Thursday , 28 March 2024

Day: August 3, 2018

Habari Mchanganyiko

Wafugaji washauriwa kutumia dawa za mifugo

WAFUGAJI hapa nchini wameshauriwa kuzingatia matumizi ya dawa za mifugo wanayopewa na wataalamu ili kuongeza kipato na kuboresha uchumi wao na Taifa kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yaendelea kulisakama TWAWEZA

SHIRIKA linaloshughulika na masuala ya utafiti nchini, linalofahamika kwa jina la TWAWEZA, lidai kutishwa na vyombo vya serikali. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

TRA yapewa ushauri kuokoa makusanyo ya kodi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeshauriwa kuweka mikakati thabiti itakayowezesha kudhibiti upotevu wa makusanyo ya kodi yatokanayo na sekta madini kuanzia kwa wachimbaji...

Michezo

Simba watangaza viingilio vya ‘Simba Day’

MABINGWA wa Tanzania Bara Simba kupitia mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano wao Haji Manara wametangaza vingilio katika tamasha lao kubwa la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watekaji waliotumia gari ya UN, wanaswa

JESHI la Polisi Kanda Maluum ya Dar es salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuteka watu na kudai fedha kwa  kutumia gari...

Habari za SiasaTangulizi

Mkurugenzi Twaweza anyang’anywa ‘Passport’

MAOFISA wa Uhamiaji wamemnyang’anya Hati ya Kusafiria (passport) Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti isiyo ya kiserikali Twaweza Aidan Eyekuze. Anaandika Regina Kelvin … (endelea)....

Michezo

CAF yawatoa kifungoni waamuzi wa Tanzania

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Africa (CAF) limetoa majibu ya uchunguzi wa waamuzi wanne wa Tanzania waliofikishwa kwenye Shirikisho hilo kufuatia kuripotiwa kwa...

Habari za Siasa

Kikwete: Asante serikali, asante wadau

RIDHIWANI Kikwete, Mbunge wa Chalinze mkoani Pwani ameeleza kufurahishwa na namna serikali na wadau wa maendeleo wanavyoshiriki kulivusha Jimbo la Chalinze katika vikwazo...

Michezo

Mzee Majuto alazwa tena Muhimbili

MFALME wa maigizo ya uchekeshaji nchini, Amri Athuman anayefahamika kama ‘Mzee Majuto’ amelazwa chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU) kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili....

KimataifaTangulizi

Mnangagwa ashinda uchaguzi Zimbabwe

RAIS wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zimbabwe kwa kwa asilimia 50.8 ya kura dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka...

error: Content is protected !!