Thursday , 28 March 2024

Day: August 17, 2018

Habari za Siasa

Chadema wateua wa kupambana na Waitara, Kalanga

CHAMA cha Chadema kimeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu yaliyoachwa wazi baada ya wabunge wawili kujiuzulu na mmoja kufariki. Anaripoti Regina Kelvin …...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za mbegu zatakiwa kuweka mikakati ya kuinua kilimo

NAIBU Waziri wa Kilimo Omari Mgumba amezitaka Taasisi zinazojihusisha na masuala ya mbegu nchini kuweka mipango mikakati wa miaka minne itakayoendana na mpango wa...

Michezo

DPP aendelea kuwasotesha Aveva na Kaburu

RAIS wa klabu ya Simba Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wameendelea tena kusota mahakamani baada ya kusubiri kibali kutoka kwa...

Habari Mchanganyiko

Polisi, Dawasco, Tanesco kuanzisha msako mkali

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Tanesco, Dawasco na kampuni mbalimbali za simu za mkononi limeanzisha msako...

Michezo

Okwi kuikabili Taifa Stars Septemba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Okwi, ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uganda ‘The Crains’ kitakachowakabili timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ mchezo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba: Ninaongoza kwa kuwatetea Wazanzibar

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa amesema, ni kinara kwa kuwatetea Wazanzibari. Anaandika Faki...

Afya

Wajawazito wahimizwa kupima Ukimwi

AKINA Mama wajawazito wametakiwa kuwahi kliniki mara wanapohisi wana ujauzito na kufuata ushauri wa wataamu wa afya ili kuwakinga watoto wanaotarajia kujifungua dhidi...

Habari Mchanganyiko

‘Waraka wa mishahara serikalini uzingatiwe’

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha waraka wa mishahara unapitiwa kila baada ya miaka mitatu na kufanyiwa marekebisho kama inavyotakiwa kisheria ili kuhakikisha haki ya ujira...

Habari Mchanganyiko

Professa Mbarawa aagiza kukusanywa kodi

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji Professa Makame Mbarawa ameiagiza Mamlaka ya Maji na Umwagiliaji mkoani Mwanza (MWAUWASA) kuongeza jitihada za ukusaji wa kodi...

error: Content is protected !!