Friday , 29 March 2024

Month: November 2017

Habari za Siasa

Wabunge CUF wakwama kurudi bungeni

KATIBU wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Stephen Kagaigai amesema kuwa katika maamuzi ya mahakama hakuna sehemu imesema wabunge 8 wa...

Habari Mchanganyiko

Amwachisha mtoto ziwa baada ya kubakwa

NASYEKZI  Lilash, mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Arash, Tarafa ya Loliondo, Wilaya ya Ngorongoro, Mkoani Arusha, amelazimika kumwachisha ziwa mtoto wake wa...

Habari za SiasaTangulizi

Utekwaji, uteswaji umevuruga Uchaguzi wa Madiwani

UCHAGUZI mdogo wa kata 43 nchini uliofanyika Novemba 23 mwaka huu umeingia dosari kutokana kuripotiwa kwa matukio ya kupigwa, kutekwa pamoja matumizi mabaya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Chadema aibukia polisi

MBUNGE wa Mlimba (Chadema), Suzan Kiwanga (Mama Kiwanga), pamoja na wanachama wengine 67 wa chama hicho, wameswekwa mahabusu ya kituo kikuu cha polisi...

Habari za Siasa

Askofu akerwa aina upigaji kura wa sasa

MATOKEO ya uchaguzi wa udiwani katika kata 43 nchi nzima uliofanyika Jumapili yameleta taswira kwamba itafika wakati Watanzania wapige kura kwa kutamka mgombea...

Habari za SiasaTangulizi

Wadau katiba mpya wamtupia neno Rais Magufuli

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), kimeibuka na kusema kwamba hatma ya katiba mpya ipo mikononi mwa Rais John Magufuli kama atakuwa...

Afya

Watalaam ugonjwa wa Ini kujifua India

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili inatarajia kuwapeleka nchini India watalaam mbalimbali katika sekta ya afya kwa ajili ya mafunzo ya ugonjwa wa Ini, anaandika Angel...

Habari Mchanganyiko

Watoto wa Loliondo walazimika kuajiriwa kuyakabili maisha

BAADA ya kuathirika kiuchumi kutokana na operesheni ondoa mifugo, katika vijiji vinavyopatakana na hifadhi ya Serengeti, Loliondo, wilayani Ngorongoro, sasa watoto walazimika kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amkacha Kenyatta

RAIS wa Jamhuri ya Muungano, John Pombe Magufuli, amekacha kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyetta, zinazofanyika mjini Nairobi, leo...

Habari Mchanganyiko

Lukuvi atangaza kubadilisha hati za ardhi 2018

WAZIRI wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amemtaka Mkurugenzi wa Tehama katika wizara hiyo, ifikapo 2018, mradi wa mfumo unganishi...

Habari za Siasa

Zitto Kabwe akubali yaishe matokeo udiwani

BAADA ya kukamilika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 43 nchini, Kiongozi wa ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe amesema chama chake kimekubali kushindwa, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Julius Mtatiro ‘avibwatukia’ vyama vya upinzani

WADAU mbalimbali wa masuala ya siasa za Tanzania wamezidi kutoa maoni yao kuhusu uchaguzi mdogo wa marudio ya udiwani ambao ulifanyika jana katika...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wa CUF wamlima barua Spika Ndugai

WANACHAMA wanane wa CUF waliovuliwa ubunge wamemwandika barua Katibu wa Bunge ili amjulishe Spika Job Ndugai kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu ili achukue...

Kimataifa

Shambulio la makombora ya Urusi laua 53

RAIA 53 wameuawa katika shambulio la kombora la Urusi katika kijiji kilichopo mashariki mwa Syria Al-Shafah, kundi la uangalizi linasema. Shirika la uangalizi...

Habari za Siasa

Nini kimetokea uchaguzi marudio udiwani

KATIKA hali ya kawaida mtu anaweza kujiuliza nini kimetokea katika uchaguzi wa marudio katika kata 43 hapa nchini. Siku za hivi karibuni kumekuwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali ya Magufuli yatembeza nyundo majengo yake

TINGATINGA limeanza kubomoa majengo ya Wizara ya Maji yaliyopo eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam kufuatia amri ya Rais John Magufuli aliyoitoa...

Habari Mchanganyiko

Risasi zakosesha soko ng’ombe wa Loliondo

BAADHI ya ng’ombe katika kijiji cha Arash Loliondo, Ngorongoro, mkoani Arusha, wameshindwa kupata soko kutokana na kuwa na majeraha ya risasi huku wengine wakiendelea...

Habari za SiasaTangulizi

Kata 43 kuamua madiwani wao, mawakala wa Chadema wazuiwa

UCHAGUZI mdogo wa udiwani katika kata 43 zilizoko kwenye halmashauri 36 za mikoa 19 ya Tanzania Bara unafanyika leo, huku kukiwa na malalmiko...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania waishi kama wakimbizi nchini mwao

FAMILIA ya watu 19 imeeleza namna inavyolala chini ya mti baada ya nyumba yao kubomolewa katika operesheni ya kuwaondoa wafugaji iliyofanyika Loliondo, Ngorongoro,...

Habari Mchanganyiko

900 inapendeza azitia ‘nuksi’ nyumba za Lugumi

KWA mara nyingine mnada wa kuuza nyumba za mfanyabiashara Said Lugumi umeshindwa kufanikiwa baada ya wateja wengi kutofikia bei inayotakiwa, anaandika Mwandishi Wetu....

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Gama afariki dunia

MBUNGE wa Songea mjini, Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Peramiho, anaandika Mwandishi Wetu. Gama amewahi kuwa Mkuu...

Habari Mchanganyiko

Serikali yazitia Kitanzi Asasi za kiraia, THRDC watoa kauli

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umepinga kauli ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa...

Habari za Siasa

Lowassa akanusha kuomba kurejea CCM

EDWARD Lowassa amesema hana mpango wa kurejea CCM kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii, anaandika Faki Sosi. Lowassa amesema amepata...

Habari za Siasa

Kauli 11 mwiba mkali kwa wapinzani kwa sasa

VYAMA vya upinzani leo vimepata pigo baada ya kuondokewa na wanachama wake na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), lakini mbali na pigo...

Habari za Siasa

Kauli ya Chadema baada ya Mwenyekiti Bavicha kuhamia CCM

DK. Vincent Mashinji, Katibu Mkuu wa Chadema, amesema chama hakina mgogoro na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha, Patrobas Katambi ambaye ametangaza kujiunga na CCM...

Habari za SiasaTangulizi

CHADEMA yatikiswa, wengine mbioni kung’oka

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaweza kukimbiwa na viongozi wake wengine watatu, wakiwamo wabunge wawili wa majimbo, anaandika Mwandishi Wetu. Taarifa kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto awasusia polisi simu yake

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amesema kuwa ana mashaka ni kwa nini Jeshi la Polisi linaendelea kushikilia simu yake mpaka sasa na...

Kimataifa

Mahakama Kenya yamkubali Kenyatta

MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya imetupilia mbali kesi mbili zilizowasilishwa kupinga uchaguzi wa marudio, imeidhinishwa ushindi wa Kenyatta. Jaji Mkuu David Maraga amesema...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za Serikali zaikacha Shirika la Posta

IMEELEZWA pamoja na Shirika la Posta kumilikiwa na serikali kwa asilimia 100, ni asilimia 20 tu ya taasisi za serikali ndio zinatumia huduma...

Habari Mchanganyiko

Maofisa takwimu wafundwa

WAZIRI wa Fedha na Mipango Dr Phillip Mpango amewataka viongozi ngazi ya Taifa hadi kijiji kutoa ushirikiano kwa watafiti watakapokuwa wanafanya kazi zao...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya utayari vyaongeza wanafunzi mashuleni

MPANGO wa Kuboresha Elimu Tanzania kwa shule za msingi (EQUIPT TANZANIA) kwa kuanzia vituo vya utayari umechangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi kuongezeka mashuleni,...

Habari Mchanganyiko

Wanaofelisha watoto wapewa somo

WAZAZI na walezi wilayani Bahi mkoani Dodoma wametakiwa kuwekeza elimu kwa watoto wao wanaohitimu shule ya msingi na sekondari, kwa kuwaendeleza kimasomo zaidi...

Habari za SiasaTangulizi

Waliombeza Dk. Shika kuumbuka, adai mabilioni yake kutua Tanzania

BILIONEA wa nyumba za Lugumi aliyeteka vichwa vya habari siku za hivi karibuni, Dk. Louis Shika, amekamilisha malipo ya bima kwa ajili ya...

KimataifaTangulizi

ZANU PF yamshinikiza Mugabe ajiuzulu

CHAMA tawala Zimbabwe ZANU PF kimemtaka Rais Robert Mugabe ajiuzulu, kauli hiyo imetolewa na viongozi wa matawi ya chama hicho katika majimbo yote...

Habari Mchanganyiko

Wajasiliamali wapigwa msasa kuzalisha bidhaa bora

MENEJA Mkuu wa Kampuni ya Chef Asili Co.LTD mkoani Dodoma Lupyana Chengula, amesema kuwa ili wajasiriamali waweze kufanikiwa kwenye fursa zao za biashara...

Michezo

Wema Sepetu azidi kusota mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imehailisha usikilizwaji wa kesi  ya matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili msanii wa Filamu nchini Wema Sepetu mpaka...

Habari za Siasa

Hukumu ya Sheikh Ponda kizungumkuti

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeshindwa kutoa hukumu ya rufaa ya Serikali dhidi ya Sheikh Issa Ponda kwa mara nyingine, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Wataam watakiwa kumaliza makosa ya mitandaoni

WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, imewaomba wataalamu wa masomo ya kompyuta kuzingatia mafunzo wanayofundishwa ya mafunzo ya makosa ya mtandao, itasaidia kuondoa...

Kimataifa

Undani wa kinachoendelea Zimbabwe huu hapa

KUMEKUWA na sintofahamu ya kile kinachoendelea nchini Zimbabwe huku kukiwa na taarifa tofauti ya mapinduzi yaliyofanyika nchini humo dhidi ya Rais Robert Mugabe...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Z’bar wamponza mtoto wa Chacha Wangwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhuku kwenda jela mwaka mmoja  na nusu au kulipa faini ya Sh. 5 milioni, mtoto wa Marehemu Chacha...

Habari za SiasaTangulizi

Baada ya kutenda mema, wakasema ASULUBIWE!

NIMEINGIA Wizara ya Maliasili na Utalii kwa uteuzi wa Rais Jakaya Kikwete, Mnamo Februari 10, 2014, na nimefanya kazi ya Uwaziri kwa takribani...

Habari za Siasa

Takukuru waingia kazini ‘issue’ ya Nyalandu

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema kuwa suala la aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu imelisikia na imeanza kulifanyia...

Habari Mchanganyiko

Utafiti wa wafanyakazi wa ndani wapigwa ‘stop’

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia, imeipiga marufuku Taasisi ya Haki za Binadamu kufanya utafiti wa unyanyasaji watumishi wa ndani wa kitanzania wanaofanya...

Habari Mchanganyiko

Mama aeleza askari wa wanyamapori walivyombaka

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kijiji cha Arash Tarafa ya Loliondo, wilayani Ngorongoro, Arusha, Nondomoli Saile, ambaye ameathirika na vitendo vya ubakaji wakati wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ataka wanasiasa waliofilisi TTCL wakamatwe

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, watumishi wa umma na wanasiasa waliochangia kufilisika kwa shirika la simu la...

Habari za Siasa

NEC yavikumbusha vyama kanuni za kampeni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaomba wagombea watumie kanuni walizofundishwa katika kampeni za udiwani zinazoendelea katika kata mbalimbali nchini, anaandika Angel Willium....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaanza kumsulubu Nyalandu

SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kujivua uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na nafasi yake ya...

Habari Mchanganyiko

Dk. Shika aendelea kusota, Polisi kumpima akili

KAIMU Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Benedict Kitalika amesema jeshi la polisi linaendelea kummshikilia Dk. Louis Shika kwa kuwa...

MichezoTangulizi

Lulu ahukumiwa jela miaka miwili, ajipanga kukata rufaa

LEO, tarehe 13 Novemba 2017, mahakama kuu jijini Dar es Salaam, imemuhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani, msanii maarufu wa filamu nchini, Elizabeth...

MichezoTangulizi

Mahakamani yamtia hatiani Lulu

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam imetia hatiani Msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ katika kesi ya kuua bila kukusidia dhidi ya msanii mwenzake,...

error: Content is protected !!