Friday , 29 March 2024

Month: October 2017

Michezo

Miss Tanzania 2017 apatikana ‘juu kwa juu’

KAMATI ya Miss Tanzania kwa mara ya kwanza imeshindwa kufanya mashindano ya kumtafuta mrembo wake kwa mwaka 2017, badala yake imeteua msichana bila...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Serikali ya CCM haina aibu

CHAMA cha Act-Wazalendo kimefunguka na kusema kwamba Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), haioni aibu kukandamiza demokrasia pamoja na uhuru wa vyombo vya...

Habari Mchanganyiko

Ukatili kijinsia wawekewa mkakati Mwanza

SERIKALI ya Jamhuri ya Ireland kupitia Shirika la Maendeleo nchini humo (IrishAid), limetoa msaada msaada wa Euro 350,000 sawa na Sh. milioni 750...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kuanika kilichompata

AFYA ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu anayetibiwa majeraha ya risasi kwenye hospitali kuu ya Nairobi, inaendelea kuimarika na kwamba muda...

Habari Mchanganyiko

Switzerland yawakumbuka walemavu

WATU wenye ulemavu nchini wameiomba serikali  na taasisi mbalimbali binafsi kuwasaidia  eneo la   kujenga ofisi ya kudumu. Anaandika Angela Willium Wamesema wanahitaji ofisi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Takukururu yamgeuzia kibao Mbunge Nassari

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida  Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemugeuzia kibao Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari  (Chadema)  ambaye...

Habari za SiasaTangulizi

Nassari awang’ang’ania ‘maswahiba’ wa rais

MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, ametinga kwa mara ya pili kwenye ofisi za taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

Habari Mchanganyiko

Kampuni kubwa nchini zashuka mtaji DSE

HALI ngumu ya kiuchumi imesababisha ukubwa wa mtaji wa kampuni kubwa zilizoorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), kushuka kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

JPM amteua waziri wa Kikwete

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania amemteua aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Nne ya Jakaya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mlimani City watoa sababu za kufungia Nakumatt

DUKA kubwa (Supermarket) la Nakumatt lililopo jijini Dar es salaam, limelifungia, baada ya kukosa bidhaa za kutosha kwa muda mrefu pamoja na kudaiwa...

KimataifaTangulizi

Kijana aibuka mshindi nchini Austria

MKUU wa chama cha kihafidhina nchini Austria cha People’s Party, Sebastian Kurz, anaelekea kupata ushindi wa kuliongoza taifa hilo akiwa na umri mdogo, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Sheikh Ponda bado ang’ang’aniwa

MWANAWAZUONI, mwanaharakati na kiongozi mashuhuri wa madhehebu ya dini ya Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, bado anaendelea kushikiriwa na jeshi la polisi...

Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa Escrow akimbizwa Muhimbili

HATIMAYE  mtuhumiwa katika kesi ya uhujumu uchumi, Harbinder Sethi amepata ruhusa ya kwenda kutibiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili  (MNH).  Anaandika Faki Sosi....

Habari Mchanganyiko

Mzungu kortini kwa kukutwa na fuvu la Nyumbu.

RAIA wa  Denmark Ricki Thomson (49), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam  kwa kosa ka kukutwa fuvu...

Elimu

Wazazi Azania sekondari watupiwa neno

WAZAZI wa shule ya sekondari Azania wanaombwa kuchangia fedha kwa ajili ya kununua viti vya kukalia wanafunzi wanapokuwa darasani, anaandika Angel Willium. Akizungumza...

Habari za SiasaTangulizi

Sheikh Ponda atii sheria bila shuruti, ajisalimisha Polisi

SHEIKH Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania amethibitisha kuwa anaheshimu mamlaka na sheria kutokana kutii wito wa Jeshi...

Kimataifa

Mimba, ndoa za utotoni pasua kichwa

MIMBA na ndoa katika umri mdogo bado vinaitesa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, ingawa serikali haina takwimu sahihi za wasichana wanaokumbwa na matatizo...

Elimu

EXIM benki yawafuata wasomi Udom

TAASISI za kifedha zikiwamo benki zimetakiwa kupunguza riba katika mikopo yao ili kuwasaidia wananchi wanyonge, anaandika Dany Tibason Ombi hilo limetolewa leo na...

Habari za SiasaTangulizi

Sheikh Ponda kimenuka, apewa siku tatu kujisalimisha Polisi

JESHI la Polisi kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtaka Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda kujisalimisha mikononi...

Burudika

Wasanii wapewa neno kuondokana na aibu

MAKAMU  mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji Tanzania, Jimmy Mafufu amewataka wasanii kujiunga katika mfumo wa bima kupitia mfuko wa PPF ili kuondokana na...

Habari za Siasa

Loliondo washangilia Profesa Maghembe kupigwa chini

SIKU tano tangu Rais John Magufuli afanye mabadiloko kwenye Baraza la Mawaziri, wananchi wa wilaya ya Loliondo mkoani Arusha wameshangilia  kutemwa aliyekuwa Waziri...

Kimataifa

George Weah afanya kweli Liberia, aibuka mshindi urais

ALIYEWAHI kuwa mchezaji bora wa dunia, Georgr Weah ameibuka mshindi wa kiti cha urais nchini Liberia katika uchaguzi uliofanyika juzi. Weah amewahi kuichezea...

Michezo

Mtangazaji mpira azua kioja uwanjani

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mtangazaji wa mpira nchini Urusi ameondoka uwanjani kabla mchezo haujaisha na kuwaacha watazamaji wakiangalia mechi hiyo bila maelezo....

Kimataifa

Rais Trump atishia kuangamiza vyombo vya habari

RAIS Donald Trump ametangaza vita na vyombo vya habari nchini mwake kwa madai kwamba vimekuwa vikikiuka taratibu na kuonyessha ama kuandika habari kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi waendeleza Sinema kuhusu Lissu

SASA inavyoonesha ni kama vile Jeshi la Polisi Tanzania (TPF) linafikiri watu kuzungumzia chochote kuhusu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ni haramu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamtaka IGP Sirro kufunga ‘domo’

CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema), kimemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini ( IGP),  Simon  Sirro kuacha kutoa vitisho kwa wananchi na...

Habari za Siasa

Waziri Kairuki akumbuka vyeti feki

ALIYEKUWA  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki leo ameaga  ofisi yake ya zamani huku akikumbuka alivyohangaika na watumishi...

Michezo

Edwin achomoka na milioni 60 tatu mzuka

EDWIN Kawito(25), mkazi wa Manispaa ya Dodoma amekabidhiwa Sh. milioni 60 alizojishindia katika droo ya 10 ya mchezo wa bahati nasibu ya tatu...

Habari za Siasa

Waziri Jafo aanza kazi na tambo

WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amewataka watumishi wa Wizara hiyo kujipima na...

Habari za Siasa

Kiongozi wa Bavicha anusurika kifo katika ajali

EDWARD Simbeye, Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), amepata ajali ya gari, anaandika Hamisi Mguta. Ajali...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Spika Ndugai amedanganya

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, aweza kuwa hajasema ukweli kuhusu madai kuwa hamfahamu na wala hajawahi kumuona zaidi...

Makala & Uchambuzi

Uteuzi wa mawaziri, umesheheni matundu

Na Mwandishi Maalum RAIS John Pombe Magufuli, ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri kwa kuondoa baadhi, wengine kuwahamisha na wapya kuingizwa. Miongoni...

Makala & Uchambuzi

Ni lini Afrika itaonja siasa safi?

Na Rashid Abdallah NINAJIULIZA ni kwanini siasa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinaendelea kuwa za vilio, vitisho, mateso na hata vifo....

Kimataifa

NASA wajiondoa kwenye uchaguzi Kenya

MUUNGANO wa vyama vya Nasa umetangaza kujitoa rasmi katika uchaguzi mkuu wa Kenya uliopangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba mwaka huu, anaandika Mwandishi Wetu....

Michezo

Mashabiki wavamia nyumba ya mchezaji Zambia

POLISI nchini Zambia wamewakamata mashabiki watano kwa madai ya kuvamia nyumba ya mwanasoka wa timu ya taifa ya kandanda, Alex N’gonga. Mashabiki hao...

Kimataifa

Nani kuibuka mshindi Liberia leo?

WANANCHI nchini Liberia leo wanapiga kura kumchagua mrithi wa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais barani Afrika na mshindi wa tuzo la amani...

Habari Mchanganyiko

Mapato TRA 2015/17 yashuka kwa bilioni 100

KWA takribani miezi 23  tangu Rais John Magufuli aingie Ikulu, Mapato ya serikali kwa mwezi yameshuka kutoka trilioni 1.4  Desemba 2015  hadi kufikia...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda: Nimemwona Lissu, nimeumia

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda ameueleza mtandao huu kwamba, amefanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Wanasheria...

Habari Mchanganyiko

NMB yawapa matumaini wananchi wa Mwanza

WATANZANIA wameshauriwa kujiunga na huduma za benki ili kuwawezesha kupata mikopo ambayo itawasaidia kufanya shughuli za ujasiliamali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kitila Mkumbo aonyesha rangi yake halisi

HATIMAYE Prof. Kitila Mkumbo, aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama Cha ACT Wazalendo, ameonyesha rangi yake halisi baada ya kutangaza rasmi kujiondoa katika...

Kimataifa

Waziri afariki akisaka hela za zahanati

WAZIRI wa Afya Nchini Tunisia amefariki kutokana na mshutuko wa moyo baada ya kushiriki katika mbio za kuchangisha fedha za kusaidia kupambana na...

Kimataifa

Rais Trump atembeza bakuli

RAIS wa Marekani, Donald Trump ameomba ufadhili kwa ajili ya ujenzi wa ukuta ili kusaidia kuwafukuza wahamiaji kutoka nchini Mexico. Mwezi uliopita alifuta...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Kibatala afunguka sakata la Tundu Lissu

BAADA ya tukio la kijinga, la kitoto, lisilo na mantiki wala lisilojenga heshima yoyote kwa washambuliaji; la kushambuliwa kwa risasi Rais wa Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aongeza ukubwa wa Baraza la Mawaziri

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, John Magufuli ametangaza baraza jipya la mawaziri lililoongezeka kutoka mawaziri 19 hadi 21 na manaibu 16...

Habari za SiasaTangulizi

Masha: Serikali iruhusu wapelelezi wa nje

UCHUNGUZI utakaofanywa na wachunguzi wa nje ya Tanzania kuhusu matukio ya kihalifu yanayoendelea nchini, utatoa nafasi nzuri kwa serikali ya Dk. John Magufuli...

Habari za Siasa

‘Watu wasiojulikana’ wanyemelea roho ya Lema

MBUNGE wa Arusha mjini, Godbless Lema (Chadema), amefunguka na kueleza anavyowindwa na watu wasiojulikana kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu...

Habari za SiasaTangulizi

Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi....

Habari za Siasa

CUF kushirikiana na Ukawa uchaguzi madiwani

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kushiriki uchaguzi mdogo wa Madiwani katika kata 43 hapa nchini unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, anaandika Faki...

Habari za Siasa

Ahadi ya Rais Magufuli, nyumba za Magomeni yaota mbawa

AGIZO  la Rais John Magufuli alilotoa mwaka jana la kujenga nyumba eneo la Magomeni Kota limegeuka kuwa ahadi hewa baada ya kazi hiyo...

Habari za Siasa

Mahakama yaipiga ‘stop’ Bodi ya Prof. Lipumba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali pingamizi lilowekwa na mawakili wa Professa Ibrahim Lipumba la kuhusu kuzuwazuia wajumbe wake wa...

error: Content is protected !!