Tuesday , 23 April 2024

Day: October 23, 2017

Habari za SiasaTangulizi

Ikulu yatuhumiwa

IKULU ya Tanzania, kupitia ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, imewaandikia wafanyakazi wa iliyokuwa kampuni ya uchapishaji ya Printpak (T) Limited kuwaeleza kwamba suala...

Habari za Siasa

Polisi wamng’ang’ania Kigaila, anyimwa dhamana

BENSON Kigaila, Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema ametupwa rumande baada ya kukosa dhamana alipojisalimisha kuhojiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum...

Habari MchanganyikoMichezo

Lulu: Kanumba alijiangusha chumbani

MSANII maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael au Lulu, atawasilisha utetezi mahakamani dhidi yashitaka la kuua bila ya kukusudia kwa kutumia mashahidi watatu, anaandika...

Afya

Wizara ya Afya yapokea mashine 100 za saratani

UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, amepokea mashine 100 za tiba mgando (cryotherapy), mashine tisa za...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa CCM aikosoa serikali ya JPM

MBUNGE mstaafu wa Chama cha Mapinduzi, Omar Mjaka Ali, amesema serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza...

error: Content is protected !!