Friday , 29 March 2024

Day: September 7, 2017

Habari za Siasa

Kauli ya Lissu siku 20 zilizopita kabla ya kupigwa risasi

TUNDU Lissu Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), kabla ya kupigwa risasi leo alitoa tahadhari kwamba anafuatiliwa na watu aliodai kwamba wanatoka usalama wa...

Kimataifa

Wakimbizi wa Burundi waanza kurejea kwao

AWAMU ya kwanza ya wakimbizi wa kutoka Burundi wanaorejea kwa hiari yao kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao hii leo, anaandika Jovina Patrick....

Kimataifa

Korea washangilia bomu la Nyuklia

KOREA Kaskazini imefanya sherehe kubwa kwa ajili ya kuwaenzi wanasayansi waliofanikisha majaribio makubwa ya bomu la Nyuklia nchini humo, anaandika Irene Emmanuel. Sherehe...

Habari za Siasa

Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi

ALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hashim Rungwe ametupia lawama Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu apigwa risasi Dodoma, viongozi wanena

NI taharuki, vilio na simanzi katika hospitali ya mkoa wa Dodoma, baada ya Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na MBunge wa Singida...

Habari za SiasaTangulizi

Mawaziri Simbachawene, Ngonyani wang’oka, Prof. Mruma abebwa

MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya tano, wameachia ngazi muda mfupi baada ya Rais John Magufuli kuwataka kufanya hivyo leo asubuhi, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Polisi wampiga risasi mtuhumiwa utekaji watoto Arusha

MTUHUMIWA aliyekuwa ameshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kwa kuhusika na utekaji na mauaji ya watoto wawili Maureen na Ikram amefariki dunia...

Habari Mchanganyiko

RC Mongella amshauri waziri aivunje bodi ya Pamba

JOHN Mongella, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, amemshauri Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Charles Tizeba kuivunja Bodi ya Pamba kanda ya ziwa...

Elimu

Shule ‘Direct’ yakomboa wanafunzi na walimu

MPANGO wa “Shule Direct” yenye kauli mbiu “jifunze mahali popote, wakati wote” inayomwezesha mwanafunzi kutumia simu ya mkononi au kompyuta kujifunza imetajwa kuchochea...

Habari Mchanganyiko

Wanaharakati wamkumbusha Rais Magufuli milioni 50

WANAHARAKATI wa maendeleo haki za binadamu na usawa wa kijinsia wameitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutoa Sh. 50 milioni kwa kila kijiji...

error: Content is protected !!