WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Kasimu Majaliwa, amewataka viongozi na waumini wa dini ya Kiislamu nchini kuacha kugombania vyeo na misikiti...
By Danson KaijageMarch 31, 2018BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha) limejiapiza kukulinda chama chao kwa gharama yeyote kwa kile walichodai ni hujuma za kutaka kukifuta na kufungwa...
By Faki SosiMarch 31, 2018WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepata ajali ya gari jana usiku mkoani Morogoro wakati wakitokea Dodoma kuelekea Dar es...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2018HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Wilbard Mashauri amewapa dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wenzake watano bila ya kuwepo mahakamani. Anaripoti...
By Jabir IdrissaMarch 29, 2018WABUNGE na Madiwani wa Chama cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameishitaki SErikali ya Tanzania kwa Umoja wa Ulaya juu ya hali...
By Faki SosiMarch 29, 2018MAWAKILI wa pande zote mbili wa kesi zinazowakabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake wamekutana na Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri kujua hatma ya...
By Faki SosiMarch 29, 2018WALE watoto wa Mzee Hashim Rungwe akiwemo mpwa wake wa kike, waliokuwa hawaonekani kwao, “wameachiwa.” Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rungwe, mfanyabiashara mkubwa...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2018KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wabunge na Madiwani wa chama hicho wanakutana kujadili sakata la Mwenyekiti na viongozi waandamizi...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2018VIONGOZI wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaendelea kusota rumande kwa hoja kwamba, wanaweza kuhatarisha usalama wa jamii. Anaandika Faki Sosi…(endelea)....
By Faki SosiMarch 28, 2018TIMU ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ imezinduka usingizi baada ya kuitandika DR Congo kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguMarch 27, 2018FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na viongozi watano wa chama hicho wamesomewa mashtaka nane katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu likiwemo la kufanya...
By Faki SosiMarch 27, 2018MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayowakabiri. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiMarch 27, 2018BAADA ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa Umoja Chama Waganga wa Tiba Asilia, Wakunga (UWAWATA “T”) kukutana na kufanya mageuzi kwa kuondoa uongozi...
By Danson KaijageMarch 27, 2018AFISA kilimo wa mkoa wa Dodoma, Benard Abraham amewataka wakulima kuwasiliana na maofisa ugani pale wanapoona mimea yao au mazao inashambuliwa na wadudu....
By Danson KaijageMarch 27, 2018MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wengine wandamizi wa chama hicho, “wameswekwa rumande,” kwenye kituo cha polisi...
By Faki SosiMarch 27, 2018RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Serikali (CAG) ya mwaka 2016/17 imeonyesha deni la Taifa limezidi kupaa kwa asilimia 12 ukilinganisha na ripoti...
By Faki SosiMarch 27, 2018KAMPUNI ya mafuta ya Moil, inadaiwa kuwa imeanza kuondoa biashara zake za uuzaji wa mafuta nchini na kuzihamishia katika nchi za Uganda na...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2018CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepiga marufuku uanzishaji wa matawi mapya na kuagiza viongozi wake ngazi ya majimbo kuwa macho na nyendo zozote za...
By Faki SosiMarch 26, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ameachiwa kwa dhamana leo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2018MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, leo Jumapili amekutana na madiwani wa jimbo la Singida Mashariki, linaloongozwa na Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2018MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama hicho, Edward Lowassa wameshiriki kwenye ibada ya Jumapili ya matawi kwenye...
By Faki SosiMarch 25, 2018KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa Msajili wa vyama siasa nchini Jaji Francis Mutungi na Mwenyekiti...
By Faki SosiMarch 24, 2018MAASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wametoa waraka mzito waliouta ‘Ujumbe wa Sikukuu ya Pasaka’ ambao utasomwa kesho katika makanisa...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2018MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam imekiruhusu chama cha ACT-Wazalendo kulishtaki Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuzuia ziara za chama hicho. Anaripoti Faki...
By Faki SosiMarch 23, 2018MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema mkoani Mwanza, Magesa Mafuru amewataka watendaji katika ofisi ya Ofisa maendeleo ya jamii kujitathimini katika utendaji wao...
By Moses MsetiMarch 23, 2018WAKAZI wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, wamejikuta wakizilaumu nafsi zao na kujutia kumchagua Mbunge wa jimbo hilo, Angelina Mabula kutokana na kile...
By Moses MsetiMarch 22, 2018JOHN Mnyika, Naibu Katibu Mkuu (Bara) na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Serengeti, John Heche wamezuiliwa polisi kwa madai ya kuwa wameshindwa kufuata...
By Faki SosiMarch 22, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Freeman...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2018NDEGE ya shirika la ndege la taifa (ATC), iliyokuwa imetokea Dar es Salaam kuja Dodoma leo Jumatano, imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2018IMEBAINIKA kuwa hadi sasa kuna kampuni 11 ambazo zinadaiwa kujihusisha na utengenezaji pombe kali zisizokuwa na viwango ambazo zimekuwa zikisambazwa sokoni kinyume na...
By Danson KaijageMarch 21, 2018WAKATI Mwenyekiti wa Mtandao wa Wananfunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo akipandishwa kizimbani leo asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, Mahakama...
By Faki SosiMarch 21, 2018JESHI la polisi mkoa wa Dodoma linawashikilia watu wawili kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa madai ya kuchochea maandamano ya...
By Danson KaijageMarch 21, 2018BADO hakijaeleweka. Wakati Mawakili wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Daruso)...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2018KLABU Yanga imezindua kipindi cha televisheni kilichopewa jina la ‘Yanga TV Show’ sambamba na mfumo wa kuwapa habari wanachama wake utakaoitwa ‘Yanga Kidigitali’...
By Kelvin MwaipunguMarch 20, 2018JESHI la polisi nchini, bado linaendelea kumshikilia, kinyume na sheria za nchi, Abdul Nondo, mwanafunzi wa mwaka wa tatu kutoka Chuo Kikuu cha...
By Saed KubeneaMarch 20, 2018MKEMIA Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele ameagiza kuwa kila mtu atakayeuziwa au kununua kemikali lazima aoneshe cheti cha usajili kwa kuwa sheria...
By Danson KaijageMarch 20, 2018WAKAZI wa kata ya Kizota Manispaa ya Dodoma ambao kwa hivi sasa wapo kwenye zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya taifa, wameomba muda...
By Danson KaijageMarch 20, 2018WAZIRI wa Kilimo, Charles Tizeba na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina siku zao zinahesabika kutokana kushindwa kuhudhuria bila kutoa taarifa kwenye...
By Faki SosiMarch 20, 2018MAWAKILI wanaomwakilisha Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdul Nondo wamefungulia kesi Mkuu wa jeshi la Polisi nchini (IGP), Mkurugenzi wa Upelelezi...
By Faki SosiMarch 19, 2018JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeridhia kujiuzuru kwa Mwenyekiti wake Theophil Makunga aliyeomba kujiuzulu. Anaripoti Angel Willium … (endelea). Makunga aliomba kujiuzulu jana...
By Bupe MwakitelekoMarch 17, 2018KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemfungia maisha kutojiusisha na soka Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Michael Wambura...
By Kelvin MwaipunguMarch 15, 2018WAJUMBE wawili kutoka nchini Marekani kutoka katika kitengo cha Mshauri wa Marekani kinachohusu Siasa na Uchumi wametua nchini kwa kile kinachodhaniwa kuchunguza Serikali ya...
By Faki SosiMarch 15, 2018JESHI la Polisi nchi limewahoji viongozi wa Mtandao wa wafunzi (TSNP) kama mashahidi kwenye kesi anayotarajiwa kufunguliwa Mwenyekiti wa mtandao huo Abdul Nondo....
By Faki SosiMarch 14, 2018SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemteuwa Ammy Ninje kuwa Kocha Mkuu wa muda wa timu ya Taifa ya Vijana chini ya Umri wa...
By Kelvin MwaipunguMarch 14, 2018NAMBARI ya simu ya mkononi ya Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), ambaye bado anashikiliwa na polisi jijini Dar es...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2018KAULI za viongozi wa serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli kwa wananchi, zinaweza kusababisha kufikishwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai...
By Faki SosiMarch 13, 2018JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linamshikilia Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo kwa kosa la...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri, amepanga upya Kamati za Bunge, kufuatia kumalizika kwa muda wa kamati za awali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefanya uteuzi wa wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2018JUHUDI za Taasisi ya Namaingo Business Agents (NBA), imezindua mradi Shamba Mji Msolwa wilayani Mkuranga, Pwani ikiwa ni mwendelezo wa kuinua uchumi wa...
By Faki SosiMarch 12, 2018