Friday , 29 March 2024

Day: September 12, 2017

Kimataifa

Machafuko yakosesha watoto elimu DRC 

ASASI isiyo ya kiserikali nchini kongo imesema  watoto wengi zaidi wanakosa elimu kutokana na mgogoro na mfumo duni wa elimu wa nchi hiyo....

Habari za Siasa

Watumishi ofisi ya Magufuli wapigwa mkwara

OFISI ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR_MUU) imeshutumu wafanyakazi katika yake kwa kukwamisha malengo ya serikali kuhusu  maadili ya watumishi kwa kuwa...

Habari Mchanganyiko

IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda

Benson Kigaila, Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu  kamanda Simon Sirro, mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwa...

Habari Mchanganyiko

Wanaharakati wainuka na kupaza sauti

KITUO cha  Sheria Haki za Binaadamu Nchini (LHRC), kimesema kwa sasa hali ya usalama hapa nchini ni siyo nzuri baada ya kuwapo matukio...

Habari za Siasa

Ndugai kama Magufuli, hataki kuguswa

SPIKA wa Bunge Job Ndugai ameagiza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama, kuhakikisha inamsaka mbunge wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yazidi kumtekenya Magufuli, wasema anahusika kumdhuru Lissu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeituhumu serikali ya rais John Magufuli kuwa inahusika na tukio la shambulio la kifo dhidi ya Tundu...

Habari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa kutenga maeneo ya wafugaji

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga maeneo kwa ajili ya ufugaji mkubwa kwa kutumia mashamba pori yaliyotaifishwa kutoka kwa wakulima walioshindwa kuyaendeleza ili...

Habari za Siasa

Kesi ya Mdee kumtusi Magufuli yapigwa kalenda

KESI inayomkabili mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), imepigwa kalenda hadi Oktoba 11,mwaka huu itakapoanza kusikilizwa, anaandika Hellen Sisya. Mdee ambaye pia ni...

Habari za SiasaTangulizi

Mkwara wa Lipumba wapagawisha wabunge wa CCM

HOFU ya wabunge kuvuliwa uanachama na kusababisha wapoteze nyadhifa zao za ubunge sasa imeanza kutanda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), anaandika Dany...

error: Content is protected !!