Friday , 29 March 2024

Day: August 9, 2017

Habari Mchanganyiko

Manji apata pigo jingine akiwa mahabusu

SERIKALI imekitaifisha kiwanda cha kuchakata ngozi cha Mwanza Tanneries kilichopo Ilemela mkoani Mwanza kwa kushindwa kuendelezwa na kuendeshwa kwa zaidi ya miaka mitano...

Habari Mchanganyiko

Jaffo ‘ayananga’ maonesho ya nanenane

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (TAMISEMI), Selemani Jafo amewashukia, Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa mikoa ya Dodoma na Singida...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mhagama ‘awapiga mkwara’ wakurugenzi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenister Mhagama amesema wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini watakaoshindwa kutenga asilimia tano ya mapato kwa ajili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sinema ya Makonda na TEF yaendelea Dar 

MKUTANO ulioitishwa leo na Jukwaa la Wahariri (TEF) na Waandishi wa Habari umegeuka kuwa kituko baada ya upande mmoja uliotarajiwa kuomba radhi kukataa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Meena awaomba radhi wanahabari

NEVILE Meena, Katibu Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), amewaomba radhi waandishi wa habari na Wahariri, anaandika Hellen Sisya. Msamaha huo unafuatia Meena kutoa...

Makala & Uchambuzi

Mwenyekiti wa Tume Kenya amtuliza Raila Odinga

WAFULA Chebukati, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya (IBEC), ameahidi kushughulikia malalamiko yaliyotolewa na mgombea urais kupitia Muungano wa NASA,...

Kimataifa

Marekani kushambuliwa na makombora

NCHI ya Korea Kaskazini inapanga kurusha makombora karibu na kisiwa kimoja nchini Marekani Korea imesema kwamba inatafakari uwezekano wa kurusha makombora karibu na...

Habari Mchanganyiko

Matenki ya mafuta kujengwa Tanga

KAMPUNI ya mafuta ya GBP imepanga kutumia zaidi ya 60 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa bohari ya kuhifadhia mafuta na kiwanda cha...

Makala & Uchambuzi

Kenyatta “Baba” wa demokrasia Afrika Mashariki

WAPINZANI nchini Kenya, wakiongozwa na Raila Odinga wa chama cha ODM na muungano wa NASA, wamekuwa wakipewa haki zote za kisiasa na za...

Makala & UchambuziTangulizi

Fomu namba 34 A yazua utata uchaguzi Kenya

MUUUNGANO wa NASA, umetangaza kukataa matokeo huku ukisema matokeo yanayotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya, hayana ushahidi wa fomu namba 34 A...

error: Content is protected !!