Friday , 19 April 2024

Day: November 6, 2017

Elimu

Nusu ya wanafunzi vyuo vikuu wakosa mikopo

WANAFUNZI wa elimu ya juu wamezidi kuikaba koo  Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu  (HESLB), na kuitaka iwapatie mikopo, anaandika Faki...

Afya

Wazazi, walezi wapewa neno

WAZAZI na walezi kuwatunza na kiwalea watoto wa chini ya miaka mitano ikiwamo kuwapatia lishe bora, elimu na kuwalinda dhidi ya unyanyasaji, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto azidi kusota na safari za Polisi Dar

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameendelea kusota na safari za kwenda kuripoti katika kituo cha polisi cha Chang’ombe jijini Dar es...

Habari za Siasa

Dk. Kigwangwala akinukisha, atimua bosi wanyama pori

HALI ya mambo ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii siyo shwari na sasa Waziri wa wizara hiyo, Dk. Hamisi Kigwangalla amelazimika kumsimamisha...

Kimataifa

Uchaguzi Mkuu DR Congo sasa 2018

TUME ya Uchaguzi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imetangaza kwamba uchaguzi mkuu nchini humo sasa utafanyika Desemba 2018. Hata hivyo, upinzani...

Kimataifa

Waumini 26 wapigwa risasi kanisani Marekani

WATU 26 wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa kanisani na mtu mwenye silaha katika jimbo la Texas nchini Marekani walipokuwa katika ibada. Shambulio hilo...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yatoa neno wanaokihama chama

KATIBU wa Itikadi na mawasiliano ya umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema wimbi la wanachama wa chama hicho kuhamia CCM linakikomaza, anaandika...

error: Content is protected !!