Saturday , 20 April 2024

Day: October 6, 2017

Habari za SiasaTangulizi

Masha: Serikali iruhusu wapelelezi wa nje

UCHUNGUZI utakaofanywa na wachunguzi wa nje ya Tanzania kuhusu matukio ya kihalifu yanayoendelea nchini, utatoa nafasi nzuri kwa serikali ya Dk. John Magufuli...

Habari za Siasa

‘Watu wasiojulikana’ wanyemelea roho ya Lema

MBUNGE wa Arusha mjini, Godbless Lema (Chadema), amefunguka na kueleza anavyowindwa na watu wasiojulikana kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu...

Habari za SiasaTangulizi

Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi....

Habari za Siasa

CUF kushirikiana na Ukawa uchaguzi madiwani

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kushiriki uchaguzi mdogo wa Madiwani katika kata 43 hapa nchini unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, anaandika Faki...

Habari za Siasa

Ahadi ya Rais Magufuli, nyumba za Magomeni yaota mbawa

AGIZO  la Rais John Magufuli alilotoa mwaka jana la kujenga nyumba eneo la Magomeni Kota limegeuka kuwa ahadi hewa baada ya kazi hiyo...

Habari za Siasa

Mahakama yaipiga ‘stop’ Bodi ya Prof. Lipumba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali pingamizi lilowekwa na mawakili wa Professa Ibrahim Lipumba la kuhusu kuzuwazuia wajumbe wake wa...

error: Content is protected !!