Friday , 29 March 2024

Month: August 2018

Michezo

Klopp awagwaya Leicester City

MENEJA wa klabu ya Liverpool, Jurgen Klopp ameonekana kuwahofia dhidi klabu ya Leicester City katika kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi kuu nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli hapendi hamahama za wabunge, madiwani

WIMBI la hamahama ya madiwani na wabunge wa upinzani nchini limelalamikiwa kuwa linaipeleka nchi kwenye giza la uchumi kutokana na kuingia kwenye gharama...

Michezo

Amunike kuwapa nafasi nyingine nyota wa Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars, Emmanuel Amunike  ametoa msamaha kwa wachezaji wa watano wa Simba na mmoja wa...

Michezo

Zawadi ya mshindi wa Ligi Kuu bado ipo gizani

SHIRIKISHO la mpira wa miguu Tanzania (TFF), kupitia katibu mkuu wake Wilfred Kidao imesema mpaka sasa hawajajua watatoa zawadi ipi kwa bingwa wa...

Habari Mchanganyiko

LHRC: Ukatili wa ngono waongezeka maradufu nchini

MATOKEO ya ripoti ya nusu mwaka wa 2018 ya haki za binadamu nchini iliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)...

Afya

Wizara ya Afya yaikomalia Ebola mipakani

MGANGA Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari Kambi ameongoza timu ya wataalam wa Afya kutoka Wizara ya Afya na Shirika la Afya Duniani...

Habari za Siasa

Wanasheria wa Serikali kuanzisha chama chao

SERIKALI ina mpango wa kuanzisha Chama cha Wanasheria walio katika utumishi wa Umma. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mpango huo umeelezwa na Mwanasheria...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ammaliza kabisa Makonda

RAIS  John Magufuli amefunga mjadala kuhusu makontena 20 yenye samani ikiwemo meza na viti yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Elimu

Ummy aingilia kati Mwalimu kumpiga mwanafunzi mpaka kufa

TUKIO la Mwalimu Respecious Patrick wa Shule ya Msingi Kibeta, iliyoko Bukoba mkoani Kagera anayedaiwa kumwadhibu mwanafuzi  Sperius Eradius, na kupelekea mwanafunzi huyo...

Habari Mchanganyiko

Waziri aagiza kupatikana hati za viwanja vya TAA

NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ametoa maagizo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Richard...

Makala & Uchambuzi

Ujinga, udikteta unatesa Afrika

RAIA wa nchi za Afrika wanazo sababu nyingi za kutamani na hata kupanga kubadili tawala zao zilizoasi. Ni mabadiliko ambayo yatawezesha kufikia kilele...

Habari za Siasa

Makontena ya Makonda kupigwa mnada J’mosi

BAADA ya mnada wa kwanza wa makontena 20 yenye samani yaliyoingizwa na Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kukwama, Mamlaka...

Habari Mchanganyiko

Kundi la paka lashiriki mazishi

KUNDI la paka wapatao 12 wameshiriki mazishi ya Salehe Matiko aliyezikwa saa 10 alasiri ya Agosti 24 katika Kijiji cha Chikalala mkoani Lindi....

Habari za SiasaTangulizi

ATCL yaanza kutikisa anga za kimataifa

KAMPUNI ya ndege ya taifa (ATCL), leo Alhamisi ya tarehe 30 Agosti 2018, inatarajiwa kuzindua safari yake ya tatu ya kimataifa, itakayoanzia Dar...

Elimu

Prof. Ndalichako: Mwalimu kumuua mwanafunzi ni bahati mbaya

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa kitendo cha Mwalimu kumpiga mwanafunzi hadi kufa ni cha bahati mbaya. Anaripoti Khalifa...

Michezo

Yanga, Gor Mahia ‘OUT’ Kombe la Shirikisho

BAADA ya kumalizika kwa michezo ya kundi D, ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika hatimaye klabu za Yanga na Gor Mahia...

Habari za Siasa

Rais Mstaafu Mwinyi amfanyia dua maalum Dk. Kigwangalla

RAIS Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi, leo Agosti 29, 2018 amemtembea na kumuombea...

Michezo

Mo Salah aiwekea masharti Misri ili aitumikie timu ya Taifa

MSHAMBULIAJI wa Livepool na timu ya Taifa ya Misri, Mohamed Salah amekipa masharti Chama cha Mpira wa Miguu Misri (EFA) ambayo wakishindwa kuyatimiza...

Habari za Siasa

Standard Chartered yatoa Bil 1.5 kuchenga reli

TANZANIA kupata mkopo nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.46 sawa na zaidi ya shilingi trilioni 3.3 kutoka kwa Benki ya Standard Chartered...

MichezoTangulizi

Amunike awatimua wachezaji wa Simba Taifa Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Emmanuel Amunike amewaondoa wachezaji sita wa klabu ya Simba waliokuwa wameitwa kwenye timu hiyo...

Habari Mchanganyiko

JWTZ wajinasibu kuimalisha Usalama

IKIWA imebaki siku mbili Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) litimize miaka 54 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964, limetangaza mafanikio yake...

Michezo

Kamati ya waamuzi yasimamisha watano

KAMATI ya Waamuzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia kwa Mwenyekiti wake, Mzee Salum Chama imewasimamisha baadhi ya waamuzi ambao wamefanya vibaya...

AfyaTangulizi

Viongozi wadini wapewa kazi kudhibiti Ebola

VIONGOZI wa dini zote wametakiwa kushirikishwa kwenye maandalizi ya mapambano ya ugonjwa wa ebola ambao umetaatifiwa upo nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia...

Kimataifa

Spika wa Bunge Uganda amvaa Rais Museveni

REBECCA Kadaga, Spika wa Bunge la Uganda amemwandikia barua Rais Yoweri Museveni akimtaka kuhakikisha kwamba, polisi waliohusika kumpiga na kumjeruhi, Robert Kyagulanyi ‘Bobi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atoa ya moyoni

TUNDU Lissu, Mbunge was Singida Mashariki amesema kuwa upinzani umeshambuliwa kuliko kipindi chochote nchini Tanzania. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea). Lissu amesema hivyo...

Kimataifa

Jaji Mkuu akamatwa kwa ufisadi

PHILOMENA Mwilu, Naibu Jaji Mkuu wa Kenya amekamatwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Channel za ndani kurudi kwenye ving’amuzi wiki ijayo

CHANELI za ndani kuanza kuoneshwa bure katika visimbuzi kuanzia tarehe 5 Septemba, 2018. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Hayo yamesemwa leo tarehe 28...

Habari za Siasa

Katibu wa Bunge aficha sababu za Ghasia kujiuzuru

HAWA Ghasia, Mbunge wa Mtwara Vijijini kupitia CCM, amejiuzulu uenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 28 Agosti, 2018. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Lugola awageukia wavamizi wa maeneo ya Majeshi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewaelekeza wakuu wote wa vyombo vya Ulinzi na Usalama nchini kuainisha maeneo yote ya...

Afya

Serikali yatenga Bil. 30 kukarakabati hospitali za Rufaa

SERIKALI imetenga Sh. 30 bilioni kwa ajili ya kujenga na kukarabati miundombinu ya hospitali za Rufaa za Mikoa kila mkoa ili kuweza kuwawezesha...

Habari za SiasaTangulizi

Sugu: Kifo cha Mama kimesabishwa na kifungo changu

JOSEPH Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini amedai kuwa, kifo cha marehemu mama yake, Desderia Mbilinyi kilichotokea tarehe 26 Agosti, 2018 katika hospitali ya...

Makala & UchambuziTangulizi

Tumpime kwa viwango hivi

KITABU cha “The Prince” kilichoandikwa na Machievelle imeelezwa kuwa, kufaulu au kutofaulu kwa mtawala yeyote hutegemea anavyoweza kuwateua wasaaidizi wake. Anaandika Yusuph Katimba...

Habari Mchanganyiko

Mtoto afariki kwenye ajali ya moto

MTOTO mmoja aliyefahamika kwa jina la Chriss Shida (2) amefariki dunia baada ya kuungua na moto akiwa nyumbani kwao katika kijiji cha Kimondo...

Kimataifa

Marekani, Kenya wasaini mkataba wa usalama, biashara

DONALD Trump, Rais wa Marekani na Rais Uhuru Kenyetta wa Kenya wamesaini mikataba yenye thamani ya dola za kimarekani 900 milioni, huku sehemu...

Afya

Serikali yapanga mikakati ya kuzuia Ebola

SERIKALI kupitia Wizara ya Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yaendelea kuweka mikakati thabiti katika maeneo yote hatarishi ikiwemo mipakani na...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda chali

MPANGO wa Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuzuia kuuzwa makontena zaidi ya 20 yaliyoingizwa kwa jina lake kutoka nje,...

Michezo

Makapu afiwa na mama yake mzazi, aachwa Dar

SAID Juma Makapu amefiwa na mama yake mzazi nyumbani kwao Zanzibar, hivyo kusababishwa kuondolewa katika orodha ya wachezaji wa Yanga wanaosafiri kuelekea nchini...

Michezo

Basila aahidi zawadi ya uhakika kwa mshindi

BASILA Mwanukizi, Mkurugenzi wa kampuni ya Look LTD ambao ni waandaaji wapya wa Shindano la Miss Tanzania kwa mwaka 2018 amesema kuwa atahakikisha...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe na wenzake yahairishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi imeipiga karenda kesi inayowakabili viongozi waandamizi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa...

Kimataifa

Bobi Wine atinga mahakamani na magongo, aachiwa kwa dhamana

ROBERT Kyagulanyi ‘Bob Wine’ Mbunge wa jimbo la Kyadondo nchini Uganda na wabunge wengine watatu wameachiwa huru kwa dhamana na Mahakama Kuu mjini...

Habari za Siasa

Masikini Abdul Nondo!

MAHAKAMA ya Mkoa wa Iringa imemkuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP) Abdul Nondo aliyeshitakiwa kwa madai ya...

Habari Mchanganyiko

Lugola amweka ndani Mkuu wa kituo cha Polisi

KANGI Lugola Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, amemuweka ndani Ibrahim Mhando, Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kati mjini Mtwara (OCS)...

Kimataifa

Papa Francis atakiwa kujiuzuru

CARLO Maria Vigano, Mjumbe wa zamani wa Vatican amemtaka Papa Francis, Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani kujiuzulu kufuatia kadhia inayoliandama kanisa hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamliza Makonda, atoa laana

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam yupo kwenye mtihani wa kunasua ‘makontena yake yaliyobeba samani’ bandarini jijini Dar es Salaam....

Michezo

Messi, Ramos kukinukisha Hispania

LIONEL Messi, nahodha wa Bacelona na Sergio Ramos wa Real Madri ndio vinara wa kuongoza mgomo kupinga La Liga kuchezwa Marekani. Anaandika Kelvin...

KimataifaTangulizi

McCain afariki dunia

MPINZANI was Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama mwaka 2008 na seneta maarufu nchini Marekani, John McCain (81), amefariki dunia akiwa katika chumba...

Michezo

Messi amponza Rais wa Soka Palestina, afungiwa miaka 12

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), kupitia kamati yake ya nidhamu imemfungia miaka 12, Rais wa Chama cha Soka cha Palestina, Jibfril...

Habari za Siasa

Kikwete, Cheyo kuwamwakilisha Rais Magufuli kuapishwa Mnangagwa

DK. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, anatarajiwa kumwakilisha Rais John Magufuli katika sherehe za kuapishwa wa Emmerson Mnangagwa, Rais...

Habari Mchanganyiko

Amuua mkewe, ajinyonga

SAID Ramadhan, Mkazi wa Kijiji cha Ikongoro wilayani Uyui amejinyonga baada ya kumuua mkewe Mwajuma Hussein kwa kumpiga risasi kutokana na wivu wa...

Kimataifa

Trump asitisha msaada Palestina

DONALD Trump, Rais wa Marekani amesitisha utoaji msaada wa zaidi ya dola 200 milioni kwa Palestina. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Marekani ilipanga...

error: Content is protected !!