Friday , 19 April 2024

Month: July 2018

Kimataifa

Rais Mnangawa achekelea Uchaguzi Zimbabwe

WAKATI kura zikiendelea kuhesabiwa katika uchaguzi mkuu nchini Zimbabwe baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika, Rais wa nchi hiyo Emmerson Mnangawa ambaye...

Habari Mchanganyiko

Serikali kutaifisha mashamba ya MO Dewji

SERIKALI imekusudia kuchukua baadhi ya mashamba yanayomilikiwa na Kampuni ya Mohammed Enterprises na kuwapa wananchi kwa kuwa kampuni hiyo imeshindwa kutimiza masharti ya...

Habari za Siasa

Upepo wa CCM wamtesa Lowassa

EDWARD Lowassa, Wziri Mkuu Mstaafu ameonesha kuteswa na hama hama ya wapinzani kuelekea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Lowassa ambaye ni...

Habari za Siasa

Lugumi maji ya shingo, asalimu amri

MFANYABIASHARA Said Lugumi amesalimu amri kwa kukubali kukamilisha kufunga mfumo wa mashine za kielektroniki za kuchukua alama za vidole nchi nzima ndani ya...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amgomea Kangi Lugola

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amegomea wito uliotolewa na Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Waziri wa kujisalimisha kwa...

Habari Mchanganyiko

Sheria ya PSSSF yaanza kufanya kazi kesho

SHERIA ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumsihi wa Umma (PSSSF) namba 2 ya mwaka 2018 kuanza kutumika rasmi kesho baada ya...

Habari za Siasa

Mahakama yamuonya Mbowe kwa utoro

MWENYEKITI wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amepewa onyo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kutohudhuria mahakamani hapo kwa mara mbili....

Habari Mchanganyiko

Serikali kupanga bei elekezi ya madini

SERIKALI imesema itapanga bei elekezi ya madini ili kundoa urasimu wanaofanyiwa wachimbaji wadogo wakati wa uuzaji. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Hayo yalisemwa...

Habari Mchanganyiko

JWTZ wawaita madaktari kujiunga na jeshi

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini madaktari wa binadamu na fani nyingine za tiba. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Lugumi ajisalimisha kwa Kangi Lugola

MFANYABIASHARA Said Lugumi ametelekeza agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Kangi Lugola liliomtaka ajisalimishe ofisini kwake mara moja. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge mwingine Chadema ang’oka

JINAMIZI la kukimbiwa na wabunge na madiwani linazidi kuitafuna Chadema, ambapo jana tarehe 30, 2018 Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga kupitia chama hicho...

Habari Mchanganyiko

Msako wa mashine za EFD waendelea

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itaendelea kufanya ukaguzi wa matumizi za mashine za kutolea risiti za kielektroniki (EFD), ili kuhakikisha kila mfanyabiashara...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli awapa pole Waislam

RAIS John Magufuli ametuma pole kwa Waislam nchini kutokana na kifo cha aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Mwanza, Salum Hassan Fereji. Anaripoti Yusuph...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy: Serikali isiwe kikwazo

TAASISI za serikali zinazohusika na masuala ya ukaguzi na udhibiti wa bidhaa, zimetakiwa kutokuwa kikwazo kwa maendeleo ya wajasiriamali na ujenzi wa viwanda...

Habari za Siasa

Kubenea: Hakuna wa kuning’oa Chadema

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema kuwa, hakuna wa kumng’oa ndani ya chama hicho. Anaandika Faki Sosi…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

MwanaHALISI huru, kurejea mtaani

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeamuru gazeti la kila wiki la MwanaHALISI ambalo lilifungiwa na serikali, liendelee kuchapishwa. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). ...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea kuitikisa nchi leo

MBUNGE wa Ubungo na Mkurugenzi Mtendaji wa MwanaHALISI, Saed Kubenea, leo Jumatatu, tarehe 30 Julai, saa sita mchana, atakuwa na mkutano na waandishi...

Makala & Uchambuzi

Nani anaweza kuibadili CCM?

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kina mkondo ambao kila ajaye lazima aupite. Tusijidanganye kwamba, yupo anayeweza kubadili taswira na mfumo ndani ya CCM. Anaandika Ndoimba Nainda...

Habari za Siasa

Maalim Seif aichamba CCM

MAALIM Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) amesema kuwa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) sio chama cha kukimbilia.  Anaripoti Regina Kelvin...

Habari za SiasaTangulizi

Waitara atumwa kuinadi CCM Buyungu

ALIYEKUWA mbunge wa Ukonga, kupitia Chama cha Demokrasia (CHADEMA), Mwita Mwaikabe Waitara, anaelekea jimboni Buyungu, wilayani Kakonko, mkoani Kigoma, kukiongezea nguvu chama chake...

Afya

Gonjwa hili, Ukimwi haugusi

UPUNGUFU wa Kinga Mwilini (Ukimwi) ndio unaoonekana kuwa tishio lakini Ugonjwa wa Homa ya Ini unatajwa kuuwa Ukimwi na hata Kifua Kikuu. Anaripoti...

Makala & Uchambuzi

Wanachojua ni kufoka, kutisha

BABA utufundishe kusema lakini kusema sawasawa. Kusema ni kukiri na kukana kwa wakati mmoja. Serikali ya watu husema na watu wake. Anaandika Mwalimu...

Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa wa kesi ya Bilionea Msuya alivyohasiwa gerezani

SHWAIBU Jumanne, maarufu kwa jina la Mredii, amenusurika kifo, lakini amepata ulemavu wa maisha. Amehasiwa na hivyo hana uwezo tena wa kupata mtoto...

Habari za SiasaTangulizi

Jokate, Murro, Kafulila kumsaidia Rais Magufuli

RAIS John Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, ambapo amemteua Mwanamitindo, Jokate Mwegelo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe huku aliyekuwa Mbunge wa...

Habari za Siasa

Ujumbe wa Mbowe baada ya Waitara kuondoka

Wah. Viongozi na Wabunge! Amani iwe kwenu wote! Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya...

Habari za Siasa

Zitto atoa neno zito kuondoka kwa Waitara

BAADA ya Mbunge wa Ukonga (Chadema) Mwita Waitara kutangaza kurudi CCM, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe  ametoa neno kuhusu hatua hiyo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwazidi kufukuta, Mbunge Waitara akimbilia CCM

KINYANG’ANYIRO cha uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza kukimega chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Mbunge wa...

Habari za Siasa

CCM yamgeuka Lugola Buyungu

MAZINGIRA ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Buyungu yamekilazimisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumtosa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola....

Makala & Uchambuzi

Kiswahili kimefika kiwango hiki

KUNA watumiaji wachache wa mtandao maarufu wa facebook wanaofahamu kwamba, mtandao huu unatumia lugha ya Kiswahili kuandaa mikataba ya kulinda taarifa zao za...

Habari Mchanganyiko

Auawa kwa tuhuma za ujambazi

MTU mmoja anayefahamika kwa jina la Mussa Faustine (19) mkazi wa Bugarika wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza, ameuawa na wananchi wenye hasira kali...

Habari Mchanganyiko

Umoja wa Mataifa kununua tani mil 3 za chakula

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limewatangazia neema wakulima wa mazao ya chakula nchini, ambapo imewahakikishia kwamba itanunua...

Afya

Upasuaji wa kifua wafanikiwa JKCI

WATOTO tisa wenye umri kuanzia miezi mitatu hadi 17 wamefanyiwa upasuaji wa kufungua kifua na Madaktari Bingwa wa upasuaji wa Moyo kwa watoto wa...

Habari Mchanganyiko

Jamii yashauriwa usimamizi shirikishi wa misitu

JAMII imeshauriwa kuzingatia dhana ya usimamizi shirikishi wa misitu kibiashara yenye kulenga kuwapatia kipato kufuatia utunzaji wa misitu na uvunaji endelevu. Anaripoti Christina Haule,...

Kimataifa

Iran yajibu mapigo ya Marekani

NCHI ya Irani imejibu tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kumuonya kwamba atapoteza kila anachomiliki iwapo ataruhusu nchi yake kulishambulia Taifa...

Michezo

Biashara yampeleka Ally Kiba Coastal Union

NI wazi kuwa klabu ya Coastal Union imemsajili Msanii maarufu nchini Ally Kiba kwa sababu za kibiashara zaidi na uwezo wa staa huyo...

Tangulizi

Mrema: Rais Magufuli kuwa makini na unaowateua

AUGUSTINO Mrema, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha TLP,  amemtaka Rais John Magufuli kuwa macho anapofanya uteuzi wa viongozi wa umma, huku akimshauri...

Habari za Siasa

Serikali yazindua mpango wa Jiji la Dar es Salaam

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amezindua Master Plan (Mpango Mji) wa jiji la Dar es Salaam. Anaripoti Faki...

Habari za Siasa

Augustino Mrema ampa kazi Kangi Lugola

AUGUSTINO Mrema, Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole,  amesema kama Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amedhamilia kuwashughulikia wanaowabambikizia...

Michezo

Yanga yawatema makinda, mafaza

BAADA ya dirisha la usajiri kufungwa jana majira ya saa sita usiku, klabu ya Yanga imetoa orodha ya wachezaji tisa ambao hawatotumikia timu...

Habari za SiasaTangulizi

‘CCM inamvua nguo Chiza’

CHRISTOPHER Chiza, mgombea mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buyungu, Kigoma anakwenda kuumbuka. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Nondo akamatwa tena na Polisi

MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdull Nondo ametiwa mbaroni na jeshi la Polisi usiku kuamkia leo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Michezo

Yanga yazinduka jioni

IKIWA yamebakia masaa machache kabla ya dirisha la usajiri la Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na ligi daraja la kwanza hatimaye klaba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mange kubeba tuzo Marekani

MANGE Kimambi, raia wa Tanzania anayeishi Marekani, ni miongoni mwa wanawake wanaharakati wa kisiasa wanaotajwa kwenye orodha ya kugombea tuzo ya mwanamke mhamasishaji...

Habari za Siasa

Waziri wa Madini afunga mgodi Pwani

SERIKALI imesimamisha shughuli za mgodi unaochimbwa madini ya Kaolin unaomilikiwa na kampuni ya RAK Kaolin kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa uendeshaji wake...

Kimataifa

Tukio kubwa kuikumba dunia kesho (Julai 27)

KARNE ya 21 inatarajiwa kushuhudia tukio kubwa na la muda mrefu la kupatwa kwa mwezi Ijumaa ya Julai 27, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Watakaobadili matumizi ya kanisa kulaaniwa

WAUMINI wa Kanisa la Mama Maria Mkuu wa Kanisa la Kigurunyembe Manispaa ya Morogoro mkoani hapo wameaswa kutobadili matumizi ya kanisa hilo na...

Habari Mchanganyiko

Mil 46 zatengwa kusimamia misitu

JUMLA ya shilingi mil 46 zimetengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kwa mwaka wa fedha 2018/19 kwa ajili ya Usimamizi...

Afya

Rais Magufuli apongezwa  

SERIKALI inayoongozwa na Rais John Magufuli imepongezwa kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa kutoa na kuchukua hatua hasa katika magonjwa ya mlipuko. Anaandika Khalifa...

Habari Mchanganyiko

DART yabadili ratiba ya mabasi

KUFUATIA ujenzi wa daraja la juu kwenye makutano ya barabara ya Morogoro na Mandela, Kampuni ya UDA Rapid Transport (UDART)  inayotoa huduma kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Sethi, Rugemalira kuwaumbua vigogo mahakamani

JAMES Rugemalira (74), bado anasota kwenye gereza la Segerea, jijini Dar es Saalaam. Anashitakiwa kwa kuhujumu uchumi. Anaripoti Saed Kubenea … (endelea). Anadaiwa...

error: Content is protected !!