Thursday , 28 March 2024

Day: August 7, 2018

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Paresso, wanamtumia Lissu kuomba kura

WaBUNGE wa Chadema – Saed Kubenea (Ubungo) na Cecilia Paresso (Viti Maalum), mkoani Arusha – wamemtumia mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumuombea...

Habari Mchanganyiko

Viongozi Tanga watakiwa kuwa wabunifu

VIONGOZI na watendaji wakuu wa halmashauri ya Jiji la Tanga wametakiwa kuwa wabunifu katika kuhakikisha wanawafikia wanawake wengi wanaoishi mjini ili waweze kujiunga...

Afya

Utumiaji maji safi na salama, kinga kubwa ya kipindupindu

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesisitiza jamii ya Tanzania juu ya utumiaji wa maji safi na...

Habari za Siasa

Watu 13 wafikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi

WATU 13 wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwemo utakatishaji fedha wa Sh....

Habari za SiasaTangulizi

Serikali Z’bar yafuta kongamano la maridhiano

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imefuta kongamano la kimataifa la kujadili mustakbali wa maridhiano Zanzibar lililokuwa lifanyike kesho. Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wadau wa kilimo washauriwa kuzalisha mbegu

WADAU wa kilimo na wakulima wakubwa kwa ujumla wameshauriwa kuanzisha makampuni ya mbegu ili kuifanya Sekta ya Mbegu kuwa na uzalishaji wa kutosha...

Habari Mchanganyiko

Waganga wa kienyeji mbaroni Mwanza

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu watatu kwa kosa la kufanya shughuli za uganga wa kienyeji bila kibali. Anaripoti Regina Kelvin …...

Kimataifa

Museveni kufanya ziara nchini

YOWERI Museveni, Rais wa Jamhuri ya Uganda, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku moja hapa nchini ifikapo tarehe 9 Agosti 2018. Anaripoti...

Elimu

Serikali kuinadi Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima

PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, amesema Serikali imejipanga kuandaa na kutoa mafunzo ya uwezeshaji wa programu za kisomo na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanesco, REA wapigwa marufuku kuagiza vifaa nje

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) limetakiwa kusitisha uagizaji wa viunganishi vya miundombinu ya umeme (Accessories) kutoka nje...

error: Content is protected !!