 2018 wachezaji tegemeo kwa vikosi vyote viwili Feisal Salumu ‘Fei Toto’ wa Yanga...
By Kelvin MwaipunguSeptember 24, 2018KIUNGO wa Manchester United ambaye ni raia wa Ubelgiji, Marouane Fellaini, ameongezewa mshahara unaomfanya ashike namba nne kati ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa...
By Faki SosiSeptember 24, 2018Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Isengo, Ines Mtundu (19) kwa kosa la...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2018NAPE Nnauye, Mbunge wa jimbo la Mtama, amepata ajali asubuhi ya leo tarehe 24 Septemba 2018 akiwa safarini kuelekea wilaya ya Liwale mkoani...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2018RAIS wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, aweza kung’oka madarakani ndani ya kipindi cha miaka miwili kutoka sasa. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2018RAIS John Magufuli ameivunja Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) ikiwa ni muendelezo wa hatua...
By Regina MkondeSeptember 24, 2018Anaandika Zitto Kabwe Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri? Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja,...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2018RAIS John Pombe Magufuli ameivunja bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa na...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2018MKAZI wa mtaa wa Uzunguni wilaya ya Muleba, Kagera, Alex Chacha anasota katika gereza la Butimba Mwanza kwa tuhuma za uhujumu uchumi baada...
By Moses MsetiSeptember 23, 2018