Tuesday , 23 April 2024

Day: January 3, 2018

Habari za Siasa

CCM washikana uchawi, uchaguzi wa naibu meya

DIWANI mmoja kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), jina tunalihifadhi kwa sasa, ameibua taharuki baada ya kuamua kumpigia kura mgombea wa nafasi ya naibu...

Habari za Siasa

Dk. Bisimba wa LHRC ajivisha ‘mabomu’

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimejivisha mabomu na kukataa wazi wazi mpango wa serikali kilichodai kwamba ni muendelezo wa kuminya...

Elimu

Bodi ya Mikopo ‘uvungu kwa uvungu’ na waajiri

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HESLB), imetangaza vita dhidi ya waajiri hapa nchini ikiwamo wale wa serikali ili...

Habari za Siasa

Tuseme imetosha ufisadi huu mpya

MWAKA 2018 moja ya mambo tunayotakiwa kuyapinga kama Watanzania ni hili la ufisadi unaofanywa na wanasiasa wanaohama vyama na kuachia nafasi zao za...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai uso kwa uso na Lissu, kupelekwa Ulaya J’mosi

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, anatarajiwa kufika mjini Nairobi leo au kesho Alhamisi kumtembelea mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu. Anaripoti...

error: Content is protected !!