Thursday , 25 April 2024

Day: August 22, 2017

Habari za Siasa

Magufuli anashitakika

RAIS John Magufuli, anaweza kushitakiwa kwa makosa aliyoyatenda wakati akiwa waziri wa Ujenzi katika serikali ya Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete, anaandika Saed...

Habari za SiasaTangulizi

Bunduki zatumika kumkamata Lissu

ASKARI 17 wa Jeshi la Polisi wametumika kumkamata Tundu Lissu, Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, eneo la Kisutu, Dar es...

Afya

Wagonjwa 800 kutibiwa jengo jipya Bugando

HOSPITALI ya Rufaa ya Bugando (BMC), inatarajia kujenga jengo maalum litakalowahudumia wagonjwa 800 kwa siku ambao wanatibiwa kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima...

Habari Mchanganyiko

Wakili apambana kortini kumuokoa Yusuph  Manji 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imesikiliza ushahidi wa upande wa serikali kwenye kesi ya matumizi ya dawa za...

Habari za Siasa

Afya ya Bulaya yaimarika Muhimbili

ESTHER Bulaya, Mbunge wa Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anaendelea na matibabu katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya JPM yapigwa ‘dongo’

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ametoa tuhuma nzito kwa serikali ya awamu ya tano huku akisema kuwa haizingatii misingi ya sheria pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye asema serikali inamfanyia visasi

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amevunja ukimya na kutamka bayana kwamba watawala wanaendesha nchi  kwa visasi ndiyo maana tangu ahame Chama Cha Mapinduzi...

error: Content is protected !!